Kama sielewi elewi vile!

Kama sielewi elewi vile!

umeona eeeh!
nilipopigiwa simu baba amefariki nilikuwa ofisini....... bahati nzuri nilikuwa na mkaka mmoja hivi.......
yeye ndo alikumbuka kuzima laptop yangu na kunibebea handbag kunirudisha home maana naona alihisi drama inaweza tokea...... nilichokuwa nawaza ni ntafikaje huko muda huo huo, angalau kuwa pamoja na mama na wadogo zangu tukilia pamoja kutanipa faraja........ hapo unafikiri kuna kuwaza kama nina mtoto? nilikumbuka baadae dada aliponiletea nimnyonyeshe, lol! nini kukumbuka kujipamba

yaani siku hizi mtu anatafuta swaga za kulia msibani, ushaona mtu analia huku amesmile weye? mambo ya kulia huku unajigalagaza hakuna tena.
 
habari ndo hiyo rafiki.....
ukifiwa kimujini unawahi salon fasta, lol!
kwangu mimi never my dear, hao wanajifanya wa mjini kumbe ndio wanaonekana wa ajabu, huo ni ushetani kabisa, haiwezekani kaka yako amefariki halafu wewe unaenda kujiremba ili ukamzike!!!!!, mimi nikimuona mtu wa hivyo hata pole simpi kabisa

Kwetu ukitokea msiba huogi hadi mazishi yapite, tena unaogeshwa na watani, mnalala kwenye mkeka siku zote, baada ya hapo majirani wanawapikia kama siku tatu mfululizo au zaidi ndio angalau unaweza kufanya kazi taratibu, sasa hayo ya kwenda salon tena ni mengine, hao wanakurupukia mambo wasiyoyajua kwa kweli.
 
anataka akafanye matangazo.. But najiuliza ni kaka yake kweli??? au wakusingiziwa?
halafu FP sema basi Moshi umeitolea mfano banaa!! haha ha aaa
 
Last edited by a moderator:
kwangu mimi never my dear, hao wanajifanya wa mjini kumbe ndio wanaonekana wa ajabu, huo ni ushetani kabisa, haiwezekani kaka yako amefariki halafu wewe unaenda kujiremba ili ukamzike!!!!!, mimi nikimuona mtu wa hivyo hata pole simpi kabisa

Kwetu ukitokea msiba huogi hadi mazishi yapite, tena unaogeshwa na watani, mnalala kwenye mkeka siku zote, baada ya hapo majirani wanawapikia kama siku tatu mfululizo au zaidi ndio angalau unaweza kufanya kazi taratibu, sasa hayo ya kwenda salon tena ni mengine, hao wanakurupukia mambo wasiyoyajua kwa kweli.
ha haaa, ndo ukijijini huo, lol!
sisi pia kwetu, tena kama mnazika kijijini ndo mnaenda kuogeshwa mtoni mnapotoka makaburini....
Ila hata kama mnaoga tu ile ya kujiweka safi poa, lakini kwenda kujibandika kope! kweli wacha tuwe washamba
 
kama niliposema hapo juu kweli sishangai sana kwa watu wa mbali walioenda msibani....
lakini huyu aliyefiwa na kakake, tena kaugua kwa siku 2 tu! mmmh!:nono:
Ukienda msibani mwenye msiba utamjua tu, huyo hakuwa ndugu yake. inawezekana ni kaka wa kuvuna kwa manati, au Udugu wa nazi kukutana kwenye tenga, kwa sababu zote ni nazi.
 
Ukienda msibani mwenye msiba utamjua tu, huyo hakuwa ndugu yake. inawezekana ni kaka wa kuvuna kwa manati, au Udugu wa nazi kukutana kwenye tenga, kwa sababu zote ni nazi.
Lisa,
huyu sikukutana naye msibani, ilikuwa salon....
kuna mdada alimwuliza uhusiano na marehemu akasema ni kakake kabisa wamezaliwa pamoja na hata baadhi ya simu alizokuwa anaendelea kupiga na kupokea kuhusu msiba zilikuwa zinaeleza kabisa ukaribu wake na marehemu
 
Last edited by a moderator:
sishangai ulichoona baby,

Huko moshi misiba imekuwa kama sehemu ya kuonyeshana how am i

nilienda kwenye msiba wa kaka yangu paris nilijiona mshamba mimi mwenyewe
wamama wamevaa suti za bei ghali, kofia kama za malkia elizabeth ndo zimevalika
nguo za less material ndo usiseme, hata wale ndugu wa karibu, hata mke wake mwenyewe
wamejipamba hadi kufuru, i was with binti yangu though was mdogo ila alisema ni mambo gani haya, akaniacha na ndugu zangu akarudi kwa bibi yake.

naona kwa kuwa wakati wa msiba matajiri wengi wanakuwepo inakuwa pia chance ya watu kutafuta mahusiano mapya.

na kwa kuwa Mungu ameshatuona kuwa wajin.ga sisi wenyewe ndo anatupiga na misiba kila leo.
 
