Tutumie Nafasi hii ya Yanga kuingia fainali kama fursa

Goheki

JF-Expert Member
Aug 23, 2011
448
387
FAINALI YA YANGA KOMBE LA SHIRIKISHO hapa Tanzania, KAMA NCHI TUNAJIUZA VIPI? JE YANGA NYINYI MMEJIPANGAJE?

Nionavyo mimi tunatakiwa kuitengeneza hii fainali iwe ni PACKAGE. Isiwe tu kwenda uwanjani kuangalia mpira na kuondoka.

Kama nchi, We must go Extra miles. Hii fainali ni bidhaa kwetu, we must make sure tunauza the best product sokoni. Na walaji wa hii product wapo StandBy wanasubiri kuona nini tutawaletea sokoni.

Bidhaa yoyote lazima iwe na Value (Thamani) Excitement (Msisimko) & Experience inayo offer kwa mtumiaji (Shabiki).

Je huyu mgeni anaekuja Tanzania au shabiki wa hapa Tanzania, ataona nini cha tofauti kuelekea hii fainali ya tarehe 28 May hapo Taifa?

Ni lazima tuwape ‘Suprise’ ya msisimko Wapenzi na Mashabiki wa Soka wote hapa Tanzania na wanaotoka nje ya nchi. Narudia tena, kama nchi we MUST play our cards right. Tusiende kimazoea. Tutaaibika.

We must create the sense and feeling of the FINAL before the FINAL. Tuiamshe nchi kutoka usingizini kupitia hii fainali. Hata mtoto mdogo wa miaka mitano aweze kuhamasika kuelewa kuwa tarehe 28 May 2023 kuna jambo letu uwanja wa Mkapa.

Na haya yote yanatakiwa kufanyika siku 5 kabla ya fainali. Namaanisha kuanzia Jumatatu next week.

Think tanks wa Serikali.
Think tanks wa TFF.
Think tanks wa Yanga Afrika.

Amkeni, Amkeni. It’s our time. Tupeni the BEST EXPERIENCE ya hii fainali. Tusiende kwenye hii fainali kimazoea, tusifanye hii fainali kwa mtindo wa #SokaLetuKivyetuVyetu.

Je nini kifanyike? Nionavyo mimi;

1. Branding
Njia zote kuu na round abouts za hapa Dar ziwe branded kwa Creative artworks za Kibabe, na mbili, za Yanga & Tanzania. Billboards za pembezoni mwa barabara kuanzia Airport, Posta, Mwenge, Kariakoo, Ubungo kote huko iwe ni Yanga, Tanzania n.k Let’s brand our country with a visual representation ambayo hata wageni wakitua airport wanaelewa kuwa fainali ipo Tanzania

2. Documentary. [ Video & Audio ]
Tuipe thamani ligi yetu Tanzania, na klabu ya Yanga. Asset videos zipo Yanga tangu anaanza hatua ya mwanzo kombe la shirikisho mpaka sasa inafika final. Itengenezwe full documentary video ikielezea safari ya Yanga mpaka ilipofika sasa. Hii documentary ihusishe baadhi ya clips za muhimu kuhusu Ligi ya Tanzania na influence ya Azam kwenye kuboresha soka na kuleta hamasa. Hii documentary itakayokua kwenye mfumo wa videos & Audio zichezwe kwenye vituo vikubwa vya radio na Tv, huko Instagram pages zote za udaku, na online medias zichafuke contents za Yanga na Tanzania kwa wiki nzima kuelekea fainali.

3. Husisha wasanii wote na wanamuziki wanaoisapoti Yanga waweze kuPush contents za Yanga mitandaoni for five days. Wasaidieni kwa kuwapa engaging contents. Wasanii hawa na waigizaji wana wafuasi wengi. Mtaua ndege wawili kwa jiwe moja. Lengo hapa ni kuifanya fainali iwe ndio ajenda pekee wiki nzima.

4. Daladala zote dar zipatiwe bendera za yanga na tanzania zifungwe kulia na kushoto kwenye magari ziwe zinapepea wiki nzima. Hii itaamsha hisia na mizuka isiyo na kipimo.

5. TFF, wizara ya michezo washirikiane na yanga. Airport ndani mule kote zitapakae branded contents kuhusu yanga na hii fainali ya shirikisho.
Mgeni yeyote akija ajue jumapili kuna jambo linafanyika kwa mkapa. Tusikae kinyonge kama kuku mwenye mdondo.

Hii Platform ya fainali tuliyoipata kwa sasa inaweza isitokee mpaka baada ya miaka 10 au 20 ijayo. Kama nchi tuitumie hii nafasi KUJIUZA to the Maximum.

