Kama una uwezo huu usikimbilie Majuu!

Kama una uwezo huu usikimbilie Majuu!

Sasa mbona naonaga jamaa wakirudi likizo au wakiwa wanaenda masomoni wanabeba unga, kahawa, majani ya chai, maharagwe, mchele kutoka bongo kwenda ulaya,amerika, asia n.k tena kuna mshkaji alibeba mbaka soda aina ya tangawiz akadai kule alipo moja ya sehemu za marekani anaikosa iyo soda.
Sasa atainywa mara ngapi au alibeba makreti
 
Bongo hata nyekundu moja ya Msimbazi si hela ndogo aisee!

Ukiikuta imegawanywa vizuri inalisha mtu kwa wiki nzima.
Hela unaweza kuiona ndogo kama unayo.

Kama huna nauli ya daladala na una safari yako muhimu, nauli tu inakuwa bonge la mgogoro.

Ndiyo hapo mtu anapounga mguu Azimio la Arusha na kugundua shortcut kibao.

Yani maisha ya kawaida tu gym!
 
Halafu kwa sasa

Helaunaweza kuiona ndogo kama unayo.

Kama huna nauli ya daladala na una safari yako muhimu, nauli tu inakuwa bonge la mgogoro.

Ndiyo hapo mtu anapounga mguu Azimio la Arusha na kugundua shortcut kibao.

Yani maisha ya kawaida tu gym!

Wakati mwingine huwa nahisi labda tunaposikia Tanzania tunakuwa tunaiwaza Dar tu kwa kiasi kikubwa.

Kwa Dar 10,000 inaweza isiwe hela kubwa.

Ila nenda vijijini huko.

Ukimpa mtu hata buku tano atakushukuru mno.

Kipindi ufisadi ulipokuwa umetamalaki kuna watu huko vijijini walikuwa wanalala jela kwa kushindwa kutoa rushwa hata ya 5,000 tu!!!

Hopefully mambo yamebadilika kwa sasa....
 
Hela unaweza kuiona ndogo kama unayo.

Kama huna nauli ya daladala na una safari yako muhimu, nauli tu inakuwa bonge la mgogoro.

Ndiyo hapo mtu anapounga mguu Azimio la Arusha na kugundua shortcut kibao.

Yani maisha ya kawaida tu gym!
Kulima si unaweza? Tatizo ni nini?
 
Kulima si unaweza? Tatizo ni nini?
Si kila mtu anaweza kulima.

Na kulimakunataka mipango ya mda mrefu, si kitu cha kufanya leo na kupata matokeo kesho.

Kuna namna nyingi ambazo zinaweza kumfanya mtu asiye mkulima mwenye shughuli nyingine halaliakawa kakosa hela hata ya nauli.

Mathalani, kaibiwa.
 
Jamani. Sisi tuko Ulaya Hakuna maisha rahisi. Huku hutaokota Hela. Uzuri wa huku huhitaji cash Mara moja kuwa na gari. Utakula lakini kutajirika usiote. Utaweza kujibana na kufanya mambo Tz. Na huko mtu ukirudi likizo ndo unafeel kabisa upo home. Hakuna ubaguzi.nk. Juzi mama anazungumza na mimi kuwa waafrika wamezidi Ujerumani. Wakati mie cheusi Dawa. It’s never easy. Ila professional zetu zinatulinda. Hakuna easy ndugu . Cola Mfano Euro 2.50 hotelini. Tshs zaidi ya 5000. mlo hoteli kawaida tu Mfano chinesisches Restaurant 12 Au 11 Euro. So msitaje tu Euro 1600 nk. Kodi. Na kila kitu ni fedhaaaaa.
 
Si kila mtu anaweza kulima.

Na kulimakunataka mipango ya mda mrefu, si kitu cha kufanya leo na kupata matokeo kesho.

Kuna namna nyingi ambazo zinaweza kumfanya mtu asiye mkulima mwenye shughuli nyingine halaliakawa kakosa hela hata ya nauli.

Mathalani, kaibiwa.
Wengi wanao lalamika humu sio waliopata maafa ya kuibiwa au kupoteza mali zao kwa ajali, bali ni wale wavivu wa kusubiri madili. Kuna shughuli nyingi. Hatuwezi wote tukategemea kuajiliwa. Nina Dani yeyote ni mbunifu.

Tatizo lina kuja pale mtu asipopenda kujishughilisha. Msinielewe vibaya. Siwazubgumzii walemavu au watu wenye mapungufu ya kimwili na maradhi. Nazungumzia vijana wenye nguvu bado na kwa namna moja au nyingingine hawaja pata nafasi ya kusoma ili kuajiliwa viwandani au maofisini. Hawa wana weza wala jushughulisha na mambo mengine kulingana nguvu walizopewa na muumba.

Tusibebane na kuoneana haya. Ni wakati sasa, kama Rais Magufuli anavyo sema, lazima zuambiane ukweli. Hatuwezi wote tutaushi mijini. Kama mijini tunashindwa, basi kurudi kijijini kwetu kuliko toka! Na Wale waishio mijini bila pumzi ya ku-survive tutafute furaha nyingine. Hata mikoani inawezekana. Kupanga ni kuchgua. Tusiendekeze kulaani bidii ya mtu anaye taka kutusaidia.
 
Wengi wanao lalamika humu sio waliopata maafa ya kuibiwa au kupoteza mali zao kwa ajali, bali ni wale wavivu wa kusubiri madili. Kuna shughuli nyingi. Hatuwezi wote tukategemea kuajiliwa. Nina Dani yeyote ni mbunifu.

Tatizo lina kuja pale mtu asipopenda kujishughilisha. Msinielewe vibaya. Siwazubgumzii walemavu au watu wenye mapungufu ya kimwili na maradhi. Nazungumzia vijana wenye nguvu bado na kwa namna moja au nyingingine hawaja pata nafasi ya kusoma ili kuajiliwa viwandani au maofisini. Hawa wana weza wala jushughulisha na mambo mengine kulingana nguvu walizopewa na muumba.

Tusibebane na kuoneana haya. Ni wakati sasa, kama Rais Magufuli anavyo sema, lazima zuambiane ukweli. Hatuwezi wote tutaushi mijini. Kama mijini tunashindwa, basi kurudi kijijini kwetu kuliko toka! Na Wale waishio mijini bila pumzi ya ku-survive tutafute furaha nyingine. Hata mikoani inawezekana. Kupanga ni kuchgua. Tusiendekeze kulaani bidii ya mtu anaye taka kutusaidia.
Usiwape hela yako, kwa falsafa yako hiyo.

Wengine ukileta falsafa hizo wataona unawakosesha thawabu, kwa sababu dini zao zinawataka watoe sadaka kwa masikini iliwapate thawabu.

Na wao wana uhuru wa kuabudu dini zao kikatiba.

Hivyo, kkumalizaumasikini, na ombaomba, kunaweza kuwaingilia katika hesabu zao za thawabu.
 
Watu wanaoongelea USD 10 kwa saa, unaweza kuwasoma ukajiona kwa kipato chako umayapatia maisha, kumbe hata wewe uliyekizidi sana kiwango hicho una malengo zaidi pia.

Nakataa kukubali kazi wanazofanya wabongonje zina average hiyo.

Lakini, what do I know?

I got cribs in the hood, the 'burb and the city!
I run it like Diddy, with no commitee
Henny in the Hemi, smelling like Dylan Blue
With a lotta Benjis, and all te model type beaus
Every week is a taboo, of de ja vu
Usikatae tu kwa akili zako.... pita hata totaljobs angalia kazi walizopost average income zake zimekaaje...... siyo kila kitu chA kubisha mkuu
 
Bora uzima kaka, Nyerere alitufundisha, utu wa mtu ni kazi, pesa ni matokeo.

Kuna watu wanatafuta sana hela, wanazipata, halafu zinawaua.

Bill Gates katafuta sana pesa, kapata mpaka anashindwa kuzihesabu, kila sikuwatu wanakadiria tu,utajiri wake hawawezi kuusema kwa kuupatia katikadakika yoyote maana unabadilikakila dakika kulingana an stock market.

Na kasema augawe, lakini ana tatizo la kuugawa kiufanisi, mpaka kaajiri watu wamsaidie kuugawa kiufanisi.
hizi ni mentality za watu maskini....
 
Usikatae tu kwa akili zako.... pita hata totaljobs angalia kazi walizopost average income zake zimekaaje...... siyo kila kitu chA kubisha mkuu
Kwa nini nipite totaljobs na siyo kutumia poverty guidelines na 50% statistics za kiserikali za sehemu ninapoishi.
 
hizi ni mentality za watu maskini....
Mentality zipi ni za watu masikini?

Kusema kuwa hai ni kitu cha msingi kabisa ni mentality ya kimasikini?

Kufa basi halafu tuone kama tutajadiliana hapa baada ya wewe kufa.
 
Mentality zipi ni za watu masikini?

Kusema kuwa hai ni kitu cha msingi kabisa ni mentality ya kimasikini?

Kufa basi halafu tuone kama tutajadiliana hapa baada ya wewe kufa.
hii ya kusema bora uzima...
 
Usd 10 per hr ukifanya masaa 10 ni usd 100 per day ryt??
Hauruhusiwi kufanya kazi masaa 10.. Hapo kuna kodi hiyo $10 utapata $8.5 hivi bado kuna gharama nyingi nyingi ulaya ukiwa na professional ndo utafaidi ila nguvu kazi utataabika though sio kama bongo
 
Back
Top Bottom