Kama Slogan yako ni ya 'Kazi Iendelee' kwanini Wamachinga hawana imani nawe?

Binafsi hivi majuzi tu tena nikiwa Sokoni nimekutana na Wamachinga na Wanyonge ( Masikini ) wakiwa wanasema hauna Upendo Kwao kama aliokuwa nao Mwendazake.

Nilijitahidi kukutetea kwa Nguvu zote mpaka pale nilipoona naanza Kuzungukwa nao ( kuwekwa Mtu kati ) huku Nyuso zao zikiwa na Jazba na kutumia Akili ya ziada nikawazuga kidogo na kuondoka kwani nilihisi kilichokuwa kinafuata pale ni Mimi Krav Maga kupokea Kipondo.

Hali hii ikanipelekea Kujiuliza ni Kitu gani Mwendazake aliwapa hawa Wamachinga na Wanyonge ( Masikini ) wenzangu kiasi kwamba walimuamini na kumpenda 100%, ila Kwako Wewe ni tofauti japo mara kwa mara unarejea Kauli Mbiu yako ya Kazi Iendelee na utafanya yale yale aliyokuwa akiyafanya?

Na hakuna Kitu kinachowauma kama siyo Kuwakera kwa sasa pale wakikuona kila mara upo Juu Angani kama Popo kwa Kusafiri na Ndege huku Gari ukiwa huzitaki kabisa wakati Kero zao zilizoanza Kujitokeza kama ile ya pale Stendi Mpya Mbezi Lois na hii ya Juzi ya hapo Ilala ukiwa umezinyamazia wakati Mwendazake angekuwepo angeshazitatua mara moja.

Wakati nabishana nao Sokoni nikiwa nakutetea kuna Mmoja nilimsikia akisema Tanzania sasa imempata Rais Mrembo na Mpaka Mafuta ya Kuuongeza tu Weupe wake Usoni na muonyesha Mitindo ya Mavazi. Nilitaka Kumjibu ila nilipomuangalia vizuri Mkononi nikaona ameshika Kisu cha Kuchinjia Kuku na Kuogopa kuwa huenda ningethubutu kunyanyua Mdomo wangu leo hii ama ningekuwa ICU Muhimbili au naendelea tu Kuganda na Friji za Mochwari ya Mwananyamala Hospitali.

Mama lifanyie sana Kazi hili Uaminike.
Mkuu umenichekesha . Uliona oooh hoooo. Hapa masela wamejaa watanipumzikia na hizi hasira walizonazo
 
Tofauti ya mwendazake na huyu mama ni kwamba mwendazake alikuwa amewafanya wavunje utaratibu, ustarabu na kanuni. Huyu mama hayuko hivyo. Majiji na miji yanapaswa yaheshimiwe sio kila sehemu kumekuwa ni soko kwa kigezo tu cha unyonge. Kazi iendelee na utaritibu ufatwe
Mwendazake alitaka wananchi wa tanzania wawe na thamani sawa na wageni kutoka nje. Kama ww unavoenda ulaya. Unakuta wazawa wanathamani na maisha mazuri kuliko ww. Sio foreigner anakuja ugenini anaishi vizuri masaki na mwenyeji haruhusiwi hata kukanyaga masaki na kufanya biashara
 
Binafsi hivi majuzi tu tena nikiwa Sokoni nimekutana na Wamachinga na Wanyonge ( Masikini ) wakiwa wanasema hauna Upendo Kwao kama aliokuwa nao Mwendazake.

Nilijitahidi kukutetea kwa Nguvu zote mpaka pale nilipoona naanza Kuzungukwa nao ( kuwekwa Mtu kati ) huku Nyuso zao zikiwa na Jazba na kutumia Akili ya ziada nikawazuga kidogo na kuondoka kwani nilihisi kilichokuwa kinafuata pale ni Mimi Krav Maga kupokea Kipondo.

