Kama unataka utajiri kwa nchi maskini, ingia kwenye siasa; Kama unataka kuwa mwanasiasa kwa nchi tajiri, kuwa tajiri kwanza

Burkinabe

JF-Expert Member
Feb 12, 2023
1,892
3,197
Ukweli mchungu sana kwamba katika nchi za kishenzi ili uwe tajiri, basi uingie kwenye siasa.

Lakini katika nchi zinazojielewa kama Marekani na nchi za Ulaya, ili uwe kiongozi wa kisiasa lazima uwe vizuri kiuchumi, yaani ni lazima uwe tajiri.

Hii hali huwa na athari mbaya kwa nchi zetu kwa maana sehemu kubwa ya wanasiasa wetu, wako pale kwa maslahi yao binafsi badala ya kuwepo kwa maslahi ya Taifa na nchi kwa ujumla. Ndiyo maana utakuta waziri anasaini mikataba ya hovyo sana kwa sababu tu amepewa kiasi kidogo cha rushwa.

Kama kweli tumeamua kupiga hatua kama nchi, basi inatupasa ifikie mahali kila mwananchi apigie kelele suala la ufisadi na ubadhilifu wa mali za Umma. Pia tusidanganyike kuchagua watu kwa kuhongwa tshirt, kofia, kanga, vitenge, chumvi, sukari n.k ili kuwachagua viongozi wetu kwa sababu gharama zake ni kubwa sana na imekuwa ikitugharimu sana kama Taifa..
 
Ukweli mchungu sana kwamba katika nchi za kishenzi ili uwe tajiri, basi uingie kwenye siasa.

Lakini katika nchi zinazojielewa kama Marekani na nchi za Ulaya, ili uwe kiongozi wa kisiasa lazima uwe vizuri kiuchumi, yaani ni lazima uwe tajiri.

Hii hali huwa na athari mbaya kwa nchi zetu kwa maana sehemu kubwa ya wanasiasa wetu, wako pale kwa maslahi yao binafsi badala ya kuwepo kwa maslahi ya Taifa na nchi kwa ujumla. Ndiyo maana utakuta waziri anasaini mikataba ya hovyo sana kwa sababu tu amepewa kiasi kidogo cha rushwa.

Kama kweli tumeamua kupiga hatua kama nchi, basi inatupasa ifikie mahali kila mwananchi apigie kelele suala la ufisadi na ubadhilifu wa mali za Umma. Pia tusidanganyike kuchagua watu kwa kuhongwa tshirt, kofia, kanga, vitenge, chumvi, sukari n.k ili kuwachagua viongozi wetu kwa sababu gharama zake ni kubwa sana na imekuwa ikitugharimu sana kama Taifa..
Uanasiasa una ngazi nyingi
Hebu fafanua ni ngazi ipi ya Uanasiasa itakayokufanya uwe Tajiri
Pia kwa Chama gani ?

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Ukweli mchungu sana kwamba katika nchi za kishenzi ili uwe tajiri, basi uingie kwenye siasa.

Lakini katika nchi zinazojielewa kama Marekani na nchi za Ulaya, ili uwe kiongozi wa kisiasa lazima uwe vizuri kiuchumi, yaani ni lazima uwe tajiri.

Hii hali huwa na athari mbaya kwa nchi zetu kwa maana sehemu kubwa ya wanasiasa wetu, wako pale kwa maslahi yao binafsi badala ya kuwepo kwa maslahi ya Taifa na nchi kwa ujumla. Ndiyo maana utakuta waziri anasaini mikataba ya hovyo sana kwa sababu tu amepewa kiasi kidogo cha rushwa.

