Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,410
- 119,115
mbuzi anaangalia kushoti na kulia
Sent using Jamii Forums mobile app
hao mbuzi wanaojichunga huwa wabaya sana, usiwaguse, mbuzi anafunguliwa kwenye banda tu anajua mwenyewe pa kwenda, mbuzi kabla hajavuka barabara kwanza anageuka kulia na kushoto, ukiwaona waache!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app