kama unataka kiwanja nunua kipindi hiki cha mvua ulijue eneo vizuri

kama unataka kiwanja nunua kipindi hiki cha mvua ulijue eneo vizuri

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
23,580
Reaction score
56,799
usinunue kipindi cha kiangazi kama unataka kiwanja tafuta msimu wa mvua eneo unaliona vizuri kama lina asili ya matope au kuna maji yanapita chini kwa chini ili kuepuka changamoto.Na bora matope kuliko ununue kiwanja sehemu ambayo ni wetland.kiangazi hutagundua .
 
usinunue kipindi cha kiangazi kama unataka kiwanja tafuta msimu wa mvua eneo unaliona vizuri kama lina asili ya matope au kuna maji yanapita chini kwa chini ili kuepuka changamoto.Na bora matope kuliko ununue kiwanja sehemu ambayo ni wetland.kiangazi hutagundua .
Eneo linalotwama maji, linaonekana tu kama ni mtu makini. Slope ya eneo. Majirani, mto vinasema kila kitu
 
Shida ni umasikini tu mtu unakomaa kujenga kwenye eneo la unaweza slope ukaweka miundombinu ya maji na baraba maji yakapita vzr tu kwa sababu mvua ni dakika au masaa machache tu tatizo ni pale mnapoamua kujenga kwenye slope mpa naziba mpaka njia za maji
 
Shida ni umasikini tu mtu unakomaa kujenga kwenye eneo la unaweza slope ukaweka miundombinu ya maji na baraba maji yakapita vzr tu kwa sababu mvua ni dakika au masaa machache tu tatizo ni pale mnapoamua kujenga kwenye slope mpa naziba mpaka njia za maji
Slope kaiweke msimbazi basi maji yapite 😂😂
 
Huu ndio ukweli wenyewe.
KAZI ni kipimo cha utu
 
Back
Top Bottom