Kama unafanya kazi ili upate hela ushafeli maisha

Kama unafanya kazi ili upate hela ushafeli maisha

stakehigh

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2019
Posts
18,905
Reaction score
14,671
Mo-Dewji alishawahi kuulizwa hili swali,
"Mpaka sasa wewe ni billionea, is it worth it" akajibu "hapana, nlifanya kazi kwa bidii sana nkapoteza muda wa kua katika ukuaji wa familia yangu hivo ningeweza kurudi nyuma nisingefanya haya tena"

nmesahau ilikua ni kituo gan but hivi ndo alijibu, japokua unaweza kuleta mada kwamba tayar anazo hivo hana shida lakini uhalisia wa maisha ni, PESA ni siasa na hutengenezwa mda wowote zinapohitajika, fikiria kwenye mfumo huu, tuseme mm nmeenda msituni nkachuma majani mengii nkasema kuanzia saahv ukiwa na haya majani ndo unaenda mjini,, utakua mrahisi kudandia kupata hayo majani bila kuangalia picha ya nyuma kwamba hata mm naweza kwenda msituni kupata majani hayo hayo ambayo ningeyapata kwa huyo jamaa kwa sheriia kadhaa! hivi ndivo maisha ya wengi yanaendeshwa tafauti ya hayo majani na uhalisia ni majani ya saahv yana rangi rangi nyingi na namba kupima nan achukue majani mengi zaidi,

Usitumie mda wako mwingi kusubiriia promoshen za ofisini upate mshahara mkubwa, usiwe mzazi ambae kazi yake kutuma ela badala yake kua mzazi kwel
 
Tunawezaje kufanya ulinganishi na mtu ambaye amezaliwa amekuta Baba yake tayari ni Bilionea

Sio jambo rahisi kuzaliwa kwenye hizi familia zetu za kajamba nani, ambazo wengi tulisoma kidumu na fagio

Mimi mwenyewe ningezaliwa kwenye familia ya akina Mo, muda huu ningekuwa namkimbiza Elon Musk
 
Mo-Dewji alishawahi kuulizwa hili swali,
"Mpaka sasa wewe ni billionea, is it worth it" akajibu "hapana, nlifanya kazi kwa bidii sana nkapoteza muda wa kua katika ukuaji wa familia yangu hivo ningeweza kurudi nyuma nisingefanya haya tena"

nmesahau ilikua ni kituo gan but hivi ndo alijibu, japokua unaweza kuleta mada kwamba tayar anazo hivo hana shida lakini uhalisia wa maisha ni, PESA ni siasa na hutengenezwa mda wowote zinapohitajika, fikiria kwenye mfumo huu, tuseme mm nmeenda msituni nkachuma majani mengii nkasema kuanzia saahv ukiwa na haya majani ndo unaenda mjini,, utakua mrahisi kudandia kupata hayo majani bila kuangalia picha ya nyuma kwamba hata mm naweza kwenda msituni kupata majani hayo hayo ambayo ningeyapata kwa huyo jamaa kwa sheriia kadhaa! hivi ndivo maisha ya wengi yanaendeshwa tafauti ya hayo majani na uhalisia ni majani ya saahv yana rangi rangi nyingi na namba kupima nan achukue majani mengi zaidi,

Usitumie mda wako mwingi kusubiriia promoshen za ofisini upate mshahara mkubwa, usiwe mzazi ambae kazi yake kutuma ela badala yake kua mzazi kwel
Money is not everything but you need it ,It can not make you happy but it can buy a good pleasure, It can not make you health but It can buy a Good health care

Tafuta Hela... Life is not simple Without it.. Unless uende Ngorongoro Kuweka Kambi Huko ule kwa Kuwinda na Kula Matunda.. Ukiwa Mjini Pambana
 
Tunawezaje kufanya ulinganishi na mtu ambaye amezaliwa amekuta Baba yake tayari ni Bilionea

Sio jambo rahisi kuzaliwa kwenye hizi familia zetu za kajamba nani, ambazo wengi tulisoma kidumu na fagio

Mimi mwenyewe ningezaliwa kwenye familia ya akina Mo, muda huu ningekuwa namkimbiza Elon Musk
maisha hayako ivo
 
Money is not everything but you need it ,It can not make you happy but it can buy a good pleasure, It can not make you health but It can buy a Good health care

Tafuta Hela... Life is not simple Without it.. Unless uende Ngorongoro Kuweka Kambi Huko ule kwa Kuwinda na Kula Matunda.. Ukiwa Mjini Pambana
because hauna ivo vitu kwa sasa ndo maaana unaona ni issue sana, ila ulivo navo wewe saaahv kuna mtu pia anasema nikivipate vile yaaani..
 