Hali hii ikanipelekea Kujiuliza ni Kitu gani Mwendazake aliwapa hawa Wamachinga na Wanyonge ( Masikini ) wenzangu kiasi kwamba walimuamini na kumpenda 100%, ila Kwako Wewe ni tofauti japo mara kwa mara unarejea Kauli Mbiu yako ya Kazi Iendelee na utafanya yale yale aliyokuwa akiyafanya?

Na hakuna Kitu kinachowauma kama siyo Kuwakera kwa sasa pale wakikuona kila mara upo Juu Angani kama Popo kwa Kusafiri na Ndege huku Gari ukiwa huzitaki kabisa wakati Kero zao zilizoanza Kujitokeza kama ile ya pale Stendi Mpya Mbezi Lois na hii ya Juzi ya hapo Ilala ukiwa umezinyamazia wakati Mwendazake angekuwepo angeshazitatua mara moja.

Wakati nabishana nao Sokoni nikiwa nakutetea kuna Mmoja nilimsikia akisema Tanzania sasa imempata Rais Mrembo na Mpaka Mafuta ya Kuuongeza tu Weupe wake Usoni na muonyesha Mitindo ya Mavazi. Nilitaka Kumjibu ila nilipomuangalia vizuri Mkononi nikaona ameshika Kisu cha Kuchinjia Kuku na Kuogopa kuwa huenda ningethubutu kunyanyua Mdomo wangu leo hii ama ningekuwa ICU Muhimbili au naendelea tu Kuganda na Friji za Mochwari ya Mwananyamala Hospitali.

Mama lifanyie sana Kazi hili Uaminike.

wakati ule Wamachinga na Wanyonge wakionyeshwa upendo na mwendazake pia kunawatu walilalamika kuwa mwendazake anaupendo nao,miongoni mwao walikuwa walimu, watumishi wa uma,matajiri na wanasiasa wapande zote mbili upinzani na chama tawala. Kwahiyo kila zama na kitabu chake...wanyonge wajinyonge tu hakuna namna....ila haki zao watazipata tu
 
Binafsi hivi majuzi tu tena nikiwa Sokoni nimekutana na Wamachinga na Wanyonge ( Masikini ) wakiwa wanasema hauna Upendo Kwao kama aliokuwa nao Mwendazake.

Nilijitahidi kukutetea kwa Nguvu zote mpaka pale nilipoona naanza Kuzungukwa nao ( kuwekwa Mtu kati ) huku Nyuso zao zikiwa na Jazba na kutumia Akili ya ziada nikawazuga kidogo na kuondoka kwani nilihisi kilichokuwa kinafuata pale ni Mimi Krav Maga kupokea Kipondo.

Hali hii ikanipelekea Kujiuliza ni Kitu gani Mwendazake aliwapa hawa Wamachinga na Wanyonge ( Masikini ) wenzangu kiasi kwamba walimuamini na kumpenda 100%, ila Kwako Wewe ni tofauti japo mara kwa mara unarejea Kauli Mbiu yako ya Kazi Iendelee na utafanya yale yale aliyokuwa akiyafanya?

Na hakuna Kitu kinachowauma kama siyo Kuwakera kwa sasa pale wakikuona kila mara upo Juu Angani kama Popo kwa Kusafiri na Ndege huku Gari ukiwa huzitaki kabisa wakati Kero zao zilizoanza Kujitokeza kama ile ya pale Stendi Mpya Mbezi Lois na hii ya Juzi ya hapo Ilala ukiwa umezinyamazia wakati Mwendazake angekuwepo angeshazitatua mara moja.

Wakati nabishana nao Sokoni nikiwa nakutetea kuna Mmoja nilimsikia akisema Tanzania sasa imempata Rais Mrembo na Mpaka Mafuta ya Kuuongeza tu Weupe wake Usoni na muonyesha Mitindo ya Mavazi. Nilitaka Kumjibu ila nilipomuangalia vizuri Mkononi nikaona ameshika Kisu cha Kuchinjia Kuku na Kuogopa kuwa huenda ningethubutu kunyanyua Mdomo wangu leo hii ama ningekuwa ICU Muhimbili au naendelea tu Kuganda na Friji za Mochwari ya Mwananyamala Hospitali.

