Elezea kidogo kwanini unaamini uchawi upo, binafsi uchawi ni matokeo ya uwezo mdogo wa hasa sisi wenye ngozi nyeusi katika kuchanganua changamoto mbalimbali tunazokutana nazo, mf umaskini, magonjwa, nk. Kwa aina ya mada uliyoleta na kusema unaamini uchawi nakushangaa