Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,834
- 18,831
Eti ndio walimpa kura..akili sijui za wapi hiziJe ni kweli mwendazake aliwapenda machinga kwa kuwaacha wafanye biashara holela kokote hata wengine kupata vilema na kufa kwa ajali za barabarani au alikuwa akilitengeneza hili bomu la wajinga wasiojua sheria za mipango miji kwa faida zake binafsi?