Mama lifanyie sana Kazi hili Uaminike.
JPM alipandikiza mzimu kwa hao jamaa msiwaonee,msiwadhulumu wala msiwanyanyase...
waelimishwe taratibu wataelewa....
 
Binafsi hivi majuzi tu tena nikiwa Sokoni nimekutana na Wamachinga na Wanyonge ( Masikini ) wakiwa wanasema hauna Upendo Kwao kama aliokuwa nao Mwendazake.

Nilijitahidi kukutetea kwa Nguvu zote mpaka pale nilipoona naanza Kuzungukwa nao ( kuwekwa Mtu kati ) huku Nyuso zao zikiwa na Jazba na kutumia Akili ya ziada nikawazuga kidogo na kuondoka kwani nilihisi kilichokuwa kinafuata pale ni Mimi Krav Maga kupokea Kipondo.

Hali hii ikanipelekea Kujiuliza ni Kitu gani Mwendazake aliwapa hawa Wamachinga na Wanyonge ( Masikini ) wenzangu kiasi kwamba walimuamini na kumpenda 100%, ila Kwako Wewe ni tofauti japo mara kwa mara unarejea Kauli Mbiu yako ya Kazi Iendelee na utafanya yale yale aliyokuwa akiyafanya?

Na hakuna Kitu kinachowauma kama siyo Kuwakera kwa sasa pale wakikuona kila mara upo Juu Angani kama Popo kwa Kusafiri na Ndege huku Gari ukiwa huzitaki kabisa wakati Kero zao zilizoanza Kujitokeza kama ile ya pale Stendi Mpya Mbezi Lois na hii ya Juzi ya hapo Ilala ukiwa umezinyamazia wakati Mwendazake angekuwepo angeshazitatua mara moja.

Wakati nabishana nao Sokoni nikiwa nakutetea kuna Mmoja nilimsikia akisema Tanzania sasa imempata Rais Mrembo na Mpaka Mafuta ya Kuuongeza tu Weupe wake Usoni na muonyesha Mitindo ya Mavazi. Nilitaka Kumjibu ila nilipomuangalia vizuri Mkononi nikaona ameshika Kisu cha Kuchinjia Kuku na Kuogopa kuwa huenda ningethubutu kunyanyua Mdomo wangu leo hii ama ningekuwa ICU Muhimbili au naendelea tu Kuganda na Friji za Mochwari ya Mwananyamala Hospitali.

Mama lifanyie sana Kazi hili Uaminike.
Mama wala simuamini.
 
Binafsi hivi majuzi tu tena nikiwa Sokoni nimekutana na Wamachinga na Wanyonge ( Masikini ) wakiwa wanasema hauna Upendo Kwao kama aliokuwa nao Mwendazake.

Nilijitahidi kukutetea kwa Nguvu zote mpaka pale nilipoona naanza Kuzungukwa nao ( kuwekwa Mtu kati ) huku Nyuso zao zikiwa na Jazba na kutumia Akili ya ziada nikawazuga kidogo na kuondoka kwani nilihisi kilichokuwa kinafuata pale ni Mimi Krav Maga kupokea Kipondo.

Hali hii ikanipelekea Kujiuliza ni Kitu gani Mwendazake aliwapa hawa Wamachinga na Wanyonge ( Masikini ) wenzangu kiasi kwamba walimuamini na kumpenda 100%, ila Kwako Wewe ni tofauti japo mara kwa mara unarejea Kauli Mbiu yako ya Kazi Iendelee na utafanya yale yale aliyokuwa akiyafanya?

