Kama unatoka ukoo huu jukumu la kutengeneza ukoo mwingine tajiri linakuhusu

Feb 4, 2024
67
206
Dhana kuwa mambo hufuata watu ndani ya ukoo ina ukweli wake na mifano yake ipo wazi tu, tukiachana na mfanano wa vinasaba pia hata mazingira huchangia hali hiyo japo kwa ulimwengu wa kiroho watalaam wanasema kuna roho huwa zinatembea ndani ya ukoo fulani.

Ulimwengu wa kitajiri na maskini kuna koo utakuta ni tajiri kutoka Babu mpaka mjuu na kuna koo utakuta ni maskini kuanzia Babu mpaka mjukuu na hapo ndipo kwenye dhana ya urithi wa utajiri na umaskini.

Umewahi kuona ukoo fulani mtu mmoja tu ndio tajiri ila wengine wote ni maskini? Kama ndio Jaribu kufuatilia historia ya huyo mtu lazima katumia nguvu kubwa kuwa hivyo wa pekee na hiyo nguvu ndio inaitwa nguvu ya kujiengua kutoka kwenye ukoo maskini na kujitengenezea ukoo tajiri vivyo hivyo kuna mtu maskini ila wengi kwenye ukoo wake ni matajiri basi huyo yupo anajiengua kutoka ukoo tajiri na kutengeneza ukoo wake maskini.

Sio kazi kubwa kujijua upo kwenye ukoo upi bali angalia tu viashiria kama kwenu hakuna tajiri na historia ya babu zako pia hali ilikuwa hivyo hivyo basi jua una kazi kubwa ya kufanya kuukana ukoo huo na kutengeneza ukoo mpya tajiri (sina maana uukane kuwa wewe sio mwana ukoo la hasha bali uukane umaskini unaotembea kwenye ukoo wenu), Sasa uta ukana vipi?

HAYA NDIO MAMBO YA KUFANYA ILI KUACHANA NA UKOO MASKINI NA KUTENGENEZA UKOO MPYA TAJIRI

1. Kwenye kuoa/kuolewa jitahidi uambatane na mtu ambaye sio maskini wa fikra (anaweza kuwa maskini wa kipato ila asiwe maskini wa fikra yaani akilini awe tajiri ajaye tena kwa vitendo).

2. Usisumbuke kumaliza umaskini wa ukoo wenu hili hutaweza bali nawe utaishia kuwa maskini pia bali anza kuandaa utajiri mpaka utakao wazaa waukute ili waanzie pale ulipoishia wewe.

3. Kubali kulaumiwa na wana ukoo bali usiache kuwa sawa nao maana ukianza kujipata lawama zitakuwa nyingi sana na hasa pale utapokuwa ukikwepa mizigo yao kwa mfano wataanza kutaka usomeshe watoto wao wote, uwajengee nyumba na mengine mengi lakini je kweli ukiwafanyia hivyo utatoboa?

3. Wekeza kwenye mipango ambayo hata ukifa yenyewe haifi bali itaendelea kuishi na hivi ndivyo wafanyavyo matajiri wote ambao wanataka utajiri wao usife pindi wao wakifa.

4. Usikubali kuwa mshirikina ili upate utajiri hapa nawe utakuwa maskini tu kwa sababu kwenye hizo imani za kishirikina kuna laana tupu na kuna ambao wameishia jela na hata utajiri hawajapata, kufikiria utajiri kwa njia ya kishirikina ni matokeo ya uvivu wa kufikiria na kukosa utulivu wa subira.

4. Andaa watoto wako kuwa matajiri pindi wakiwa wadogo na kwenye hili uwe mkali kidogo kwa sababu wanaweza kulemaa wakihisi hata wasipo pambana bado tu watarithi utajiri wako, waandae zaidi kuendeleza mali na sio kurithi mali.

5. Usikate tamaa kizembe ukiona harakati zinakuwa ngumu kwako usianze kujifariji kwa kauli zisizo faa na za kimaskini kama vile.