Nisiandike sana, nikawachosha. Muda mchache na mambo ni mengi. Kama kuna la msingi kwenye hili andiko naomba lichukuliwe lifanyiwe kazi.
 
Code:
FAINALI YA YANGA KOMBE LA SHIRIKISHO hapa Tanzania, KAMA NCHI TUNAJIUZA VIPI? JE YANGA NYINYI MMEJIPANGAJE? 

Nionavyo mimi tunatakiwa kuitengeneza hii fainali iwe ni PACKAGE. Isiwe tu kwenda uwanjani kuangalia mpira na kuondoka. 

Kama nchi, We must go Extra miles. Hii fainali ni bidhaa kwetu, we must make sure tunauza the best product sokoni. Na walaji wa hii product wapo StandBy wanasubiri kuona nini tutawaletea sokoni.

Bidhaa yoyote lazima iwe na Value (Thamani) Excitement (Msisimko) & Experience inayo offer kwa mtumiaji (Shabiki). 

Je huyu mgeni anaekuja Tanzania au shabiki wa hapa Tanzania, ataona nini cha tofauti kuelekea hii fainali ya tarehe 28 May hapo Taifa?

Ni lazima tuwape ‘Suprise’ ya msisimko Wapenzi na Mashabiki wa Soka wote hapa Tanzania na wanaotoka nje ya nchi. Narudia tena, kama nchi we MUST play our cards right. Tusiende kimazoea. Tutaaibika.

We must create the sense and feeling of the FINAL before the FINAL. Tuiamshe nchi kutoka usingizini kupitia hii fainali. Hata mtoto mdogo wa miaka mitano aweze kuhamasika kuelewa kuwa tarehe 28 May 2023 kuna jambo letu uwanja wa Mkapa.

Na haya yote yanatakiwa kufanyika siku 5 kabla ya fainali. Namaanisha kuanzia Jumatatu next week. 

Think tanks wa Serikali. 
Think tanks wa TFF.
Think tanks wa Yanga Afrika.

Amkeni, Amkeni. It’s our time. Tupeni the BEST EXPERIENCE ya hii fainali. Tusiende kwenye hii fainali kimazoea, tusifanye hii fainali kwa mtindo wa #SokaLetuKivyetuVyetu. 

Je nini kifanyike? Nionavyo mimi;

1 Branding 

Njia zote kuu na round abouts za hapa Dar ziwe branded kwa Creative artworks za Kibabe, na mbili, za Yanga & Tanzania. Billboards za pembezoni mwa barabara kuanzia Airport, Posta, Mwenge, Kariakoo, Ubungo kote huko iwe ni Yanga, Tanzania n.k Let’s brand our country with a visual representation ambayo hata wageni wakitua airport wanaelewa kuwa fainali ipo Tanzania 

2 Documentary. [ Video & Audio ] 

Tuipe thamani ligi yetu Tanzania, na klabu ya Yanga. Asset videos zipo Yanga tangu anaanza hatua ya mwanzo kombe la shirikisho mpaka sasa inafika final. Itengenezwe full documentary video ikielezea safari ya Yanga mpaka ilipofika sasa. Hii documentary ihusishe baadhi ya clips za muhimu kuhusu Ligi ya Tanzania na influence ya Azam kwenye kuboresha soka na kuleta hamasa. Hii documentary itakayokua kwenye mfumo wa videos & Audio zichezwe kwenye vituo vikubwa vya radio na Tv, huko Instagram pages zote za udaku, na online medias zichafuke contents za Yanga na Tanzania kwa wiki nzima kuelekea fainali.

3 Husisha wasanii wote na wanamuziki wanaoisapoti Yanga waweze kuPush contents za Yanga mitandaoni for five days. Wasaidieni kwa kuwapa engaging contents. Wasanii hawa na waigizaji wana wafuasi wengi. Mtaua ndege wawili kwa jiwe moja. Lengo hapa ni kuifanya fainali iwe ndio ajenda pekee wiki nzima. 

4 DALADALA ZOTE DAR ZIPATIWE BENDERA ZA YANGA NA TANZANIA ZIFUNGWE KULIA NA KUSHOTO KWENYE MAGARI ZIWE ZINAPEPEA WIKI NZIMA. Hii itaamsha hisia na mizuka isiyo na kipimo. 

5 TFF, WIZARA YA MICHEZO WASHIRIKIANE NA YANGA. AIRPORT NDANI MULE KOTE ZITAPAKAE BRANDED CONTENTS KUHUSU YANGA NA HII FAINALI YA SHIRIKISHO. Mgeni yeyote akija ajue jumapili kuna jambo linafanyika kwa mkapa. Tusikae kinyonge kama kuku mwenye mdondo.

