kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 4,289
- 8,284
Asubuhi tu ..! Wakati Simba S.S.C Inaenda Kuadhimisha Siku Ya Wenye Nchi..!
OMBI ... Nchi nzima Ya Tanzania Kokote mlipo tuweke Utani wa Jadi Pembeni. Haya ni Mapambano Ya Nchi dhidi Ya Nchi nyingine. TUIOMBEE Yanga Afrika ISHINDE....! Kwa nini nasema hivyo?
Katika Nafasi 4 za Tanzania CAF, Biashara Shinyanga na Azam FC Wamefanikiwa Kuzilinda Zisipotee. SIMBA S.C iliyozipigania Nafasi Hizo kupatikana (Hakuna Ubishi Kwa hilo, hiyo ni FACT) itaanzia Round inayofuata. Sasa ni Yanga ndiye anayo Karata ya Kucheza dhidi ya Rivers Kulinda nafasi Zetu 4 Kama nchi Round ipite bila TZ Kujeruhiwa.
Ombi Watanzania Wote tuungane kuomba DUA Yanga Ipite.
Yanga Ipite jamani.
Yanga IPITE round hii.
Bila kujari mdomo wa Msemaji. Nafasi Zetu 4 Ziendelee kuwapo round inayofuata ili Mwakani TZ Iwe na Washiriki Wa 4 tena.
Ni hayo tu.
OMBI ... Nchi nzima Ya Tanzania Kokote mlipo tuweke Utani wa Jadi Pembeni. Haya ni Mapambano Ya Nchi dhidi Ya Nchi nyingine. TUIOMBEE Yanga Afrika ISHINDE....! Kwa nini nasema hivyo?
Katika Nafasi 4 za Tanzania CAF, Biashara Shinyanga na Azam FC Wamefanikiwa Kuzilinda Zisipotee. SIMBA S.C iliyozipigania Nafasi Hizo kupatikana (Hakuna Ubishi Kwa hilo, hiyo ni FACT) itaanzia Round inayofuata. Sasa ni Yanga ndiye anayo Karata ya Kucheza dhidi ya Rivers Kulinda nafasi Zetu 4 Kama nchi Round ipite bila TZ Kujeruhiwa.
Ombi Watanzania Wote tuungane kuomba DUA Yanga Ipite.
Yanga Ipite jamani.
Yanga IPITE round hii.
Bila kujari mdomo wa Msemaji. Nafasi Zetu 4 Ziendelee kuwapo round inayofuata ili Mwakani TZ Iwe na Washiriki Wa 4 tena.
Ni hayo tu.