"Maisha ndio haya haya"
"Maskini pia ni mtu"
"Sisi kwetu ndivyo tulivyo hatuwezi biashara"

Hizo ni kauli za kimaskini na zisizo na ukombozi wowote ule kifikra bali kukukandamiza tu kuwa maskini zaidi.

Makala hii imeandikwa na Mwanasayansi Saul kalivubha.

#fikia ndoto zako.
 
KAMA UNATOKA UKOO HUU BASI JUKUMU LA KUTENGENEZA UKOO MWINGINE TAJIRI LINAKUHUSU.

Dhana kuwa mambo hufuata watu ndani ya ukoo ina ukweli wake na mifano yake ipo wazi tu , tukiachana na mfanano wa vinasaba pia hata mazingira huchangia hali hiyo japo kwa ulimwengu wa kiroho watalaam wanasema kuna roho huwa zinatembea ndani ya ukoo fulani.


Ulimwengu wa kitajiri na maskini kuna koo utakuta ni tajiri kutoka Babu mpaka mjuu na kuna koo utakuta ni maskini kuanzia Babu mpaka mjukuu na hapo ndipo kwenye dhana ya urithi wa utajiri na umaskini.


Umewahi kuona ukoo fulani mtu mmoja tu ndio tajiri ila wengine wote ni maskini? Kama ndio Jaribu kufuatilia historia ya huyo mtu lazima katumia nguvu kubwa kuwa hivyo wa pekee na hiyo nguvu ndio inaitwa nguvu ya kujiengua kutoka kwenye ukoo maskini na kujitengenezea ukoo tajiri vivyo hivyo kuna mtu maskini ila wengi kwenye ukoo wake ni matajiri basi huyo yupo anajiengua kutoka ukoo tajiri na kutengeneza ukoo wake maskini.

Sio kazi kubwa kujijua upo kwenye ukoo upi bali angalia tu viashiria kama kwenu hakuna tajiri na historia ya babu zako pia hali ilikuwa hivyo hivyo basi jua una kazi kubwa ya kufanya kuukana ukoo huo na kutengeneza ukoo mpya tajiri ( sina maana uukane kuwa wewe sio mwana ukoo la hasha bali uukane umaskini unaotembea kwenye ukoo wenu), Sasa uta ukana vipi?

HAYA NDIO MAMBO YA KUFANYA ILI KUACHANA NA UKOO MASKINI NA KUTENGENEZA UKOO MPYA TAJIRI.

1.Kwenye kuoa/kuolewa jitahidi uambatane na mtu ambaye sio maskini wa fikra ( anaweza kuwa maskini wa kipato ila asiwe maskini wa fikra yaani akilini awe tajiri ajaye tena kwa vitendo).

2.Usisumbuke kumaliza umaskini wa ukoo wenu hili hutaweza bali nawe utaishia kuwa maskini pia bali anza kuandaa utajiri mpaka utakao wazaa waukute ili waanzie pale ulipoishia wewe.

3.Kubali kulaumiwa na wana ukoo bali usiache kuwa sawa nao maana ukianza kujipata lawama zitakuwa nyingi sana na hasa pale utapokuwa ukikwepa mizigo yao kwa mfano wataanza kutaka usomeshe watoto wao wote, uwajengee nyumba na mengine mengi lakini je kweli ukiwafanyia hivyo utatoboa ?

3.Wekeza kwenye mipango ambayo hata ukifa yenyewe haifi bali itaendelea kuishi na hivi ndivyo wafanyavyo matajiri wote ambao wanataka utajiri wao usife pindi wao wakifa.

4.Usikubali kuwa mshirikina ili upate utajiri hapa nawe utakuwa maskini tu kwa sababu kwenye hizo imani za kishirikina kuna laana tupu na kuna ambao wameishia jela na hata utajiri hawajapata , kufikiria utajiri kwa njia ya kishirikina ni matokeo ya uvivu wa kufikiria na kukosa utulivu wa subira.

4.Andaa watoto wako kuwa matajiri pindi wakiwa wadogo na kwenye hili uwe mkali kidogo kwa sababu wanaweza kulemaa wakihisi hata wasipo pambana bado tu watarithi utajiri wako, waandae zaidi kuendeleza mali na sio kurithi mali .

