Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,409
- 119,108
Na anajua hajui ndio maana hana amani kutwa kuulizauliza,kama ana uhakika wa akijuacho(Imani) mbona hatulii kwa kuridhika, hajaridhika na ndio maana anauliziaulizia habari za imani
Sent using Jamii Forums mobile app