Kama siyo kukihujumu chama kimaridhiano, nitakuwa wa mwisho kuamini Lema na CHADEMA wana ajenda ya kuifuta Bodaboda

dmkali

JF-Expert Member
Nov 17, 2014
11,284
21,403
Sikutaka kuchambua hili, sikutaka kuchambua kwasababu namheshimu sana Godbless lema!

Nikiongozi mzuri na amekuwa na maono mengi mazuri!
Pamoja na yote hayo!

Namna Lema alivyoanzisha kampeni ya kupinga bodaboda na vikoba kakengehuka kidogo!

Anayo nia njema kabisa kiufupi ingekuwa ni wimbo basi naweza kusema LEMA kaamua kuimba INJILI DISCO
LEMA amecheza INJILI kwenye Biti la wimbo wa Taarab!

a). Tuanze na bodaboda

Tangu dunia iumbwe binadamu hawajahi kuwa sawa, na haitakuja kutokea watu wote duniani wakawa sawa katika kipato (Never Never Never again)!

Binadam duniani anaishi kwa principal ya "surviving for fittest " yaani ishi kwa kupambania upate kilicho bora kwako!

Kilichobora kwako hakiwezi kuwa bora kwa wote!

Namna ya kukipata kilichobora huanza na vyanzo vingi!

Kazi ya serikali nikufanya nini?

Wajibu wa serikali kutengeneza vyanzo vya fursa vingi!

Serikali haiwezi kutoa usafiri wa umma nchi nzima, Bali huunda mazingira bora ya kushawishi watu wawekeze kwenye public transport!
Mazingira ya serikali ni kutengeneza mabarabara yapitike ili watu wawekeze mabasi yao huko!

Sasa wakati serikali ikitekeleza hayo watu wanahitaji usafiri wa haraka!

Boda boda ni mojawapo ya chanzo chepesi cha fursa!

Yoyote anaweza kuichungulia na kuitumia fursa ya boda, hata wahitimu wa chuo baada ya kukosa ajira kutokana na uhaba wa ajira, Wanaweza kuendesha bodaboda kwani siyo laana! Bali nikuutumia mlango wa bodaboda kama fursa ili wafikie malengo yao!

Hakuna aliyesema Kazi ya bodaboda ni ajira ya kudumu kwamba ukianza ni hadi uzeekee huko!
Wapo bodaboda wanaosomesha kwa kazi hiyo, wapo bodaboda wamepata mtaji wa ndoto kwa kazi hiyo, wapo bodaboda wamejenga kwa kazi hiyo!

Hivyo bodaboda siyo kazi ya laana bali mtu mmoja mmoja ndiyo huwa ana laana!

Kuwa na laana huwa haijalishi unafanya kazi gani, unaweza ukawa mbunge ukawa na laana, unaweza ukawa afisa wa jeshi ukawa unalaana, unaweza ukawa karani wa mahakama ukawa na laana!
Laana haibagui kazi!

Godbless LEMA alitakiwa aishauri serikali kuboresha usalama wa bodaboda! Kuwapa semina, kuwapa elimu ya usalama barabarani, kuwapa elimu ya afya, kuwapa elimu ya ujasiliamali! N.k

Hayo ndiyo yalitakiwa kusikika midomoni mwa LEMA na chadema!

Bodaboda ni kundi kubwa sana lenye ushawishi katika jamii, wakiamua kuitafsiri vibaya kauli ya kuwaita wanafanya kazi ya laana kama tusi nakuandamana chadema itaonekana haijali watu wa hali ya chini!

Mungu aliwasaidia watu wenye kitu japo kidogo!
Bodaboda ni kitu kidogo na Mungu anaweza inua watu wake kwa mwanzo mdogo kama mkubwa (ajira) haupo!

Godbless LEMA na chadema msishupaze shingo badilisheni kidogo tu mseme hayo ili kuboresha!

b) LEMA kuhusu Geodavie
Kosa ni lilelile kuwa LEMA anahoja lakini mazingira ya hoja zake yapo tofauti na ujumbe wake!

LEMA jamii inamtambua kama mwanasiasa!
Anaweza akawa anajua mambo ya madhabahuni lakini asichokijua ni kwamba vya madhabahuni vijibiwe madhabahuni, vya kishirikina vijibiwe kishirikina, vya kisiasa vijibiwe kisiasa!

Kosa la mchungaji Geodavie haliwezi kuwa ajenda ya chama cha siasa!
Chama cha siasa kikianza kuokota ajenda za kijinga hupoteza mwelekeo!

Yaani wafuasi wa chadema mkajadili umalaya wa Geodavie kweli?
Ingekuwa Mimi ni Godbless LEMA ningemtonya Askofu Mwamakula au mchungaji yoyote atoe kalipio la kumuonya GEODAVIE Kama kuna ulazima huo!

Lakini maneno hayo kushikiwa bango na Lema ni kufilisika kisiasa!

Chama kinatakiwa kuwa na mawazo jumuishi!
Miongoni mwa wafuasi wa Geodavie kuna wanaCcm, kunawanachadema n.k

Kauli ya mwanasiasa kumuonya mchungaji ni uendawazimu hata kama kuna hoja!