5.Usikate tamaa kizembe ukiona harakati zinakuwa ngumu kwako usianze kujifariji kwa kauli zisizo faa na za kimaskini kama vile

" Maisha ndio haya haya"
"Maskini pia ni mtu"
"Sisi kwetu ndivyo tulivyo hatuwezi biashara "

Hizo ni kauli za kimaskini na zisizo na ukombozi wowote ule kifikra bali kukukandamiza tu kuwa maskini zaidi.

Makala hii imeandikwa na Mwanasayansi Saul kalivubha
#fikia ndoto zako.
We jamaa, una sifa zote za kuwa my friend.
Kula 5 popote ulipo kamanda.
 
Dhana kuwa mambo hufuata watu ndani ya ukoo ina ukweli wake na mifano yake ipo wazi tu, tukiachana na mfanano wa vinasaba pia hata mazingira huchangia hali hiyo japo kwa ulimwengu wa kiroho watalaam wanasema kuna roho huwa zinatembea ndani ya ukoo fulani.

Ulimwengu wa kitajiri na maskini kuna koo utakuta ni tajiri kutoka Babu mpaka mjuu na kuna koo utakuta ni maskini kuanzia Babu mpaka mjukuu na hapo ndipo kwenye dhana ya urithi wa utajiri na umaskini.

Umewahi kuona ukoo fulani mtu mmoja tu ndio tajiri ila wengine wote ni maskini? Kama ndio Jaribu kufuatilia historia ya huyo mtu lazima katumia nguvu kubwa kuwa hivyo wa pekee na hiyo nguvu ndio inaitwa nguvu ya kujiengua kutoka kwenye ukoo maskini na kujitengenezea ukoo tajiri vivyo hivyo kuna mtu maskini ila wengi kwenye ukoo wake ni matajiri basi huyo yupo anajiengua kutoka ukoo tajiri na kutengeneza ukoo wake maskini.

Sio kazi kubwa kujijua upo kwenye ukoo upi bali angalia tu viashiria kama kwenu hakuna tajiri na historia ya babu zako pia hali ilikuwa hivyo hivyo basi jua una kazi kubwa ya kufanya kuukana ukoo huo na kutengeneza ukoo mpya tajiri (sina maana uukane kuwa wewe sio mwana ukoo la hasha bali uukane umaskini unaotembea kwenye ukoo wenu), Sasa uta ukana vipi?

HAYA NDIO MAMBO YA KUFANYA ILI KUACHANA NA UKOO MASKINI NA KUTENGENEZA UKOO MPYA TAJIRI

1. Kwenye kuoa/kuolewa jitahidi uambatane na mtu ambaye sio maskini wa fikra (anaweza kuwa maskini wa kipato ila asiwe maskini wa fikra yaani akilini awe tajiri ajaye tena kwa vitendo).

2. Usisumbuke kumaliza umaskini wa ukoo wenu hili hutaweza bali nawe utaishia kuwa maskini pia bali anza kuandaa utajiri mpaka utakao wazaa waukute ili waanzie pale ulipoishia wewe.

3. Kubali kulaumiwa na wana ukoo bali usiache kuwa sawa nao maana ukianza kujipata lawama zitakuwa nyingi sana na hasa pale utapokuwa ukikwepa mizigo yao kwa mfano wataanza kutaka usomeshe watoto wao wote, uwajengee nyumba na mengine mengi lakini je kweli ukiwafanyia hivyo utatoboa?

3. Wekeza kwenye mipango ambayo hata ukifa yenyewe haifi bali itaendelea kuishi na hivi ndivyo wafanyavyo matajiri wote ambao wanataka utajiri wao usife pindi wao wakifa.

4. Usikubali kuwa mshirikina ili upate utajiri hapa nawe utakuwa maskini tu kwa sababu kwenye hizo imani za kishirikina kuna laana tupu na kuna ambao wameishia jela na hata utajiri hawajapata, kufikiria utajiri kwa njia ya kishirikina ni matokeo ya uvivu wa kufikiria na kukosa utulivu wa subira.

