Kama wewe ndio huyu doctor ungefanyaje ...!?

Kama wewe ndio huyu doctor ungefanyaje ...!?

mkusanyiko w wa2 shule y chekechea unatokea wapi?" au kulikua na graduation?!.
 
Aaaa nimwache mama watoto afe naanza na wife
 
bomu linalipuka baada ya dk 45 na mgonjwa kapoteza fahamu,afanyiwe upasuaji ili aseme bomu lilipo.ataamka muda upi? upasuaji dakika ngapi? hawi sedated?.....mgonjwa wa bomu acha tu afe kwani muda hauruhusu.ukimsaidia wa bomu dk 45 zitaishia kwenye upasuaji na mkeo atakufa na bomu litalipuka.

Kinachohitajika ni kurudiwa na fahamu kisha atoe infomation halafu mengine yaendelee

What would you do?
 
Kwahiyo maisha ya watoto zaidi ya 50 unayaweka hatarini mkuu?

Acha wafe tu mkuu wife kitu kingine we hukuona sadam na gadafi wamekubali maelfu wafe lakini wake zao na watoto wao wawe salama
 
Acha wafe tu mkuu wife kitu kingine we hukuona sadam na gadafi wamekubali maelfu wafe lakini wake zao na watoto wao wawe salama

Kwahiyo mkuu unadhani walikuwa sahihi?
 
Huyo mgonjwa wa bomu unaweza kumfanyia upasuaji na akafa vile vile... the only soln ni kutoa watoto wote shule zote za chekechea haraka coz hata akipona na kusema liko sehemu fulani, ishu si kuwaondoa watoto tu? ama mtaanza kutoa na matofali na meza? watoto watolewe chekechea zote na mke atibiwe wakati kaz za kutoa watoto zikifanywa na wanajesh... huyo jambaz atakuwa next kama israel hajampitia...
 
nimejua ndio, na nadhan from that point ungenipata kuwa nlimaanisha ilibid umfanyie huyo gaidi sababu haiwezekani kumfanyia mkeo/mumeo

Kwa maelezo yako haya bado hujaelewa tunazungumzia kitu gani

Kwani umeambiwa hili ni tukio la kweli?

Wewe ulichotakiwa ni kufikiria kama ni kweli hii imekukuta na useme utafanya kitu gani na sio kuileta kwenye hali halisi!
 
Huyo mgonjwa wa bomu unaweza kumfanyia upasuaji na akafa vile vile... the only soln ni kutoa watoto wote shule zote za chekechea haraka coz hata akipona na kusema liko sehemu fulani, ishu si kuwaondoa watoto tu? ama mtaanza kutoa na matofali na meza? watoto watolewe chekechea zote na mke atibiwe wakati kaz za kutoa watoto zikifanywa na wanajesh... huyo jambaz atakuwa next kama israel hajampitia...

Moja,kinachotkiwa hapa ni uamuzi sahihi na sio kingine
Pili,tangu aseme kuwa bomu litalipuka baada ya dakika 45 hadi amefikishwa hospital tayari muda unakwenda,utaweza kuwaondoa watoto kwenye shule zote kwa muda huo?

Inaonekana unaogopa utakachokiamua hapa binti!
 
Moja,kinachotkiwa hapa ni uamuzi sahihi na sio kingine
Pili,tangu aseme kuwa bomu litalipuka baada ya dakika 45 hadi amefikishwa hospital tayari muda unakwenda,utaweza kuwaondoa watoto kwenye shule zote kwa muda huo?

Inaonekana unaogopa utakachokiamua hapa binti!

Wewe unabisha kwa sababu mind yako umeipeleka kwenye kubisha. Kipi rahisi, kupiga simu au kubroadcast wanafunzi wote watoke mashuleni au kugamble na mgonjwa ambaye chances za kuzinduka only God knows.

Anyway enjoy your arguments. I am out of here.
 
Back
Top Bottom