Kama nikiulizwa kuwa nimeridhika na Utawala wa Rais Samia au ninamkumbuka Hayati Magufuli

lee Vladimir cleef

JF-Expert Member
Feb 5, 2013
9,154
33,365
Tutakuwa na Rais Samia kwa kipindi cha miaka takriban mitano kabla ya Uchaguzi Mkuu kama mambo yakienda hivi bila Mungu kufanya yake. Inshallah naomba asifanye.

Kama nikiulizwa leo hii je unauonaje Utawala wa Samia?
Je, kwa jinsi Samia anavyoongoza unaona ni vema Magufuli angekuwepo?
Unajua katika Maisha huwa kuna wakati huwa tunawakumbuka Marehemu kwa uwezo wao na nafasi zao katika jamii kuanzia ngazi ya familia.

Jibu langu katika maswali hayo ni moja tu.

Ni afadhari mara mia Samia abaki miaka 10 kuliko Miaka mitano ya Magufuli.

Samia na Magufuli ni mbingu na ardhi.

Samia ana utu,ana hofu ya Mungu,hana kiburi,hana dharau,hana chuki,hana visasi,msikivu,hana roho mbaya,ana nidhamu,sio mkatili,ana heshima,ana heshimu wataalamu,viongozi wa dini,wazee na vijana.

Samia mtoto wa mjini hana mambo ya kishamba.

Anaeheshimu wakulima ,wafanyakazi na wafanyabiashara.

Hawazi kupoteza watu,
Ana huruma,hawezi kufurahia kuona mtoto wa mtu akipotezwa kwa sababu ya tofauti za kisiasa.

Hata ukiangalia body language za watu mitaani,Wana amani Sana.

Hana hotuba za vitisho wala dharau.
Ana vijimaneneo vyake tu vya kipwani,au kimamamama lakini sio sio maneno makali.

Kitu pekee kitamharibia Samia kama asipocheza karata zake vizuri ni Kesi ya Mwamba Mbowe tu.

Vyovyote itakavyokua Samia Sio Mkatili.
Hawezi kuruhusu au kufurahia mambo kama yaliyompata Lisu yatokee ndani ya awamu yake,

Hawezi kupanua barabara na asiwalipe wahanga.

Ukweli ni kwamba Kwangu mimi ni bora Samia kuliko Jiwe.

Nchi ilikokuwa inaelekea Ni Mungu tu ndio ajuaye.

Hivi kw mfano mambo haya ya kuogofya na kutisha aliyokuwa akiyafanya Sabaya Intelijensia za akina Sirro hazikuyaona?
 
Madam President ni tofauti mno na JPM, kwa hulka, haiba na hata tabia binafsi. Ni kiongozi msikivu na mwenye kuchagua maneno ya kuongea na kuchunga mno kauli zake pale anapoongea hadharani, tofauti na mtangulizi wake.

Ana jambo moja tu muhimu analipaswa kulifanya kwa sasa, asirithi maadui wa kisiasa wa mtangulizi wake, bali atafute suluhu nao kwa mustakabali mpana na bora wa nchi yetu.
 
Utakuwa fisadi wewe si bure!! Halafu utawala huu kusema kweli ni awamu ya tano sehemu ya pili!! Ilani ni ile ile na watu ni wale wale kasoro viraka vya hapa na hapa na viraka vyenyewe ni kutoka nguo iĺe ile!! Ikakatwa sehemu ya nguo ya mgongoni inapachikwa kifuani na mambo kama hayo hayo!
 
Madam President ni tofauti mno na JPM, kwa hulka, haiba na hata tabia binafsi. Ni kiongozi msikivu na mwenye kuchagua maneno ya kuongea na kuchunga mno kauli zake pale anapoongea hadharani, tofauti na mtangulizi wake.

Ana jambo moja tu muhimu analipaswa kulifanya kwa sasa, asirithi maadui wa kisiasa wa mtangulizi wake, bali atafute suluhu nao kwa mustakabali mpana na bora wa nchi yetu.

