Nesi mkunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 701
- 1,849
Hawa jamaa wa kataa ndoa wapo sahihi kabisa yaani jamani kwenye ndoa kuna mambo ya hovyo sna aisee asikuambie mtu kabisa kqwnye ndoa kuna mambo ya hovyokupitiliza bora wakati niko single ilikuwa poa sana
Nilihisi kwenye ndoa nitapata peace of mind yaaani ndiyo kwanza napata depression na stress kila kukicha aisee kiukweli nawapongeza watu ambao wapo kwenye ndoa kitambo! Hongereni sana
Nilihisi ningeoa msukuma\ wanyantuzu watakuwa tofauti na wanawake wengine kwanza ndiyo hovyo kabisa kudadeki yaani hapa nimefura kwa hasira balaa
Nilihisi ukiwa kwenye ndoa unapata game muda wowote ule aisee lakini wapi sex yenyewe mpaka mlazimishane tu ujinga mtupu, kupika mpaka tulazimishane kudadeki ujinga mtupu
Japo nimetoa mahari kubwa ila no way amani ni bora kuliko chochote kile namvutia kasi kwanza nikitimiza siku kadhaa nae nampiga chini bora niwe free mwenyewe idiot
" Kataa ndoa,ndoa ni utumwa na ndoa ni ujinga" hodi wazee wa kataa ndoa"
Nilihisi kwenye ndoa nitapata peace of mind yaaani ndiyo kwanza napata depression na stress kila kukicha aisee kiukweli nawapongeza watu ambao wapo kwenye ndoa kitambo! Hongereni sana
Nilihisi ningeoa msukuma\ wanyantuzu watakuwa tofauti na wanawake wengine kwanza ndiyo hovyo kabisa kudadeki yaani hapa nimefura kwa hasira balaa
Nilihisi ukiwa kwenye ndoa unapata game muda wowote ule aisee lakini wapi sex yenyewe mpaka mlazimishane tu ujinga mtupu, kupika mpaka tulazimishane kudadeki ujinga mtupu
Japo nimetoa mahari kubwa ila no way amani ni bora kuliko chochote kile namvutia kasi kwanza nikitimiza siku kadhaa nae nampiga chini bora niwe free mwenyewe idiot
" Kataa ndoa,ndoa ni utumwa na ndoa ni ujinga" hodi wazee wa kataa ndoa"