Kama Wanasimba tunajiamini tuna timu imara, kwa nini tunaombea tukutane na Al Ahly Tripoli, siyo TP Mazembe au Orlando Pirates?

Manara part 2 wanafiki hawaishi
Kauli kama hizi ndizo zitanifanya GENTAMYCINE sasa niamue 'Kuroga' vibaya ili Simba SC iharibu ikicheza na Coastal Union FC ya Tanga na Police Tanzania ya Kilimanjaro na pia ifungwe Goli nyingi kama Nane (8) huko Shirikisho.

Shauri yenu endeleeni Kunitibua tu Ok?
 
Huna Contents sasa hivi all in all
Sema SIMBA TAIFA KUBWA

A87422D3-4889-420D-A728-A7EFA850ACC7.jpeg
 
Kauli kama hizi ndizo zitanifanya GENTAMYCINE sasa niamue 'Kuroga' vibaya ili Simba SC iharibu ikicheza na Coastal Union FC ya Tanga na Police Tanzania ya Kilimanjaro na pia ifungwe Goli nyingi kama Nane ( 8 ) huko Shirikisho.

Shauri yenu endeleeni Kunitibua tu Ok?
Daaah.

Hivi kwa Nini mtu akifanikiwa WACHAWI nao wanaibuka Kama unyoga?

We jamaa wa kuwa hivi wewe???????

 
sasa unamkera nani? mazeee wewe ni psychopath uko kama kigogo wa twitter atleast yeye yuko kwenye payroll ...wewe unaongea hiki baadaye unakuja na zile ID zako 40 uanjijibu vile
Narudia endeleeni tu Kunitibua ili nikasirike na 'Niroge' vibaya tusiwafunge Coastal Union FC na Police Tanzania katika Mechi zetu zijazo za NBC Premier League na hiyo Timu tutakayopangwa nayo na CAF katika hatua ya Nusu Fainali.
 
Narudia endeleeni tu Kunitibua ili nikasirike na 'Niroge' vibaya tusiwafunge Coastal Union FC na Police Tanzania katika Mechi zetu zijazo za NBC Premier League na hiyo Timu tutakayopangwa nayo na CAF katika hatua ya Nusu Fainali.
we ni mjinga sana unakumbuka ulichoandika hapa....juzi?
Leo naomba nitoe Elimu Kiduchu ya Unujumu ( Uchawi ) ni kwamba mara nyingi Jini la Simba SC huwa linakuwa 'Active' sana kati ya Saa 10 hadi Saa 12 na Saa 1 hadi Saa 3 na hiyo ya Saa 10 hadi Saa 12 nayo huwa ni Siku za Jumapili tu na siyo Siku za Jumamosi au Jumatano.

Kwa muda wa Saa 1 Usiku hadi Saa 3 Usiku huwa ni kwa Siku zozote zile na mara nyingi Simba SC huwa akicheza muda huu si tu kuwa huwa anashinda bali pia hushinda kwa Kishindo ( Ushindi Mnono )

Wazee wa Kazi ( Fitna, Uchawi na Roho Mbaya ) tulishaanza Kuicheza Mechi hii Kitambo hasa tukijua kuwa muda utakuwa ni ule ule wa Jini letu Simba SC kufurahi na kufanya Kazi kati ya Saa 1 Usiku na Saa 3 Usiku mara tena ghafla Jana tunasikia Mechi itachezwa Saa 4 Usiku ambayo itaisha karibia na Saa 6 Usiku muda ambao hata Kinyota ( Kinujumu ) ni mbaya na Jini letu nalo linakuwa limeshaondoka na halina Nguvu tena.

Kosa kubwa sana limefanyika hapa na binafsi kama GENTAMYCINE nimesikitika mno kwani sasa inatulazimu tuanze Kazi upya, tulazimishe Ushindi hata kwa Kufanya Makafara Makubwa na ya Kushtua ili Ushindi upatikane hasa kwa muda huo mpya wa Saa 4 Usiku mpaka Saa 6 Kasoro 10 au Kasoro 5 hivi.

Tukishinda kwa huo muda nitashukuru pia na kufurahi kama mwana Simba SC kwa Kuingia Robo Fainali ya CAFCC ila nisifiche wala kuwa Mnafiki kwa Uzoefu wangu wa hii Michezo na haya Masuala matokeo ni 50 / 50 na Uwezekano wa Kulia na Kutoamini Matokeo tutakayoyapata ni mkubwa tena kwa 85%.

Aliyebadili huo muda ametusaliti mno!!
 
Daaah.

Hivi kwa Nini mtu akifanikiwa WACHAWI nao wanaibuka Kama unyoga?

We jamaa wa kuwa hivi wewe???????

Usipomzoea GENTAMYCINE utapata nae taabu sana hapa JamiiForums. Yaani hapa nilipo Nacheka mpaka basi....!!!!
 
we ni mjinga sana unakumbuka ulichoandika hapa....juzi?
Leo naomba nitoe Elimu Kiduchu ya Unujumu ( Uchawi ) ni kwamba mara nyingi Jini la Simba SC huwa linakuwa 'Active' sana kati ya Saa 10 hadi Saa 12 na Saa 1 hadi Saa 3 na hiyo ya Saa 10 hadi Saa 12 nayo huwa ni Siku za Jumapili tu na siyo Siku za Jumamosi au Jumatano.

Kwa muda wa Saa 1 Usiku hadi Saa 3 Usiku huwa ni kwa Siku zozote zile na mara nyingi Simba SC huwa akicheza muda huu si tu kuwa huwa anashinda bali pia hushinda kwa Kishindo ( Ushindi Mnono )

Wazee wa Kazi ( Fitna, Uchawi na Roho Mbaya ) tulishaanza Kuicheza Mechi hii Kitambo hasa tukijua kuwa muda utakuwa ni ule ule wa Jini letu Simba SC kufurahi na kufanya Kazi kati ya Saa 1 Usiku na Saa 3 Usiku mara tena ghafla Jana tunasikia Mechi itachezwa Saa 4 Usiku ambayo itaisha karibia na Saa 6 Usiku muda ambao hata Kinyota ( Kinujumu ) ni mbaya na Jini letu nalo linakuwa limeshaondoka na halina Nguvu tena.

Kosa kubwa sana limefanyika hapa na binafsi kama GENTAMYCINE nimesikitika mno kwani sasa inatulazimu tuanze Kazi upya, tulazimishe Ushindi hata kwa Kufanya Makafara Makubwa na ya Kushtua ili Ushindi upatikane hasa kwa muda huo mpya wa Saa 4 Usiku mpaka Saa 6 Kasoro 10 au Kasoro 5 hivi.

Tukishinda kwa huo muda nitashukuru pia na kufurahi kama mwana Simba SC kwa Kuingia Robo Fainali ya CAFCC ila nisifiche wala kuwa Mnafiki kwa Uzoefu wangu wa hii Michezo na haya Masuala matokeo ni 50 / 50 na Uwezekano wa Kulia na Kutoamini Matokeo tutakayoyapata ni mkubwa tena kwa 85%.

Aliyebadili huo muda ametusaliti mno!!
Kwahiyo upo / mpo tayari 'Niroge' ili tuharibu Mechi Mbili zijazo za Ligi Kuu na ile ya Nusu Fainali Shirikisho?
 
GENTAMYCINE akili kubwa hivo halafu unashabikia yanga? Hebu hamia chama la wana Simba Sc
GENTAMYCINE nitawalaumu sana CAF na hata nitakuwa tayari kukata 'Rufaa' Kwao kama katika 'Draw' ya leo watatupanga na Timu 'Dhaifu' ya Al Ahly Tripoli ya Libya kwani nataka Kuuona Uwezo wa Simba SC ambayo inasifiwa 'Kipuuzi' Mitandaoni kwa Kupangwa na Majabali / Magwiji wa TP Mazembe ( Congo DR ) au Orlando Pirates ( South Africa )

Si tunajiamini? Basi tuwe Wavumilivu!!!!!
 
GENTA acha kuwa na wasiwasi... simba hajaifikia kiwango cha kuazima wachezaji wa yanga..ni kuidhalilisha simba.. wachezaji wa yanga uliowataja ni kweli ni wazuri lkn si kwa Michezo ya kimataifa.. Michezo ya kimataifa inatakiwa akili nyingi sana na sio mazoea kama tunavyofanya kwenye ligi yetu.. isione simba kufika pale akachukulia kirahisi kama amebahatisha vile!! No, wachezaji wa simba wanauzoefu mkubwa sana na match za kimataifa na ndo maana unawaona wako hapo walipofikia.
Kuhusu kufungwa nje hiyo ni kawaida sana ni sawa na simba tunavyowafunga timu pinzani kama vile As vita (goli 4),nkana(3), platnum(4), gendamrie(4)nk.. huwa nao wanajiandaa kama tunavyojiandaa sisi.. ila narudia tena acha kutudharirisha hatuwezi kuazima wachezaji wa kiwango cha akina mayele aucho sijui na bangala ambao hawajawahi hata kuwa na rekodi ya kuzipeleka timu zao kwenye robo fainali au hata makundi ya michezo ya caf halafu tuwaweke bench akina mugalu, mkude, onyango ambao wana rekodi nzuri kabisa ya kuipeleka simba robo fainali zaidi ya mara tatu..wametuingizia pesa nyingi kwa uwezo wao, wametuheshimisha na wameonyesha wanaweza..
 
Kauli kama hizi ndizo zitanifanya GENTAMYCINE sasa niamue 'Kuroga' vibaya ili Simba SC iharibu ikicheza na Coastal Union FC ya Tanga na Police Tanzania ya Kilimanjaro na pia ifungwe Goli nyingi kama Nane ( 8 ) huko Shirikisho.

Shauri yenu endeleeni Kunitibua tu Ok?
Roga tu hutakua wa kwanza
 
Acha mvua inyeshe, kwanza mi hata sikuwategemea simba kwa msimu huu kufika hapo walipofika. Hata wakitolewa sawa tu, wapangwe na mazembe watoke droo ya 1-1 kwa mkapa then droo ya 0-0 kule kongo. Lengo lako litatimia vizuri tu.
 
Back
Top Bottom