Kama una uwezo huu usikimbilie Majuu!

Kama una uwezo huu usikimbilie Majuu!

Nchi ambayo haina utabaka katika basic needs hakuna hata mmoja asietaka kuenda

Yaani msosi anaokula malkia ki quality ndo huo huo nitaokula mm

Aah acha tu nikuwaze ulaya
 
Mtasema yoooote lakini bado tuu Amerika itabakia kuwa hivyo na Ulaya itabakia kuwa hivyo hivyo hata siku moja utoweza kulinganisha na Afrika, maana hata uwe na mipesa yako Afrika siku umeugua ndio utajua kwanini mtu anaona bora apige box la maisha Ulaya na Amerika,, hoja mbovu sana hii na mara nyingi watoa hoja hizi unakuta wameenda Ulaya wiki tatu mbili au miezi miwili wanakuja na maneno haya, ndio nyinyi mnanunua kiwanja bilion 2 Mbezi barabara vumbi tupu, maji hakuna, ukiugua ghafla mpaka upate huduma ya kwanza tayari umeshakufa, shule na vitu muhimu katika maisha ya mwanadamu hakuna ,umeme wa mgao,bado hapo hapo heti ukiwa unaingiza Milion kwa mwezi Bongo utaishi kama Ulaya Mhhhhh, Viongozi wako wa nchi malaria tuu kidogo wanakimbilia Ulaya, lini uliona mwananchi wa ulaya anakuja Bongo kutibiwa, kuna vitu vingi sana kwa wenzetu ambavyo ni muhimu kwa mwanadamu wa kawaida lakini Bongo labda uwe kama Bakhresa au Mengi ndio utavipata, tusidanganyane au kukatisha watu tamaa,wache watafutaji wakajitafutie,
 
Mtasema yoooote lakini bado tuu Amerika itabakia kuwa hivyo na Ulaya itabakia kuwa hivyo hivyo hata siku moja utoweza kulinganisha na Afrika, maana hata uwe na mipesa yako Afrika siku umeugua ndio utajua kwanini mtu anaona bora apige box la maisha Ulaya na Amerika,, hoja mbovu sana hii na mara nyingi watoa hoja hizi unakuta wameenda Ulaya wiki tatu mbili au miezi miwili wanakuja na maneno haya, ndio nyinyi mnanunua kiwanja bilion 2 Mbezi barabara vumbi tupu, maji hakuna, ukiugua ghafla mpaka upate huduma ya kwanza tayari umeshakufa, shule na vitu muhimu katika maisha ya mwanadamu hakuna ,umeme wa mgao,bado hapo hapo heti ukiwa unaingiza Milion kwa mwezi Bongo utaishi kama Ulaya Mhhhhh, Viongozi wako wa nchi malaria tuu kidogo wanakimbilia Ulaya, lini uliona mwananchi wa ulaya anakuja Bongo kutibiwa, kuna vitu vingi sana kwa wenzetu ambavyo ni muhimu kwa mwanadamu wa kawaida lakini Bongo labda uwe kama Bakhresa au Mengi ndio utavipata, tusidanganyane au kukatisha watu tamaa,wache watafutaji wakajitafutie,
Waache wajazane ujinga hapa.
 
Sijasema hivyo. Hebu jiuliza kuku wa Tesco aliekaa kwenye freezer miezi miwili na yule wa kienyeji yupi bora.
Na mm sijalinganisha kuku wa tesco na wa kienyej ww nimesema quality ya vitu mfano broiler wanaokula wao sio km wa kwetu , mchele wanaokula wao sio kama wa kwetu , unga wa kwao sio km wa kweli na products zengine kibao zao ki quality zipo vzur sio hapa kwetu ukishahonga tbs na tfda basi unaanza kutoa product z
Hazina usalama wala ubora watu wanatumia
 
Na mm sijalinganisha kuku wa tesco na wa kienyej ww nimesema quality ya vitu mfano broiler wanaokula wao sio km wa kwetu , mchele wanaokula wao sio kama wa kwetu , unga wa kwao sio km wa kweli na products zengine kibao zao ki quality zipo vzur sio hapa kwetu ukishahonga tbs na tfda basi unaanza kutoa product z
Hazina usalama wala ubora watu wanatumia
Quality ya msosi wa Queen na unaokula wewe tofauti.
 
Na mm sijalinganisha kuku wa tesco na wa kienyej ww nimesema quality ya vitu mfano broiler wanaokula wao sio km wa kwetu , mchele wanaokula wao sio kama wa kwetu , unga wa kwao sio km wa kweli na products zengine kibao zao ki quality zipo vzur sio hapa kwetu ukishahonga tbs na tfda basi unaanza kutoa product z
Hazina usalama wala ubora watu wanatumia
Sasa mbona naonaga jamaa wakirudi likizo au wakiwa wanaenda masomoni wanabeba unga, kahawa, majani ya chai, maharagwe, mchele kutoka bongo kwenda ulaya,amerika, asia n.k tena kuna mshkaji alibeba mbaka soda aina ya tangawiz akadai kule alipo moja ya sehemu za marekani anaikosa iyo soda.
 
Watatumia njia gani kuhakikisha zinabaki? fafanua kidogo kwa uzoefu wako mkuu.
Kodi, ndo ishu , Alafu maunuzi mengine yanafanywa kwa cards na wanakuwekea kwenye card baadhi ya mpunga, hata bus card, pia matumizi ya huku ni makubwa mnoo, ili uendane na standards zao utabaki empty,
 
Shida moja mkuu, upataji wa hela hiyo hapa Tz ni wa kimagumashi tupu!! Nina Mkinga jirani yangu alinishauri nianze duka la hardwares kama yeye. Alisema linalipa sana. Tukafikia hatua nikitaka anionyeshe cash flow yake na logistics za kodi nk. Duuh, tulianza kuwa maadui kuanzia hapo.. Baadae, nikapata story zake,nilichoka!
Mtz akikuambia biashara hii inalipa,usiparamie,au ukikaa Tz inalipa kuliko nje, jiridhishe kwanza.
Huyo mkinga ilikuwaje? Stori zake ni zipi?
 
Kodi, ndo ishu , Alafu maunuzi mengine yanafanywa kwa cards na wanakuwekea kwenye card baadhi ya mpunga, hata bus card, pia matumizi ya huku ni makubwa mnoo, ili uendane na standards zao utabaki empty,
Kwahiyo ufanyeje ili mpunga wako usipukutikie huko ulaya angalau usave?

Nipe mbinu!
 
Kwahiyo ufanyeje ili mpunga wako usipukutikie huko ulaya angalau usave?

Nipe mbinu!
Ukipata kazi cha muhim piga na part time job, osha hata vyombo, fagia barabara, fua nguo za hospital, kwa mda wa ziada fanya kazi za watu za ku type, mshahara pekee hautoshi ulipe bed space au hostel, Alafu ule ,u save Alafu ujenge home
 
Back
Top Bottom