Siku hizi msiba ni show tupu my dear. Hawakuongelea mwenye saluni akawapake makeup ama maznat alishawahi tenda?
Ningekuwa mie ndo wewe mbona ningechomekea tenda ya sare!

na siku hizi bila kupigia yale mamiwani makubwa kama ya fundi wa kuchomelea, wewe bado sana, usiongelee khanga na vitenge, kwani umetoka njoro leo? khaa, ukitaka fashion mpya siku hizi wewe hudhuria tu misiba hasa ya kimujini mujini.
 
sishangai ulichoona baby,

Huko moshi misiba imekuwa kama sehemu ya kuonyeshana how am i

nilienda kwenye msiba wa kaka yangu paris nilijiona mshamba mimi mwenyewe
wamama wamevaa suti za bei ghali, kofia kama za malkia elizabeth ndo zimevalika
nguo za less material ndo usiseme, hata wale ndugu wa karibu, hata mke wake mwenyewe
wamejipamba hadi kufuru, i was with binti yangu though was mdogo ila alisema ni mambo gani haya, akaniacha na ndugu zangu akarudi kwa bibi yake.

naona kwa kuwa wakati wa msiba matajiri wengi wanakuwepo inakuwa pia chance ya watu kutafuta mahusiano mapya.

na kwa kuwa Mungu ameshatuona kuwa wajin.ga sisi wenyewe ndo anatupiga na misiba kila leo.
he he heee, shosti kama nakuona na mavitenge yako, lol!
yaani mimi mpaka niliogopa, nikaanza kufikiria mbali sana.
sipati picha hata kama aliyefariki ni bibi au mjomba nitinge hivyo mbona ukoo watanitenga!
Uombe Mungu hayo mambo yakukute ulishatinda nyusi zako, kama una brush mbona utabaki na brush yako mpaka mmalize kuzika
 
sishangai ulichoona baby,

Huko moshi misiba imekuwa kama sehemu ya kuonyeshana how am i

nilienda kwenye msiba wa kaka yangu paris nilijiona mshamba mimi mwenyewe
wamama wamevaa suti za bei ghali, kofia kama za malkia elizabeth ndo zimevalika
nguo za less material ndo usiseme, hata wale ndugu wa karibu, hata mke wake mwenyewe
wamejipamba hadi kufuru, i was with binti yangu though was mdogo ila alisema ni mambo gani haya, akaniacha na ndugu zangu akarudi kwa bibi yake.

naona kwa kuwa wakati wa msiba matajiri wengi wanakuwepo inakuwa pia chance ya watu kutafuta mahusiano mapya.

na kwa kuwa Mungu ameshatuona kuwa wajin.ga sisi wenyewe ndo anatupiga na misiba kila leo.

looo, kuna mmoja nilienda moshi, mkaka wa TRA, mke alituvalia mchuchumio na mbano, ka sketi ka titeee, halafu siku hizi hakuna kufunga vilemba, huyu dada aliniacha hoi japo mume alifariki ghafla kwa ajali but nadhani alikuwa anachunga sana make up yake, hata chozi sikuliona, sikuwahi kuona padri anaomba mke wa marehemu aje aage mara ya mwisho ili mwili ufunikwe, lakini mke mkavuuuu, sijui zile make up za wapi walimpaka mwenzao akawa busy kuichunga isiharibike kiasi kile, looo
 
na siku hizi bila kupigia yale mamiwani makubwa kama ya fundi wa kuchomelea, wewe bado sana, usiongelee khanga na vitenge, kwani umetoka njoro leo? khaa, ukitaka fashion mpya siku hizi wewe hudhuria tu misiba hasa ya kimujini mujini.
hayo ya miwani mwenzangu nayaona makaburini huko......
mi nadhaniaga labda sababu hao sio wafiwa saaana kwa hiyo wanakuja ku-show off tu...
sasa huyu mwenye kaka yake!:nono:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom