kokudo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 2,546
- 1,662
Aasalam aleikhum wana wa jamvi najua ni cku nyingi ha2jajumuika pa1 hapa.ok leo nimekuja na hili ni kweli kama una uhakika wa kupata maziwa hakuna haja ya kufuga ng'ombe?kwa maana kwamba kama una uhakika wa kupata mapenzi kwa namna yyte hakuna haja ya kuoa?
Naomba kuwakirisha
Naomba kuwakirisha