Hii Platform ya fainali tuliyoipata kwa sasa inaweza isitokee mpaka baada ya miaka 10 au 20 ijayo. Kama nchi tuitumie hii nafasi KUJIUZA to the Maximum. 

Nisiandike sana, nikawachosha. Muda mchache na mambo ni mengi. Kama kuna la msingi kwenye hili andiko naomba lichukuliwe lifanyiwe kazi.
Shukran mtaalamu wa marketing, mimi sina cha kuongeza kwa sasa.
 
Wageni gani hao? Wageni wasiozidi 300 utumie gharama zote hizo?

Tena kwa kuitangaza Yanga badala ya nchi? Waarabu wanabaki kwao kusubiria 2nd Leg final.

Hii ni hatua kubwa kwa Yanga, ila haina thamani mnayotaka kuipa.

Branding ifanyike uwanjani. Ambapo kutakuwa live, huko Gongo la Mboto nani atafika kufanya coverage?

Tuombe kuhost fainali za Mataifa Afrika, huko ndipo tutajitangaza.
 
FAINALI YA YANGA KOMBE LA SHIRIKISHO hapa Tanzania, KAMA NCHI TUNAJIUZA VIPI? JE YANGA NYINYI MMEJIPANGAJE?

Nionavyo mimi tunatakiwa kuitengeneza hii fainali iwe ni PACKAGE. Isiwe tu kwenda uwanjani kuangalia mpira na kuondoka.

Kama nchi, We must go Extra miles. Hii fainali ni bidhaa kwetu, we must make sure tunauza the best product sokoni. Na walaji wa hii product wapo StandBy wanasubiri kuona nini tutawaletea sokoni.

Bidhaa yoyote lazima iwe na Value (Thamani) Excitement (Msisimko) & Experience inayo offer kwa mtumiaji (Shabiki).

Je huyu mgeni anaekuja Tanzania au shabiki wa hapa Tanzania, ataona nini cha tofauti kuelekea hii fainali ya tarehe 28 May hapo Taifa?

Ni lazima tuwape ‘Suprise’ ya msisimko Wapenzi na Mashabiki wa Soka wote hapa Tanzania na wanaotoka nje ya nchi. Narudia tena, kama nchi we MUST play our cards right. Tusiende kimazoea. Tutaaibika.

We must create the sense and feeling of the FINAL before the FINAL. Tuiamshe nchi kutoka usingizini kupitia hii fainali. Hata mtoto mdogo wa miaka mitano aweze kuhamasika kuelewa kuwa tarehe 28 May 2023 kuna jambo letu uwanja wa Mkapa.

Na haya yote yanatakiwa kufanyika siku 5 kabla ya fainali. Namaanisha kuanzia Jumatatu next week.

Think tanks wa Serikali.
Think tanks wa TFF.
Think tanks wa Yanga Afrika.

Amkeni, Amkeni. It’s our time. Tupeni the BEST EXPERIENCE ya hii fainali. Tusiende kwenye hii fainali kimazoea, tusifanye hii fainali kwa mtindo wa #SokaLetuKivyetuVyetu.

Je nini kifanyike? Nionavyo mimi;

1. Branding
Njia zote kuu na round abouts za hapa Dar ziwe branded kwa Creative artworks za Kibabe, na mbili, za Yanga & Tanzania. Billboards za pembezoni mwa barabara kuanzia Airport, Posta, Mwenge, Kariakoo, Ubungo kote huko iwe ni Yanga, Tanzania n.k Let’s brand our country with a visual representation ambayo hata wageni wakitua airport wanaelewa kuwa fainali ipo Tanzania

2. Documentary. [ Video & Audio ]
Tuipe thamani ligi yetu Tanzania, na klabu ya Yanga. Asset videos zipo Yanga tangu anaanza hatua ya mwanzo kombe la shirikisho mpaka sasa inafika final. Itengenezwe full documentary video ikielezea safari ya Yanga mpaka ilipofika sasa. Hii documentary ihusishe baadhi ya clips za muhimu kuhusu Ligi ya Tanzania na influence ya Azam kwenye kuboresha soka na kuleta hamasa. Hii documentary itakayokua kwenye mfumo wa videos & Audio zichezwe kwenye vituo vikubwa vya radio na Tv, huko Instagram pages zote za udaku, na online medias zichafuke contents za Yanga na Tanzania kwa wiki nzima kuelekea fainali.

