Kama unauhakika wa kupata maziwa ya nini kufuga ng'ombe?

faida za kufuga ngombe ni nyingi kuliko maziwa ambayo hujui hata yanatokea wapi mara yamechakachuliwa mara yamechanganywa na ya juzi na umeme huu jiandae kunywa yaliyoanza kuchacha uumwe tumbo bure
 
ata km una uhakika wa kujig jig daily kuoa lazima....

n i thk msemo huo unakuja kwa mtu ambaye aujampata msichana unayempenda au muda wako wa kuoa aujafika bt ile muda ukifika na ukampata demu unayempenda anayekupenda lazima tu utaoa ata km unado daily....

Rose hivi hapo kwenye red ndo nini vile maana sipati network kabisa mkuu wangu
 
Inategemea na maziwa wenyewe kama hutiwa maji bora kufuga ng'ombe upate maziwa bora kwa afya yk
 
Faida za kuwa specific nyingi kwamba kama bado dhamira yako ipo hai hauna haja ya kuuliza hili swali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom