Baraka Mina
JF-Expert Member
- Sep 3, 2020
- 581
- 574
Kuna shutuma zimetolewa na MINOCYCLINE zikiwa na lengo la kuichafua Serikali, Waziri Dkt. Pinda Chana na Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo.
Serikali kupitia Waziri Dkt. chana imehudhuria michezo yote ya Simba na Yanga na sio mchezo wa Yanga pekee kama ambavyo MINOCYCLINE ameeleza.
MECHI YA SIMBA
Waziri Dkt. Pindi Chana alishuhudia Mchezo wa Klabu Bingwa Afrika kati ya Simba Sports Club dhidi ya Raja Casablanca ya nchini Morocco, uliochezwa Februari 18, 2023 katika Uwanja wa Mkapa Dar. Mpira ulimalizika kwa Timu ya Raja Casablanca kushinda magoli 3 kwa 0.
MECHI YA YANGA
Waziri Pindi akikabidhi zawadi ya shilingi milioni 15 kwa Rais wa Klabu ya Yanga Eng. Hersi Said ikiwa ni ahadi ya Rais wa Tanzania Suluhu Samia kwa Klabu hiyo baada ya kuifunga Timu ya TP Mazembe ya nchini Kongo magoli 3 kwa 1 kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho.
Serikali kupitia Waziri Dkt. chana imehudhuria michezo yote ya Simba na Yanga na sio mchezo wa Yanga pekee kama ambavyo MINOCYCLINE ameeleza.
MECHI YA SIMBA
Waziri Dkt. Pindi Chana alishuhudia Mchezo wa Klabu Bingwa Afrika kati ya Simba Sports Club dhidi ya Raja Casablanca ya nchini Morocco, uliochezwa Februari 18, 2023 katika Uwanja wa Mkapa Dar. Mpira ulimalizika kwa Timu ya Raja Casablanca kushinda magoli 3 kwa 0.
MECHI YA YANGA
Waziri Pindi akikabidhi zawadi ya shilingi milioni 15 kwa Rais wa Klabu ya Yanga Eng. Hersi Said ikiwa ni ahadi ya Rais wa Tanzania Suluhu Samia kwa Klabu hiyo baada ya kuifunga Timu ya TP Mazembe ya nchini Kongo magoli 3 kwa 1 kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho.