Kwa sasa Lowasa ndio mtu maarufu Tanzania.
Wachache wanajadili hao waliopenya.
mkuu na lengo la mimi kuuweka uzi huu hapa mapema kabisa ni baada ya kuona wadau wengi wanaanza kufall in love na Lowassa out of sympath,nikaona pia hakuna anayeangalia other possibilities!Hata wahariri walioalikwa leo Azam tv nikaona nao wamejaa wazima wazima!
Mpaka sasa kikao kimeahirishwa wakati ilikuwa warejee saa 10
mh sijakuelewa unasema lowassa anakubalika nje na ndani ya chama je waliomkata wametoka wapi?
usiwe mvivu wa kusoma,soma uzi mpaka mwisho na utafakari
Mawazo yako yanaonyesha hujui undani wa mchakato mzima. Ni hivi... Lowassa NEC na mkutano mkuu anapita kwa kishindo kabisa kwani huko amepandikiza watu wake wengi wa kutosha. Na akipita hapo kwenye uchaguzi kutakuwa hamna shida kwani tume ya uchaguzi ni yao. Sasa hai-make sense wafanye harakati zooote hizi kama unavyo-suggest kwani Kikwete atakuwa anajidhalilisha mwenyewe na kuonekana kama kiongozi mwoga na asiyejua mbele wala nyuma.na kama angekuwa kati ya hao watano,umaarufu wake usingekuwa hivi.Wangejadiliwa walioteuliwa!
Fikiri,kama ccm wakimrudisha watavuna watu kiasi gani?Huu kama ulikuwa mpango wa makusudi huoni kama wamefanikiwa?
lowasa kashapotea tayari hata iweje. kwisha habari yake. ccm hawana jipya
low-hasa kutumika kugawa kula za ukawa, il CCM IPATE NAFUU YA KUSHINDA.
atagombea kupitia ACT ili kuua nguvu ya ukawa.
Kwahiyo katika mtazamo wako ni kwamba CCM wangelikuwa na jipya pale tu ambapo wangelimweka Lowasa, ama una maana gani!? Na kama hiyo ndo maana yako basi pole sana lakini endapo humaanishi hivyo basi hongera sana!
Inawezekana amesoma hadi mwisho lakini tatizo liko kwenye kuelewa. Hata kama uliyoyaandika yasiwe hivyo, lakini nilitegemea mtu akisoma maelezo yako aielewe point yako.
hahaaaaa,ina maana viongozi wetu hawawezi kutengeneza draft kama hiyo?
Hivi kiongozi mtiifu kwa chama kama nchimbi ambaye alikuwa waziri,anaweza kweli toka kwenye mkutano mkuu na kukimbilia kwenye media kutoa mapungufu ya ndani ya chama?Kweli anaweza mkosea heshima JK hadharani kwa kuanika udhaifu wa kamati yake JK?Weka tafakari
unachukuliaje suala la kundi la akina Nchimbi?Je ni watu ambao wanaweza kutoa siri za kamati kuu?Ni watu wa aina hiyo
He he..Waziri kumuogopa JK sasa hivi ni sawa na mtoto kumuogopa baba yake kwa hofu ya kutopewa hela ya kula wakati ameshamaliza shule na kupata kazi - JK ni obsolete, ameshakuwa kama Benjamin Mkapa tu sasa hivi - muda wa yeye kuweza kutoa favors umeisha kwa hivo hana tena lake jambo