jogoo dume
Member
- May 12, 2014
- 76
- 94
Ni kuendesha gari kwa spidi kali;kisha breki kali;unaanza tena spidi kali;kisha breki kali;mpk anavurugika jumla
Anaweza akakuonea huruma......akakupa tu onyo.atanijibu kwa bite 1 ya hatari![]()
![]()
![]()
Mambo?Hahhahahaaaa
Hivyo vi emoji mnavitoa wapi?
Hivyohvyo aisee mie mbona sivioni?Unasema hivi![]()
![]()
![]()
Ukiwa unatype juu ya keyboard kuna alama kama nne hivi upande wa kushoto kuna alama ya attachment inafuata ni ya emoji ukigusa hiyo ndo zinakuja emojiHivyohvyo aisee mie mbona sivioni?
Na nilivyo na kichwa cha panzi......kazi ninayo.Ukiwa unatype juu ya keyboard kuna alama kama nne hivi upande wa kushoto kuna alama ya attachment inafuata ni ya emoji ukigusa hiyo ndo zinakuja emoji
Aya bwana unanitambishia eeeh
Pole sana. Tatizo screenshot imegoma kujiupload ungeona vizuriNa nilivyo na kichwa cha panzi......kazi ninayo.
kwahiyo somo hapo juu hujalielewaAya bwana unanitambishia eeeh