Kama ni wewe ungefanya nini?

Kama ni wewe ungefanya nini?

You stupid you!

I'm gonna ding you a point for not getting it right.

Often imitated but never duplicated....

Give the king his throne

Hahahahhaaa dadiiii......

My favourite time with you is when you are a lecturer and am a student...... heheheheh

You are the king of the jungle......

Hahahahahahahaa nakimbia nakoz looh...
 
Hahahahhaaa dadiiii......

My favourite time with you is when you are a lecturer and am a student...... heheheheh

You are the king of the jungle......

Hahahahahahahaa nakimbia nakoz looh...

Ngoja nikukimbize na nikikumata utaipata
 
Chui hanaga shida. Ningemvika hiyo kofia tu mwenyewe angeshuka chini na kuondoka nayo. Ila jamani, picha nyingine hueleza mengi sana. Sio kwamba unatuambia kitu kwa mafumbo kweli? Naona ka kuna kauhusiano wa UKUTA na mkuu wa kaya vile. Kuwa wajamaa weshampandia hadi nyumbani. Sijui, ila hii ni tafsiri yangu tu staki nimwudhi yeyote
 
Ngoja nikukimbize na nikikumata utaipata

Hahahahaaa nakimbilia ndani halafu najificha nawapigia simu watu wa pizza hata ukiita sitoki... ila nikisikia kengele ya mlango unagongwa najua mtu wa pizza amefika sasa natoka ili tule pizza huku tukitizamana hahahahah

Najua baada ya hapo sio nakoz tena ni Nandos (paja la kuku na kipapatio) heheheh
 
Kweli nimekaa sana maporini nawajua. Hata ukimkuta kwenye mti amekutolea macho usilale mbele wewe piga reverse tu huku umemtolea macho mithiri ya yule jamaa wa orijino komedi hadi utakapoona umefika mbali na hapo geuka na timua mbio hadi visigino viguso kisogoni.
 
Ngapi?i mean model gani? Na JF unapata kupitia browser au App? Kama ni app angalia kwenye mstari wa options za kureply kuna hii emoj bonyeza hiyo utapata options za kila aina
Nimeweza...loh hatimae
 
Cp6APzeWEAAGFGP.jpg
Namtemea mate!
 
Nampa ngumi ya Kichwa tu hapo, lazima aende chini, au kuongeza mwendo na kufunga brake gafla lazima aende chini tu...
 
Ningekuwa mimi namvutia ndani naanza kumpa vitasa vya mbavuni nampeleka nyumbani kama kitoweo
 
Back
Top Bottom