Kama kweli tumeamua kupiga hatua kama nchi, basi inatupasa ifikie mahali kila mwananchi apigie kelele suala la ufisadi na ubadhilifu wa mali za Umma. Pia tusidanganyike kuchagua watu kwa kuhongwa tshirt, kofia, kanga, vitenge, chumvi, sukari n.k ili kuwachagua viongozi wetu kwa sababu gharama zake ni kubwa sana na imekuwa ikitugharimu sana kama Taifa..
Nimekuelewa vizuri sana hapo!
94da066f-6dd3-4f9e-a48f-509ec0c0662f.jpg
 
Pascal Mayalla kuna ndugu yangu yeye alikuwa anautaka ubunge wa jimbo moja hapo Dar. Labda nimuulize na namuomba anijibu kwenye huu uzi wako wenye kichwa hicho cha habari. Lengo lako bwana mkubwa lilikuwa ni nini hasa kuingia kwenye siasa??

Naskia Tulia na yeye yupo hapa naomba mnitag ID yake tupate kuyasikia toka kwake, kutoka uwalimu hadi ubunge

Malengo yao yalikuwa ni nini hasa??
 
Ukweli mchungu sana kwamba katika nchi za kishenzi ili uwe tajiri, basi uingie kwenye siasa.

Lakini katika nchi zinazojielewa kama Marekani na nchi za Ulaya, ili uwe kiongozi wa kisiasa lazima uwe vizuri kiuchumi, yaani ni lazima uwe tajiri.

Hii hali huwa na athari mbaya kwa nchi zetu kwa maana sehemu kubwa ya wanasiasa wetu, wako pale kwa maslahi yao binafsi badala ya kuwepo kwa maslahi ya Taifa na nchi kwa ujumla. Ndiyo maana utakuta waziri anasaini mikataba ya hovyo sana kwa sababu tu amepewa kiasi kidogo cha rushwa.

Kama kweli tumeamua kupiga hatua kama nchi, basi inatupasa ifikie mahali kila mwananchi apigie kelele suala la ufisadi na ubadhilifu wa mali za Umma. Pia tusidanganyike kuchagua watu kwa kuhongwa tshirt, kofia, kanga, vitenge, chumvi, sukari n.k ili kuwachagua viongozi wetu kwa sababu gharama zake ni kubwa sana na imekuwa ikitugharimu sana kama Taifa..
Umemaliza yote
 
Ukweli mchungu sana kwamba katika nchi za kishenzi ili uwe tajiri, basi uingie kwenye siasa.

Lakini katika nchi zinazojielewa kama Marekani na nchi za Ulaya, ili uwe kiongozi wa kisiasa lazima uwe vizuri kiuchumi, yaani ni lazima uwe tajiri.

Hii hali huwa na athari mbaya kwa nchi zetu kwa maana sehemu kubwa ya wanasiasa wetu, wako pale kwa maslahi yao binafsi badala ya kuwepo kwa maslahi ya Taifa na nchi kwa ujumla. Ndiyo maana utakuta waziri anasaini mikataba ya hovyo sana kwa sababu tu amepewa kiasi kidogo cha rushwa.

Kama kweli tumeamua kupiga hatua kama nchi, basi inatupasa ifikie mahali kila mwananchi apigie kelele suala la ufisadi na ubadhilifu wa mali za Umma. Pia tusidanganyike kuchagua watu kwa kuhongwa tshirt, kofia, kanga, vitenge, chumvi, sukari n.k ili kuwachagua viongozi wetu kwa sababu gharama zake ni kubwa sana na imekuwa ikitugharimu sana kama Taifa..
Ukisema ni lazima Obama aliingia state house na utajiri kiasi gani? Au measure yako ya utajiri ni ipi mkuu?
 
Pascal Mayalla kuna ndugu yangu yeye alikuwa anautaka ubunge wa jimbo moja hapo Dar. Labda nimuulize na namuomba anijibu kwenye huu uzi wako wenye kichwa hicho cha habari. Lengo lako bwana mkubwa lilikuwa ni nini hasa kuingia kwenye siasa??

Naskia Tulia na yeye yupo hapa naomba mnitag ID yake tupate kuyasikia toka kwake, kutoka uwalimu hadi ubunge

Malengo yao yalikuwa ni nini hasa??
Malengo yao nikutafuta utajiri huku kungine wameukosa, wakaona kwenye siasa utajiri wataupata!
 
Back
Top Bottom