3. Husisha wasanii wote na wanamuziki wanaoisapoti Yanga waweze kuPush contents za Yanga mitandaoni for five days. Wasaidieni kwa kuwapa engaging contents. Wasanii hawa na waigizaji wana wafuasi wengi. Mtaua ndege wawili kwa jiwe moja. Lengo hapa ni kuifanya fainali iwe ndio ajenda pekee wiki nzima.

4. Daladala zote dar zipatiwe bendera za yanga na tanzania zifungwe kulia na kushoto kwenye magari ziwe zinapepea wiki nzima. Hii itaamsha hisia na mizuka isiyo na kipimo.

5. TFF, wizara ya michezo washirikiane na yanga. Airport ndani mule kote zitapakae branded contents kuhusu yanga na hii fainali ya shirikisho.
Mgeni yeyote akija ajue jumapili kuna jambo linafanyika kwa mkapa. Tusikae kinyonge kama kuku mwenye mdondo.

Hii Platform ya fainali tuliyoipata kwa sasa inaweza isitokee mpaka baada ya miaka 10 au 20 ijayo. Kama nchi tuitumie hii nafasi KUJIUZA to the Maximum.

Nisiandike sana, nikawachosha. Muda mchache na mambo ni mengi. Kama kuna la msingi kwenye hili andiko naomba lichukuliwe lifanyiwe kazi.
Safi sana.
 
Safi sana akili nyingi hii,sema Sidhani kama Yanga wamejipanga kwa hilo or kuwaza namna hii.
Pili Usimba na Uyanga uliopo TFF unasababisha kusiwepo creativity kama hizi,mana WanaSimba wao kwa sasa wako busy kubeza mafanikio ya Yanga kwa kuliita kombe la looser ili hali wao walichoma hadi uwanja South Africa ili walau wafike hatua ya nusu fainal.

TFF wangekuwa na akili wangeibrand Ligi yetu kwa upana kama ambavyo umeelezea hapo juu,ila kwakuwa wana Usimba hilo halitafanyika.

Halitafanyika sababu kuipromote hii Fainali ni kuipromote pia Yanga,na kuipromote Yanga kwa ukubwa ni kuishusha Simba na kuifanya ionekane dhalili kitu ambacho hawako tayari.

Kwa TFF maslahi ya Simba yanapewa kipaumbele kuliko maslahi ya Nchi kwa ujumla,ili hilo wazo ulilosema lifanyike na liwe na tija Labda Yanga wenyewe walibebe kwa mapana yake.Wajibrand wao wenyewe.

Na kwa Nature ya Yanga ilivyo sio watu wa kupenda makuu kama wenzao wa upande wapili,Mafanikio haya ya Yanga kufika Fainali yangekuwa kwa Simba Nchi ingesimama hii.

So kwa ushauri wangu,pamoja na kwamba Yanga busy kupanga mipango na mikakati ya namna kutwaa Ubingwa ila pia wangejigawa baadhi hasa kitengo cha Marketing kudili na hili wazo lako.
 
Uko vizuri sana ndugu! Uongozi ni Ubunifu, katika hilo una sifa moja wapo ya uongozi.
Lifanyiwe kazi kwa haraka sana. Hata Yanga wenyewe, au Azam au Taasisi binafsi yoyote inaweza kulivaa hili.
 
Wageni gani hao? Wageni wasiozidi 300 utumie gharama zote hizo?

Tena kwa kuitangaza Yanga badala ya nchi? Waarabu wanabaki kwao kusubiria 2nd Leg final.

Hii ni hatua kubwa kwa Yanga, ila haina thamani mnayotaka kuipa.

Branding ifanyike uwanjani. Ambapo kutakuwa live, huko Gongo la Mboto nani atafika kufanya coverage?

Tuombe kuhost fainali za Mataifa Afrika, huko ndipo tutajitangaza.
Makolokolo umejaa chuki mwili mzima mpaka kwenye kile kiungo chako kitazamacho kuzimu ukiwa unatoa taka mwili

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Wageni gani hao? Wageni wasiozidi 300 utumie gharama zote hizo?

Tena kwa kuitangaza Yanga badala ya nchi? Waarabu wanabaki kwao kusubiria 2nd Leg final.

Hii ni hatua kubwa kwa Yanga, ila haina thamani mnayotaka kuipa.

Branding ifanyike uwanjani. Ambapo kutakuwa live, huko Gongo la Mboto nani atafika kufanya coverage?

Tuombe kuhost fainali za Mataifa Afrika, huko ndipo tutajitangaza.
Uhost fainali za Africa sawa.kwa umeme upi???
 
Back
Top Bottom