Katika hili la kutokutaka kurithi maadui wa mtangulizi wake amefanikiwa sana toka aliposhika hatamu kwasababu aliwafutia kesi watu wengi waliowekwa kizuizini kwa ishu za kisiasa, uhujumu uchumi nk

Ila wapuuzi wachache kama kina Mdude Nyangali, Mbowe, Heche nk waliopo Chadema wakaanza kutoa kauli za kumdhihaki na matendo ya kumchokoa chokoa, hapa Mamá akaamua kufungua makucha yake ili akili ziwakae sawa
 
Utakuwa fisadi wewe si bure!! Halafu utawala huu kusema kweli ni awamu ya tano sehemu ya pili!! Ilani ni ile ile na watu ni wale wale kasoro viraka vya hapa na hapa na viraka vyenyewe ni kutoka nguo iĺe ile!! Ikakatwa sehemu ya nguo ya mgongoni inapachikwa kifuani na mambo kama hayo hayo!
Uma miaka mingine 30 ya kulalamika. Subiria pension ya uzee baada ya shughuli yako nzito ya malalamiko ya miaka 30 mpaka utakapokufa🤣
 
Mleta mada,

Ukitaka ujue ubora na udhaifu wa JPM na Mamá Samia basi ingekupasa urejee changamoto tulizokuwa nazo toka awamu ya Kikwete.

**Rejea zile kelele za wananchi tukiongozwa na Chadema juu ya ufisadi wa Serikali ya JK ( skendo za EPA, Richmond, Escrow, ufisadi nssf) matumizi mabovu ya kodi za wananchi (safari za nje ya nchi za viongozi mbalimbali, semina na warsha zenye posho nono nono etc)
, rushwa kila kona, madawa ya kulevya, ujambazi na uporaji silaha kwenye vituo vya polisi, ugaidi wa kibiti mkuranga, ukwepaji kodi bandarini na kwenye biashara, watumishi hewa, huduma mbovu sekta ya afya, ubovu miundombinu ya barabara reli,na mengine kadha wa kadha

Kisha angalia alivyoingia Magufuli madarakani ameweza kushughulikia kwa kiwango gani hizo kero na changamoto zilizokuwa zinaikabili nchi yetu, ndipo utajua Magufuli alipiga kazi au alikuja kuuza sura

Sio unaleta vitu dhaifu dhaifu vya kumlinganisha Magufuli na Mamá Samia eti huruma, hana dharau, hana visasi, anapenda watu,,,, shabaaashhh....!!!

Magufuli hakuja kuuza sura, alikuja kuchapa kazi na kazi imeonekana.
 
Tutakuwa na Rais Samia kwa kipindi cha miaka takriban mitano kabla ya Uchaguzi Mkuu kama mambo yakienda hivi bila Mungu kufanya yake. Inshallah naomba asifanye.

Kama nikiulizwa leo hii je unauonaje Utawala wa Samia?
Je, kwa jinsi Samia anavyoongoza unaona ni vema Magufuli angekuwepo?
Unajua katika Maisha huwa kuna wakati huwa tunawakumbuka Marehemu kwa uwezo wao na nafasi zao katika jamii kuanzia ngazi ya familia.

Jibu langu katika maswali hayo ni moja tu.

Ni afadhari mara mia Samia abaki miaka 10 kuliko Miaka mitano ya Magufuli.

Samia na Magufuli ni mbingu na ardhi.

Samia ana utu,ana hofu ya Mungu,hana kiburi,hana dharau,hana chuki,hana visasi,msikivu,hana roho mbaya,ana nidhamu,sio mkatili,ana heshima,ana heshimu wataalamu,viongozi wa dini,wazee na vijana.

Samia mtoto wa mjini hana mambo ya kishamba.

Anaeheshimu wakulima ,wafanyakazi na wafanyabiashara.

Hawazi kupoteza watu,
Ana huruma,hawezi kufurahia kuona mtoto wa mtu akipotezwa kwa sababu ya tofauti za kisiasa.

Hata ukiangalia body language za watu mitaani,Wana amani Sana.

Hana hotuba za vitisho wala dharau.
Ana vijimaneneo vyake tu vya kipwani,au kimamamama lakini sio sio maneno makali.

Kitu pekee kitamharibia Samia kama asipocheza karata zake vizuri ni Kesi ya Mwamba Mbowe tu.

Vyovyote itakavyokua Samia Sio Mkatili.
Hawezi kuruhusu au kufurahia mambo kama yaliyompata Lisu yatokee ndani ya awamu yake,

Hawezi kupanua barabara na asiwalipe wahanga.

Ukweli ni kwamba Kwangu mimi ni bora Samia kuliko Jiwe.

Nchi ilikokuwa inaelekea Ni Mungu tu ndio ajuaye.

Hivi kw mfano mambo haya ya kuogofya na kutisha aliyokuwa akiyafanya Sabaya Intelijensia za akina Sirro hazikuyaona?
Udanganyifu na unafiki
 
Mleta mada,

Ukitaka ujue ubora na udhaifu wa JPM na Mamá Samia basi ingekupasa urejee changamoto tulizokuwa nazo toka awamu ya Kikwete.

**Rejea zile kelele za wananchi tukiongozwa na Chadema juu ya ufisadi wa Serikali ya JK ( skendo za EPA, Richmond, Escrow, ufisadi nssf) matumizi mabovu ya kodi za wananchi (safari za nje ya nchi za viongozi mbalimbali, semina na warsha zenye posho nono nono etc)
, rushwa kila kona, madawa ya kulevya, ujambazi na uporaji silaha kwenye vituo vya polisi, ugaidi wa kibiti mkuranga, ukwepaji kodi bandarini na kwenye biashara, watumishi hewa, huduma mbovu sekta ya afya, ubovu miundombinu ya barabara reli,na mengine kadha wa kadha

Kisha angalia alivyoingia Magufuli madarakani ameweza kushughulikia kwa kiwango gani hizo kero na changamoto zilizokuwa zinaikabili nchi yetu, ndipo utajua Magufuli alipiga kazi au alikuja kuuza sura

Sio unaleta vitu dhaifu dhaifu vya kumlinganisha Magufuli na Mamá Samia eti huruma, hana dharau, hana visasi, anapenda watu,,,, shabaaashhh....!!!

Magufuli hakuja kuuza sura, alikuja kuchapa kazi na kazi imeonekana.
Umemaliza kila kitu unajua humu nimegundua wengi ni watoto hawajaziona hizi awamu na kuzilinganisha.
 
Umemaliza kila kitu unajua humu nimegundua wengi ni watoto hawajaziona hizi awamu na kuzilinganisha.
Wengi wametoka certificate, diploma na degree hapo UDOM wanajua Rais wa kwanza ni kikwete wa pili Magufuli kwaio sio kosa lao
 
Utakuwa fisadi wewe si bure!! Halafu utawala huu kusema kweli ni awamu ya tano sehemu ya pili!! Ilani ni ile ile na watu ni wale wale kasoro viraka vya hapa na hapa na viraka vyenyewe ni kutoka nguo iĺe ile!! Ikakatwa sehemu ya nguo ya mgongoni inapachikwa kifuani na mambo kama hayo hayo!
Kikosi maalumu cha kukusanya fedha kimefikia wap mama alisema hataki fedha ya dhulma na mkachukua milion mia 5 za mzee wangu kwa vigezo et achangie maendeleo ya nchi awe uzalendo yaani nimechukua kibabe lile jambazi wacha liende
 
Wewe umejuaje ana hofu ya mungu, wewe umekua mungu hadi umsemee?

Unafiki na kujipendekeza hakutawasaidia.

Kuna mwenzako jana alisema akienda jehanamu sijui peponi asipomkuta samia anaondoka, sasa sijui yeye amejuaje kama huko peponi ataenda kama kweli kupo.
Watu wanaongea mitazamo yao sio kujipendekeza au mnataka tumsifie mwendazake ndo mfurahi team polepole tulieni
 
Tutakuwa na Rais Samia kwa kipindi cha miaka takriban mitano kabla ya Uchaguzi Mkuu kama mambo yakienda hivi bila Mungu kufanya yake. Inshallah naomba asifanye.

Kama nikiulizwa leo hii je unauonaje Utawala wa Samia?
Je, kwa jinsi Samia anavyoongoza unaona ni vema Magufuli angekuwepo?
Unajua katika Maisha huwa kuna wakati huwa tunawakumbuka Marehemu kwa uwezo wao na nafasi zao katika jamii kuanzia ngazi ya familia.

Jibu langu katika maswali hayo ni moja tu.

Ni afadhari mara mia Samia abaki miaka 10 kuliko Miaka mitano ya Magufuli.

Samia na Magufuli ni mbingu na ardhi.

Samia ana utu,ana hofu ya Mungu,hana kiburi,hana dharau,hana chuki,hana visasi,msikivu,hana roho mbaya,ana nidhamu,sio mkatili,ana heshima,ana heshimu wataalamu,viongozi wa dini,wazee na vijana.

Samia mtoto wa mjini hana mambo ya kishamba.

Anaeheshimu wakulima ,wafanyakazi na wafanyabiashara.

Hawazi kupoteza watu,
Ana huruma,hawezi kufurahia kuona mtoto wa mtu akipotezwa kwa sababu ya tofauti za kisiasa.

Hata ukiangalia body language za watu mitaani,Wana amani Sana.

Hana hotuba za vitisho wala dharau.
Ana vijimaneneo vyake tu vya kipwani,au kimamamama lakini sio sio maneno makali.

Kitu pekee kitamharibia Samia kama asipocheza karata zake vizuri ni Kesi ya Mwamba Mbowe tu.

Vyovyote itakavyokua Samia Sio Mkatili.
Hawezi kuruhusu au kufurahia mambo kama yaliyompata Lisu yatokee ndani ya awamu yake,

Hawezi kupanua barabara na asiwalipe wahanga.

Ukweli ni kwamba Kwangu mimi ni bora Samia kuliko Jiwe.

Nchi ilikokuwa inaelekea Ni Mungu tu ndio ajuaye.

Hivi kw mfano mambo haya ya kuogofya na kutisha aliyokuwa akiyafanya Sabaya Intelijensia za akina Sirro hazikuyaona?
FB_IMG_16332143456548674.jpg
 
Mleta mada,

Ukitaka ujue ubora na udhaifu wa JPM na Mamá Samia basi ingekupasa urejee changamoto tulizokuwa nazo toka awamu ya Kikwete.

**Rejea zile kelele za wananchi tukiongozwa na Chadema juu ya ufisadi wa Serikali ya JK ( skendo za EPA, Richmond, Escrow, ufisadi nssf) matumizi mabovu ya kodi za wananchi (safari za nje ya nchi za viongozi mbalimbali, semina na warsha zenye posho nono nono etc)
, rushwa kila kona, madawa ya kulevya, ujambazi na uporaji silaha kwenye vituo vya polisi, ugaidi wa kibiti mkuranga, ukwepaji kodi bandarini na kwenye biashara, watumishi hewa, huduma mbovu sekta ya afya, ubovu miundombinu ya barabara reli,na mengine kadha wa kadha

Kisha angalia alivyoingia Magufuli madarakani ameweza kushughulikia kwa kiwango gani hizo kero na changamoto zilizokuwa zinaikabili nchi yetu, ndipo utajua Magufuli alipiga kazi au alikuja kuuza sura

Sio unaleta vitu dhaifu dhaifu vya kumlinganisha Magufuli na Mamá Samia eti huruma, hana dharau, hana visasi, anapenda watu,,,, shabaaashhh....!!!

Magufuli hakuja kuuza sura, alikuja kuchapa kazi na kazi imeonekana.
Ndugu yangu unataka kuniambia wakati wa Magufuli ufisadi uliisha?haukuwepo.
Sasa Makonda alivusha makontena Bandarini,
Ndugai alitibiwa India kwa Mabilioni n.k
Hivi ni nini kilichomfukuzisha CAG Assad?
Hawa akina Sabaya je walikua ni Mafisadi,majambazi au wanyaNg'anyi?
Kwa taarifavyako Hawa dizainj ya akina Sabaya wapo wengi Sana na wote walikua awamu ya Magu.
Ndio kwa mara ya kwanza Mkuu wa Wilaya anashitakiwa kwa ujambazi alikua analindwa na Magu hii haijawahi tokea enzi za Nyerere,Mwinyi,Mkapa wala Kikwete.
Uongozi wa Magu tumeshuhudia kiongozi wa Upinzani akishambuliwa na hakuna Kesi,Mbunge alipigwa risasi hakuna Kesi .sio chuki ni nini?
Wagombea wa Upinzani wamepigwa hadharani ni wengine kutekwa wananyang'nganywa fomu na kukataliwa kuwa wamekosea au wamechelewa kurudisha fomu.
Utawala wa hovyo kabisa .
Angalia Tukio la Akwilina,angalia Uchaguzi wa serikali za mitaa hovyo kabisa .mambo ni mengi sana.upendeleo wa wazi kabisa amedhulumu hata haki za watu kwenda mahakamani. Kudai fidia za maeneo waliyovunjiwa huku Mkoa mwingine akisema wasivunjiwe .raisi gani huyo?
 
Back
Top Bottom