Na hakuna Kitu kinachowauma kama siyo Kuwakera kwa sasa pale wakikuona kila mara upo Juu Angani kama Popo kwa Kusafiri na Ndege huku Gari ukiwa huzitaki kabisa wakati Kero zao zilizoanza Kujitokeza kama ile ya pale Stendi Mpya Mbezi Lois na hii ya Juzi ya hapo Ilala ukiwa umezinyamazia wakati Mwendazake angekuwepo angeshazitatua mara moja.

Wakati nabishana nao Sokoni nikiwa nakutetea kuna Mmoja nilimsikia akisema Tanzania sasa imempata Rais Mrembo na Mpaka Mafuta ya Kuuongeza tu Weupe wake Usoni na muonyesha Mitindo ya Mavazi. Nilitaka Kumjibu ila nilipomuangalia vizuri Mkononi nikaona ameshika Kisu cha Kuchinjia Kuku na Kuogopa kuwa huenda ningethubutu kunyanyua Mdomo wangu leo hii ama ningekuwa ICU Muhimbili au naendelea tu Kuganda na Friji za Mochwari ya Mwananyamala Hospitali.

Mama lifanyie sana Kazi hili Uaminike.
Wangeachaje kumpenda wakati aligawa mahela barabarani.
Aliwapa barabara zilizojengwa kwa gharama na malengo maalumu kujaza vitu vyao.
Aliwagawia vitambulisho vya 20,000 kufanya biashara kwa uhuru
Aliwasemea aliobatiza wanyonge na kuwatetea huku akitumbua na kuteua jambo wanalopenda wanyonge.
Ok. Mengine yasingeweza kudumu mfano ikiwa kila siku wamachinga wanazaliwa ingefika siku barabara zote zingejaa.
Sasa ni wakati wa kurekebisha sio kijipendekeza
 
Eti ndio walimpa kura..akili sijui za wapi hizi
Labda za "Dom kama si Chattle!!"
Mtu unakaa chini unajiuliza hivi kizazi cha hawa waitwao na kujiita "wanyonge" wakikua wanawaona wazazi wao wakipanga bidhaa barabarani na kuziba maduka ya wenzao au malango ya hospitali wakikua tutakuwa na pa kupita kweli? Maana kizazi hicho kila watakapoona lami watajua ni eneo lao la kupanga biashara zao na kutupa uchafu...
Hili bomu liteguliwe mapema kabla madhara hayajazidi... Hivi watendaji wa mitaa, wakurugenzi, wakuu wa wilaya na mikoa wanakwama wapi?
 
Binafsi hivi majuzi tu tena nikiwa Sokoni nimekutana na Wamachinga na Wanyonge ( Masikini ) wakiwa wanasema hauna Upendo Kwao kama aliokuwa nao Mwendazake.

Nilijitahidi kukutetea kwa Nguvu zote mpaka pale nilipoona naanza Kuzungukwa nao ( kuwekwa Mtu kati ) huku Nyuso zao zikiwa na Jazba na kutumia Akili ya ziada nikawazuga kidogo na kuondoka kwani nilihisi kilichokuwa kinafuata pale ni Mimi Krav Maga kupokea Kipondo.

Hali hii ikanipelekea Kujiuliza ni Kitu gani Mwendazake aliwapa hawa Wamachinga na Wanyonge ( Masikini ) wenzangu kiasi kwamba walimuamini na kumpenda 100%, ila Kwako Wewe ni tofauti japo mara kwa mara unarejea Kauli Mbiu yako ya Kazi Iendelee na utafanya yale yale aliyokuwa akiyafanya?

Na hakuna Kitu kinachowauma kama siyo Kuwakera kwa sasa pale wakikuona kila mara upo Juu Angani kama Popo kwa Kusafiri na Ndege huku Gari ukiwa huzitaki kabisa wakati Kero zao zilizoanza Kujitokeza kama ile ya pale Stendi Mpya Mbezi Lois na hii ya Juzi ya hapo Ilala ukiwa umezinyamazia wakati Mwendazake angekuwepo angeshazitatua mara moja.

