Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,084
Dakika 45? Mimi Ningewashauri hao wana usalama wawaondoshe watu wote ambao wapo eneo ambalo inasemekana kuna hilo bomu. Wataweza kuzitumia hizo dakika kuwaondosha bila mathara kuwapata watu hao. Wala hakuna haja ya kumfufua huyo mtu kwa haraka.