GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,742
- 109,177
"Kwa Miezi hii Mitano tu nimefanikiwa Kupambana na Uchumi wa Kenya kwani Serikali iliyopita imetuachia Deni Kubwa la Urefu wa kutoka hapa Nairobi hadi Johannesburg" amesema Rais wa Kenya Ruto.
Chanzo Taarifa: Radio One Nipashe
GENTAMYCINE sijashangaa sana kwani kuna Rais wa nchi moja ( Nimeisahau Jina na nikiikumbuka nitaitaja ) alipoingia tu Madarakani mwaka 2015 alikuta Deni la hiyo nchi lina Ukubwa wa Urefu wa kutoka Mji Mkuu Wao hadi Jijini Pyongyang Korea ya Kaskazini huku aliyewapa Deni hilo akiwa yuko na Anakenuakenua tu hovyo Afrika Mashariki, Ulaya na Marekani.
Chanzo Taarifa: Radio One Nipashe
GENTAMYCINE sijashangaa sana kwani kuna Rais wa nchi moja ( Nimeisahau Jina na nikiikumbuka nitaitaja ) alipoingia tu Madarakani mwaka 2015 alikuta Deni la hiyo nchi lina Ukubwa wa Urefu wa kutoka Mji Mkuu Wao hadi Jijini Pyongyang Korea ya Kaskazini huku aliyewapa Deni hilo akiwa yuko na Anakenuakenua tu hovyo Afrika Mashariki, Ulaya na Marekani.