Bibilia inasisitiza watu wake huangamia kwa kukosa maarifa!

Ukimuonea huruma mtu usimtukane bali mpe maarifa kwanza ili upumbavu umtoke!

Hatu enzi za Yesu walikuwepo Punda! Huwezi kuwaondoa Punda kwenye maisha! Kwani wasipokuwepi nani atambeba Mfalme?
Boda boda wamempokea LEMA kama mfalme halafu leo anawatukana? Ama kweli maskini akipata matako hulia mbwata!

MWAMBIENI LEMA NA CHADEMA WANAYOHOJA WATAFTE NJIA NZURI ZA KUIFIKISHA KWA JAMII

Napata wasiwasi huenda LEMA na walamba keki wenzake wametumwa kuropoka kwa fadhila zao na chama tawala
 
Sikutaka kuchambua hili, sikutaka kuchambua kwasababu namheshimu sana Godbless lema!

Nikiongozi mzuri na amekuwa na maono mengi mazuri!
Pamoja na yote hayo!

Namna Lema alivyoanzisha kampeni ya kupinga bodaboda na vikoba kakengehuka kidogo!

Anayo nia njema kabisa kiufupi ingekuwa ni wimbo basi naweza kusema LEMA kaamua kuimba INJILI DISCO
LEMA amecheza INJILI kwenye Biti la wimbo wa Taarab!

a). Tuanze na bodaboda

Tangu duniani iumbwe binadamu hawajahi kuwa sawa, na haitakuja kutokea watu wote duniani wakawa sawa katika kipato (Never Never Never again)!

Binadam duniani anaishi kwa principal ya "surviving for fittest " yaani ishi kwa kupambania upate kilicho bora kwako!

Kilichobora kwako hakiwezi kuwa bora kwa wote!

Namna ya kukipata kilichobora huanza na vyanzo vingi tofauti!

Kazi ya serikali nikufanya nini?

Wajibu wa serikali kutengeneza vyanzo vya fursa vingi!

Serikali haiwezi kutoa usafiri wa umma nchi nzima, Bali huunda mazingira bora ya kushawishi watu wawekeze kwenye public transport! Mazingira ya serikali ni kutengeneza barabara zipitike ili watu wawekeze mabasi yao huko!

Sasa wakati serikali ikitekeleza hayo watu wanahitaji usafiri wa haraka!

Boda boda ni mojawapo ya chanzo chepesi cha fursa!
Yoyote anaweza kuichungulia na kuitumia, hata wahitimu baada ya kukosa ajira kutokana na uhaba wa ajira, Waliomaliza vyuo kuendesha bodaboda siyo umaskini Bali nikuutumia mlango wa bodaboda kama fursa ili wafikie malengo!

Hakuna aliyesema Kazi ya bodaboda ni ajira ya kudumu kwamba ukianza ni hadi uzeekee huko!
Wapo bodaboda wanasomesha kwa kazi hiyo, wapo bodaboda wamepata mtaji wa ndoto kwa kazi hiyo, wapo bodaboda wamejenga kwa kazi hiyo!
Hivyo bodaboda siyo kazi ya laana bali watu mmoja mmoja ndiyo huwa wana laana!

Kuwa na laana huwa haijalishi unafanya kazi gani, unaweza ukawa mbunge ukawa na laana, unaweza ukawa afisa wa jeshi ukawa unalaana, unaweza ukawa karani wa mahakama ukawa na laana!
Laana haibagui kazi!

Godbless LEMA alitakiwa aishauri serikali kuboresha usalama wa bodaboda! Kuwapa semina, kuwapa elimu ya usalama, kuwapa elimu ya afya, kuwapa ya ujasiliamali!
Hayo ndiyo yalitakiwa kusikika mdomoni mwa LEMA na chadema!

Bodaboda ni kundi kubwa sana lenye ushawishi, wakiamua kuitafsiri vibaya kauli ya kuwaita wanafanya kazi ya laana kama tusi nakuandamana chadema itaonekana haijali watu wa hali ya chini!

Mungu aliwasaidia watu wenye kitu chapo kidogo! Bodaboda ni kitu kidogo lakini Mungu anaweza inua watu wake kwa mwanzo mdogo kama mkubwa haupo!
Godbless LEMA na chadema msishupaze shingo badilisheni kidogo tu mseme hayo ili kuboresha!

b) LEMA kuhusu Geodavie
Kosa ni lilelile kuwa LEMA anahoja lakini mazingira ya hoja zake yapo tofauti na ujumbe!

LEMA jamii inamtambua kama mwanasiasa!
Anaweza akawa anajua mambo ya madhabahuni lakini asichokijua ni kwamba vya madhabahuni vijibiwe madhabahuni, vya kishirikina vijibiwe kishirikina, vya kisiasa vijibiwe kisiasa!

Kosa la mchungaji Geodavie haliwezi kuwa ajenda ya chama cha siasa!
Chama cha siasa kikianza kuokota ajenda za kijinga hupoteza mwelekeo!
Yaani wafuasi wa chadema mkajadili umalaya wa Geodavie kweli?
Ingekuwa Mimi ni Godbless LEMA nikamtonya Askofu Mwamakula au mchungaji atoe kalipio la kumuonya GEODAVIE Kama kuna ulazima huo!