4. Andaa watoto wako kuwa matajiri pindi wakiwa wadogo na kwenye hili uwe mkali kidogo kwa sababu wanaweza kulemaa wakihisi hata wasipo pambana bado tu watarithi utajiri wako, waandae zaidi kuendeleza mali na sio kurithi mali.

5. Usikate tamaa kizembe ukiona harakati zinakuwa ngumu kwako usianze kujifariji kwa kauli zisizo faa na za kimaskini kama vile.

"Maisha ndio haya haya"
"Maskini pia ni mtu"
"Sisi kwetu ndivyo tulivyo hatuwezi biashara"

Hizo ni kauli za kimaskini na zisizo na ukombozi wowote ule kifikra bali kukukandamiza tu kuwa maskini zaidi.

Makala hii imeandikwa na Mwanasayansi Saul kalivubha.

#fikia ndoto zako.
Habari njema kwa darasa huru.
 
Kitabu kilichochakaa na chenye vumbi kinaweza kukupa maarifa ya ushindi.

Usijali mtoa ujumbe (ad hominem fallacy), jali ujumbe.
• Naam mkuu, ingawa sipendi sana hadithi bali napenda kuona mwenyewe..

• Napendekeza nguvu alizotumia kuandika hapo(mwandishi) angejikita zaidi kwenye utafuaji wa mali.. Ili iwe rahisi kusimulia kwa vitendo, hii itasaidia sana hata sisi akina tomaso tukubali kubatizwa kwa haraka.
 
Na wewe unaamini kwenye roho za umaskini?

Aisee....

Au sijaelewa?
Lugha ya Kiswahili ina mapengo mengi kwenye mambo mengi. Hivyo neno moja linaweza kuwa na tafsiri nyingi tofauti.

Na hiki si tatizo la Kiswahiki tu, kuna siku nilitatizwa sana na mwanasayansi kutumia neno "heavens" kwa kumaanisha anga za mbali. Nikasema huyu lazima atakuwa kakosea. Nikatafuta maana ya kamusi ya heaven nikaona kuna maana ya mbingu, ambayo kisayansi haikubaliki, lakini pia, kuna maana ya anga za juu, ambayo ni archaic, lakini inakubalika na kutumiwa.

Neno roho linatafsirika kama spirit. Roho Mtakatifu. Holy Spirit. Mimi siamini katika roho kwamba ukifa kuna roho inaondoka kwenye mwili.

Lakini, nakubali kwenye roho kwa tafsiri ya spirit. Attitude. Kama vike "the spirit of enterpreneurship". Hiyo tafsiri ya neno roho sina tatizo nayo. Na hiyo ndiyo niliyoichukua katika thread hii.

We must be careful to not be stuck in the typical "argument from dictionary" logical fallacy.

But, even if you are using the dictionary, the word roho, as in spirit, has a wider meaning than a religious one. Because roho can mean spirit, attitude, disposition, outlook, philosophy of life.
 
• Naam mkuu, ingawa sipendi sana hadithi bali napenda kuona mwenyewe..

• Napendekeza nguvu alizotumia kuandika hapo(mwandishi) angejikita zaidi kwenye utafuaji wa mali.. Ili iwe rahisi kusimulia kwa vitendo, hii itasaidia sana hata sisi akina tomaso tukubali kubatizwa kwa haraka.
Kwanza kabisa, hujui haki ya kiuchumi ya muandishi.

Pili, kufanya kwa vitendo wewe mwenyewe hai guarantee kuweza kufundisha vizuri zaidi.

Kuna watu wana kipaji cha kufanya vizuri, hawawezi kufundisha vizuri.

Na kuna watu wana kioaji cha kufundisha vizuri, lakini hawana kipaji cha kufanya vizuri.

Sasa, utakataa ujuzi wa profesa anayejua kufundisha biashara vizuri kuliko Mangi mwenye duka kwa sababu profesa hana duka?
 
na sisi tunao amini mafanikio ni bahati/zari kam zari la professor j tufanye nin
 
Back
Top Bottom