Mi Mwenyewe Mtu Kazi Niache Kazi na Sina Kazi
1757261392567.jpg
 
maisha hayako ivo
Sawa, lakini hiyo ni sababu ya kumfanya yeye Mo awe Bilionea


Wewe na Mimi, huenda tumezaliwa na kukuta familia zetu hakuna inachomiliki zaidi ya nyumba za udongo walizonazo 🙌
 
Mo-Dewji alishawahi kuulizwa hili swali,
"Mpaka sasa wewe ni billionea, is it worth it" akajibu "hapana, nlifanya kazi kwa bidii sana nkapoteza muda wa kua katika ukuaji wa familia yangu hivo ningeweza kurudi nyuma nisingefanya haya tena"
Huyo Mo anajua upande mmoja tu wa shillingi - kuwa na mpunga mrefu tu. Hajui kabisa adha za upande mwingine.

Wakati yeye alienda US kirahisi tu kusoma chuo, kuna mtu Tanzania ameshindwa kusoma kwa kukosa mkopo wa elimu ya juu.

Wakati yeye alihitimu chuo akakabidhiwa usukani wa kuendesha biashara za thamani ya mabilioni, kuna mTz alimaliza chuo akakosa kazi akawa machinga au bodaboda kwanza. Mtu kama huyu ukimwambia atulie nyumbani aangalie ukuaji wa familia itawezekana vipi? Kuna ukuaji gani wa familia bila pesa???
 
Mfano irrelevant kabisa ,maisha ya sasa ni magumu sana ...Yaani umaskini unaharibu mustakabali wote wa maisha yako ,hata hiyo familia hautaweza kukaa nayo vizuri .

Ndoa bila ya pesa basi jiandae kuivuruga mapema.
 
Mo-Dewji alishawahi kuulizwa hili swali,
"Mpaka sasa wewe ni billionea, is it worth it" akajibu "hapana, nlifanya kazi kwa bidii sana nkapoteza muda wa kua katika ukuaji wa familia yangu hivo ningeweza kurudi nyuma nisingefanya haya tena"

nmesahau ilikua ni kituo gan but hivi ndo alijibu, japokua unaweza kuleta mada kwamba tayar anazo hivo hana shida lakini uhalisia wa maisha ni, PESA ni siasa na hutengenezwa mda wowote zinapohitajika, fikiria kwenye mfumo huu, tuseme mm nmeenda msituni nkachuma majani mengii nkasema kuanzia saahv ukiwa na haya majani ndo unaenda mjini,, utakua mrahisi kudandia kupata hayo majani bila kuangalia picha ya nyuma kwamba hata mm naweza kwenda msituni kupata majani hayo hayo ambayo ningeyapata kwa huyo jamaa kwa sheriia kadhaa! hivi ndivo maisha ya wengi yanaendeshwa tafauti ya hayo majani na uhalisia ni majani ya saahv yana rangi rangi nyingi na namba kupima nan achukue majani mengi zaidi,

Usitumie mda wako mwingi kusubiriia promoshen za ofisini upate mshahara mkubwa, usiwe mzazi ambae kazi yake kutuma ela badala yake kua mzazi kwel
Hoja maridhawa, ila umezunguka sana Mkuu kuifafaniua
 
Sawa, lakini hiyo ni sababu ya kumfanya yeye Mo awe Bilionea


Wewe na Mimi, huenda tumezaliwa na kukuta familia zetu hakuna inachomiliki zaidi ya nyumba za udongo walizonazo 🙌
sio lazima uwe MO ila umri unavoenda priorities znabadilika pakubwa sana, wapo watu wana hela zaidi ya MO lakini angalia maisha yao ya kila siku ni ya kawaida sana ni kwa sababu priorities znabadilika hata MO mwenyewe saahv anaisha maisha ya kawaida sana ila ambao hawajapata ela ndo wanapapatikia pesa za uyo anaeishi kawaida
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom