Geranimo E K I A
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 3,252
- 5,383
Hapalingani asilaniVipi kubeba box bongo kwa muhindi utalinganisha na mbele
Hapalingani asilaniVipi kubeba box bongo kwa muhindi utalinganisha na mbele
Mbona ntachoka sana...huko hata kama umeajiriwa si unafanya kwa masaa kadhaa? Au ndo kibongobongo saa 8:00 am hadi 1600hrs??Ukipata kazi cha muhim piga na part time job, osha hata vyombo, fagia barabara, fua nguo za hospital, kwa mda wa ziada fanya kazi za watu za ku type, mshahara pekee hautoshi ulipe bed space au hostel, Alafu ule ,u save Alafu ujenge home
Ndiyo tumekuja kuchuma huku ili muda ukifika tulie kivulini TanzaniaMbona ntachoka sana...huko hata kama umeajiriwa si unafanya kwa masaa kadhaa? Au ndo kibongobongo saa 8:00 am hadi 1600hrs??
Oooh good...refer my question sasa mkuu!Ndiyo tumekuja kuchuma huku ili muda ukifika tulie kivulini Tanzania
Working hard doesn't guarantee you success, working SMART do.Ukipata kazi cha muhim piga na part time job, osha hata vyombo, fagia barabara, fua nguo za hospital, kwa mda wa ziada fanya kazi za watu za ku type, mshahara pekee hautoshi ulipe bed space au hostel, Alafu ule ,u save Alafu ujenge home
Kuchoka.lazima lakin siyo part time zote unachoka si unapiga one or two hours?Oooh good...refer my question sasa mkuu!
YesWorking hard doesn't guarantee you success, working SMART do.
Sawa sawa...na job description ikoje?Kuchoka.lazima lakin siyo part time zote unachoka si unapiga one or two hours?
Duh hapo 10 Usd kwa saa na unafanya masaa mangapi?Katika harakati za maisha Mara nyingi kila mtu anaona bora nchi hii ama ile!ndio maana utakuta wachina wanakimbilia Tanzania na Watanzania wanakimbilia China,Wakenya wanakimbilia Tanzania na Watanzania wanakimbilia Kenya!
Ili mradi kila mtu ameona nikienda sehemu Fulani basi naweza kufanikiwa.
Lakini Leo kwa ushauri tu wa bure kama unaweza kumake 1milion tsh kwa mwenzi ukishaondoa matumizi yako na elimu yako ni ya kawaida ama huna kabisa trust me Ulaya kama hujaenda shule ni kazi bure!
USD 10 kwa saa inaonekana kubwa lakini kiuhalisia ni kupaka rangi upepo
UK kima cha chini kabisa kumlipa mtu kwa saa ni £7... yaani hata mfagiaji tu analipwa hela hiyo...Katika harakati za maisha Mara nyingi kila mtu anaona bora nchi hii ama ile!ndio maana utakuta wachina wanakimbilia Tanzania na Watanzania wanakimbilia China,Wakenya wanakimbilia Tanzania na Watanzania wanakimbilia Kenya!
Ili mradi kila mtu ameona nikienda sehemu Fulani basi naweza kufanikiwa.
Lakini Leo kwa ushauri tu wa bure kama unaweza kumake 1milion tsh kwa mwenzi ukishaondoa matumizi yako na elimu yako ni ya kawaida ama huna kabisa trust me Ulaya kama hujaenda shule ni kazi bure!
USD 10 kwa saa inaonekana kubwa lakini kiuhalisia ni kupaka rangi upepo
kiongozi hardware inalipa kweli inategemea uko sehemu gani. hayo ulioyotaka hata kama ni mimi lazima uwe adui yangu. bongo bila magumashi mambo hayaendi ulitaka kugeuka afisa wa traShida moja mkuu, upataji wa hela hiyo hapa Tz ni wa kimagumashi tupu!! Nina Mkinga jirani yangu alinishauri nianze duka la hardwares kama yeye. Alisema linalipa sana. Tukafikia hatua nikitaka anionyeshe cash flow yake na logistics za kodi nk. Duuh, tulianza kuwa maadui kuanzia hapo.. Baadae, nikapata story zake,nilichoka!
Mtz akikuambia biashara hii inalipa,usiparamie,au ukikaa Tz inalipa kuliko nje, jiridhishe kwanza.
huyu jamaa akosea kuuliza swali nisawa na mtu umuulize kiungo cha uzazi cha mkewe kimeumbika vip. inaonesha jamaa sio mfanya biashara.Huyo mkinga ilikuwaje? Stori zake ni zipi?
Mkuu, hivi mtu anaweza kwa kukuambia tuu, fuga kuku utanunua gari(Alteza) na ukaanza kichwakichwa? Lazima umdadisi zaidi,na uone mfano halisi kwake kama yeye aliweza. Kama ni muwazi,mtaingia kwenye records zake kuona gharama za uwekezaji,pia mapato na matumizi ( cashflow)! Kama hawezi, jua ni magumashi!!!! Huyo utakuta mchana yuko kwenye banda lake pale Makambako,usiku yuko Tunduma mpakani, asbh yuko Makambako kwake anakunywa chai. Umenipata?kiongozi hardware inalipa kweli inategemea uko sehemu gani. hayo ulioyotaka hata kama ni mimi lazima uwe adui yangu. bongo bila magumashi mambo hayaendi ulitaka kugeuka afisa wa tra
Nahuja, upo?Kusomea
Ngumu kusimulia.Huyo mkinga ilikuwaje? Stori zake ni zipi?
kama ni hivyo sawa ila ungeenda nae slow. maana maswali yako ni mazito kwa mfanya biashara yeyoteMkuu, hivi mtu anaweza kwa kukuambia tuu, fuga kuku utanunua gari(Alteza) na ukaanza kichwakichwa? Lazima umdadisi zaidi,na uone mfano halisi kwake kama yeye aliweza. Kama ni muwazi,mtaingia kwenye records zake kuona gharama za uwekezaji,pia mapato na matumizi ( cashflow)! Kama hawezi, jua ni magumashi!!!! Huyo utakuta mchana yuko kwenye banda lake pale Makambako,usiku yuko Tunduma mpakani, asbh yuko Makambako kwake anakunywa chai. Umenipata?
Kuna ugumu gani?Ngumu kusimulia.
Shule gani hiyo? Fafanua nduguKatika harakati za maisha Mara nyingi kila mtu anaona bora nchi hii ama ile!ndio maana utakuta wachina wanakimbilia Tanzania na Watanzania wanakimbilia China,Wakenya wanakimbilia Tanzania na Watanzania wanakimbilia Kenya!
Ili mradi kila mtu ameona nikienda sehemu Fulani basi naweza kufanikiwa.
Lakini Leo kwa ushauri tu wa bure kama unaweza kumake 1milion tsh kwa mwenzi ukishaondoa matumizi yako na elimu yako ni ya kawaida ama huna kabisa trust me Ulaya kama hujaenda shule ni kazi bure!
USD 10 kwa saa inaonekana kubwa lakini kiuhalisia ni kupaka rangi upepo