lwidia2k
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 616
- 1,267
Alikua anawala kimasihara tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka 2005 hapo Tarime Secondary kuna jomba mmoja alikuwa ni classmate Msukuma huyo kutoka Magu ndani huko aliitwa Kija Charles.
Hiyo siku tupo prep, kuna mdada mmoja alikuwa na majini, akapandisha bana siku hiyo, watu taharuki, sasa yalivyokuwa yanazungumza yakamtaja huyo mlozi na alichotaka kumfanyia akashindwa. Kumbe yule jomba alishatomber dorm moja zima, la pili alikuwa kafika nusu, wadada wakaandamana kumtafuta huku kelele zikiwa zimetamalaki madarasani. Hakuonekana shule karibia wiki nzima.
Kumbe jamaa alikuwa anawatomber kichawi
Sent using Jamii Forums mobile app