Hatuwezi kusema moja kwa moja kazi ya boda ni laana!
Lakini matendo ya madereva bodaboda wengi wao nikama wana laana!
Huko barabarani honi ndiyo breki, hawana kusubiri, wanaovateki hovyo wakiamini wapo sahihi muda wote!
Bahati mbaya boda anapoovateki kushoto na mwenye gari ikawa anakwepa shimo ghafla na kumgonga boda huwa anaamini yupo sahihi hata kuhatarisha chombo cha mtumia!
Nashauri kwa tabia zao nyingi mbaya!
Jeshi la polisi lipitishe kanuni mpya za usalama barabarani!
Pia tufanye marekebisho ya sheria ya usalama!
Kwamba boda boda za abiria ziwe na leseni maalum! Ambayo itolewe baada ya mafunzo semina ya jeshi la polisi!
Ili kuepusha udanganyifu kutoka kwa maafisa wa polisi wasio waaminifu, kuwepo na kanzu data ya kusajili wanaoanza mafunzo hata wanaomaliza mafunzo na kukabidhiwa leseni hizo maalum!
Wafundishwe utii wa sheria, ulinzi na usalama wa wengine!
Pia nashauri kwa madereva wanaofanya uhalibifu wa mali za wengine wanapo kamatwa adhabu ziwe kali ikiwemo kupokonywa leseni, fidia kwa mhanga, faini kubwa, kifungo na adhabu kubwa ikiwemo bakola 70!
Lakini matendo ya madereva bodaboda wengi wao nikama wana laana!
Huko barabarani honi ndiyo breki, hawana kusubiri, wanaovateki hovyo wakiamini wapo sahihi muda wote!
Bahati mbaya boda anapoovateki kushoto na mwenye gari ikawa anakwepa shimo ghafla na kumgonga boda huwa anaamini yupo sahihi hata kuhatarisha chombo cha mtumia!
Nashauri kwa tabia zao nyingi mbaya!
Jeshi la polisi lipitishe kanuni mpya za usalama barabarani!
Pia tufanye marekebisho ya sheria ya usalama!
Kwamba boda boda za abiria ziwe na leseni maalum! Ambayo itolewe baada ya mafunzo semina ya jeshi la polisi!
Ili kuepusha udanganyifu kutoka kwa maafisa wa polisi wasio waaminifu, kuwepo na kanzu data ya kusajili wanaoanza mafunzo hata wanaomaliza mafunzo na kukabidhiwa leseni hizo maalum!
Wafundishwe utii wa sheria, ulinzi na usalama wa wengine!
Pia nashauri kwa madereva wanaofanya uhalibifu wa mali za wengine wanapo kamatwa adhabu ziwe kali ikiwemo kupokonywa leseni, fidia kwa mhanga, faini kubwa, kifungo na adhabu kubwa ikiwemo bakola 70!