Wakati nabishana nao Sokoni nikiwa nakutetea kuna Mmoja nilimsikia akisema Tanzania sasa imempata Rais Mrembo na Mpaka Mafuta ya Kuuongeza tu Weupe wake Usoni na muonyesha Mitindo ya Mavazi. Nilitaka Kumjibu ila nilipomuangalia vizuri Mkononi nikaona ameshika Kisu cha Kuchinjia Kuku na Kuogopa kuwa huenda ningethubutu kunyanyua Mdomo wangu leo hii ama ningekuwa ICU Muhimbili au naendelea tu Kuganda na Friji za Mochwari ya Mwananyamala Hospitali.

Mama lifanyie sana Kazi hili Uaminike.
Magufuli hapendi kufuata utaratibu na wamachinga hawapendi kufuata utaratibu ndo maana wamemmiss, wao kila eneo wanataka kupanga biashara, kutokufuata kwao utaratibu unakupa TRA wakati mgumu
 
Binafsi hivi majuzi tu tena nikiwa Sokoni nimekutana na Wamachinga na Wanyonge ( Masikini ) wakiwa wanasema hauna Upendo Kwao kama aliokuwa nao Mwendazake.

Nilijitahidi kukutetea kwa Nguvu zote mpaka pale nilipoona naanza Kuzungukwa nao ( kuwekwa Mtu kati ) huku Nyuso zao zikiwa na Jazba na kutumia Akili ya ziada nikawazuga kidogo na kuondoka kwani nilihisi kilichokuwa kinafuata pale ni Mimi Krav Maga kupokea Kipondo.

Hali hii ikanipelekea Kujiuliza ni Kitu gani Mwendazake aliwapa hawa Wamachinga na Wanyonge ( Masikini ) wenzangu kiasi kwamba walimuamini na kumpenda 100%, ila Kwako Wewe ni tofauti japo mara kwa mara unarejea Kauli Mbiu yako ya Kazi Iendelee na utafanya yale yale aliyokuwa akiyafanya?

Na hakuna Kitu kinachowauma kama siyo Kuwakera kwa sasa pale wakikuona kila mara upo Juu Angani kama Popo kwa Kusafiri na Ndege huku Gari ukiwa huzitaki kabisa wakati Kero zao zilizoanza Kujitokeza kama ile ya pale Stendi Mpya Mbezi Lois na hii ya Juzi ya hapo Ilala ukiwa umezinyamazia wakati Mwendazake angekuwepo angeshazitatua mara moja.

Wakati nabishana nao Sokoni nikiwa nakutetea kuna Mmoja nilimsikia akisema Tanzania sasa imempata Rais Mrembo na Mpaka Mafuta ya Kuuongeza tu Weupe wake Usoni na muonyesha Mitindo ya Mavazi. Nilitaka Kumjibu ila nilipomuangalia vizuri Mkononi nikaona ameshika Kisu cha Kuchinjia Kuku na Kuogopa kuwa huenda ningethubutu kunyanyua Mdomo wangu leo hii ama ningekuwa ICU Muhimbili au naendelea tu Kuganda na Friji za Mochwari ya Mwananyamala Hospitali.

Mama lifanyie sana Kazi hili Uaminike.
Mwendazake hakuwahi kuwa na upendo na mtu yeyote. Kila kitu alifanya kwa unafiki. Na ukiwa na akili ndogo, ungeweza kuamini kuwa anawapebda maskini.
 
Utawala wa sheria ukifuatwa hakuna atakayekuja kulalama kuonewa, maana kila mtu anazingatia haki yake, sasa machinga wanaziba barabara na wanataka iwe hivyo hata hivyo hakuna kanuni zilizoruhusu haya, Mtu mmoja aliamka asubuhi aksena wekenni mahali popote na ikawa hivyo lakini hakuna sheria inayoruhusu machinga barabarani wana sehemu zao wametengewa kwanini wasiende huko? Rais Samia kama ana mpango wa kuwaondoa barabarani wala si yeye atakayesema waondoke, Kwani wakurugenzi na halmashauri kazi yake nini?

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom