real life skills
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 233
- 236
Hao wanaomlilia ni ile misukule yake aliyokuwa ameibrain wash na wale walionufaika na utawala wake wa hovyo kama kina Sabaya na makonda.Watu wa instagram ,facebook n.k.wanamlilia sana JPM na kumkumbuka,ila humu sijui mnakuwa mmetumwa? ...
Hakuna mtu mwenye akili timamu anamlilia huyo dikiteta aliyekuwa hawezi hata kichagua maneno yakuongea kama raisi wa nchi. Alikuwa anaropoka tu. Mara muhaki na mavi yenu nyumbani!