sister
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 9,014
- 6,852
Ikikubali nitumie aisee naona peterchoka ananitambishia sana.Pole sana. Tatizo screenshot imegoma kujiupload ungeona vizuri
Ikikubali nitumie aisee naona peterchoka ananitambishia sana.Pole sana. Tatizo screenshot imegoma kujiupload ungeona vizuri
Bado aiseee......hili ni somo la masaa 24.kwahiyo somo hapo juu hujalielewa
Hahaha usikutishe huyo najaribu hapa naona bado chengaIkikubali nitumie aisee naona peterchoka ananitambishia sana.
Kwa kweli......ila haina haraka sana....ikikubali tu nitumie nami nijifunze ...niondoke kwenye huu ushamba.....Hahaha usikutishe huyo najaribu hapa naona bado chenga
Ni kweli kabisa. Ikikubali nitakutumiaKwa kweli......ila haina haraka sana....ikikubali tu nitumie nami nijifunze ...niondoke kwenye huu ushamba.....
Poa poa....asanteNi kweli kabisa. Ikikubali nitakutumia
hahaha...Akome, nani kamtuma avae shati ya chama hicho, acha awe kitoweo
Kwahiyo kwa maneno mengine ni kachui uchwaraKachui kenyewe katoooto
wakati unasubiri maelezo hayo, waweza fanya hivi, [ emoji1 ] [ emoji2 ]Poa poa....asante
Ooh asante....wakati unasubiri maelezo hayo, waweza fanya hivi, [ emoji1 ] [ emoji2 ]
NB: waweza kuweka emoji namba yoyote pia usiache nafasi kama mimi inatakiwa ubananishe
Sasa nabonyeza wapi ili vitokee hivyo.....loh kichwa panzi mie nivumilie tu.Hiyo hapo![]()