Lakini maneno hayo kushikiwa bango na Lema ni kufilisika kisiasa!

Chama kinatakiwa kuwa na mawazo jumuishi!
Miongoni mwa wafuasi wa Geodavie kuna wanaCcm, kunawanachadema n.k

Kauli ya mwanasiasa kumuonya mchungaji ni uendawazimu hata kama kuna hoja!
Bibilia inasisitiza watu huangamia kwa kukosa maarifa!

Ukimuonea huruma mtu mpe maarifa kwanza ili upumbavu umtoke!

Hatu enzi za Yesu walikuwepo Punda! Huwezi kuwaondoa Punda kwenye maisha! Nani atambeba Mfalme?

MWAMBIE LEMA NA CHADEMA WANAYOHOJA WATAFTE NJIA NZURI ZA KUIFIKISHA KWA JAMII

Napata wasiwasi huenda LEMA na walamba keki wenzake wametumwa kuropoka kwa fadhila zao na chama tawala
Umenena vyema sana mkuu.

Ndio matatizo ya kuingiza siasa katika kila kitu ili tu aipate 'mileage' ya kisasa.

Kiukweli Lema amekengeuka.
 
Wavimba macho hawawezi kukubaliana na hoja yako.Kwao kukosolewa ni kosa kubwa.Wamekuwa kama vitimu fulani vya Kariakoo ambazo wapenzi wao wanaamini wachezaji wao ndio mahiri duniani.Ukiwabishia una nongwa na hujui lolote.
 
Hivi Moshi alikuwepo au ndo yeye kidume sherehe ilikuwa ya wanawake? Machalii wa Arusha sometime wana misimamo negative sana!!!
Kama siyo bangi ni ulimbukeni kisa kaishi inje miaka miwili basi karudi anaona wote mafyala
 
umenena vyema mkuu, swala la bodaboda lema ana nia njema ila uwasilishaji wake mbovu, ametengeneza contraverse isiyo na lazima, maana hakuwa ana washutumu bodaboda bali bali serikali, ila upepo umegeuka imekuwa ni vita ya lema na bodaboda, alipaswa kutoa ufafanuzi na kusimama upande wa bodaboda kutetea usalama na maslahi, ila kung'ang'ania kauli hyo hyo ana kosea., swala la vikoba ni hvyohvyo, ndo means chache zilizopo za wanawake kujikwamua hasa hawa wanaoambiwa na serikali wakajiajiri, sasa ukivipinga njoo na solution, au ushauri bora zaidi kwa namna gan umoja huo wa wanawake unaweza kuwa na tija zaidi.Swala la geo devie ni swala binafsi na mara nying vita na viongozi wa dini ni ngumu kushinda, angeachana nalo, vinginevyo afungue kanisa lake ili hao kondoo wa geo wahamie kwake. siku zote masikini ni mtaji wa mwenye nguvu, kuanzia wanasiasa mpaka viongozi wa dini wote wananufaika na maskini, tajiri haendeshwi kama anavyoondeshwa masikini.
 
umenena vyema mkuu, swala la bodaboda lema ana nia njema ila uwasilishaji wake mbovu, ametengeneza contraverse isiyo na lazima, maana hakuwa ana washutumu bodaboda bali bali serikali, ila upepo umegeuka imekuwa ni vita ya lema na bodaboda, alipaswa kutoa ufafanuzi na kusimama upande wa bodaboda kutetea usalama na maslahi, ila kung'ang'ania kauli hyo hyo ana kosea., swala la vikoba ni hvyohvyo, ndo means chache zilizopo za wanawake kujikwamua hasa hawa wanaoambiwa na serikali wakajiajiri, sasa ukivipinga njoo na solution, au ushauri bora zaidi kwa namna gan umoja huo wa wanawake unaweza kuwa na tija zaidi.Swala la geo devie ni swala binafsi na mara nying vita na viongozi wa dini ni ngumu kushinda, angeachana nalo, vinginevyo afungue kanisa lake ili hao kondoo wa geo wahamie kwake. siku zote masikini ni mtaji wa mwenye nguvu, kuanzia wanasiasa mpaka viongozi wa dini wote wananufaika na maskini, tajiri haendeshwi kama anavyoondeshwa masikini.
Umeongea point sana! LEMA kuomba radhi siyo udhaifu Bali ukomavu!
Serikali yenyewe huwa inakosea inajisahihisha
 
Wavimba macho hawawezi kukubaliana na hoja yako.Kwao kukosolewa ni kosa kubwa.Wamekuwa kama vitimu fulani vya Kariakoo ambazo wapenzi wao wanaamini wachezaji wao ndio mahiri duniani.Ukiwabishia una nongwa na hujui lolote.
Itakuwa siyo uungwana
 
Naskia katukana watu kwamba wanaokwenda makanisani kuombewa ni mazezeta
 
Job ndugai kuwaita boda boda sana laana LEMA Kachangikiwa
 
Back
Top Bottom