Kama ndoa zenyewe ndiyo hii wakuu aisee naungana na watu wa kataa ndoa,ndoa ni utumwa

Nesi mkunga

JF-Expert Member
Nov 28, 2022
701
1,849
Hawa jamaa wa kataa ndoa wapo sahihi kabisa yaani jamani kwenye ndoa kuna mambo ya hovyo sna aisee asikuambie mtu kabisa kqwnye ndoa kuna mambo ya hovyokupitiliza bora wakati niko single ilikuwa poa sana

Nilihisi kwenye ndoa nitapata peace of mind yaaani ndiyo kwanza napata depression na stress kila kukicha aisee kiukweli nawapongeza watu ambao wapo kwenye ndoa kitambo! Hongereni sana

Nilihisi ningeoa msukuma\ wanyantuzu watakuwa tofauti na wanawake wengine kwanza ndiyo hovyo kabisa kudadeki yaani hapa nimefura kwa hasira balaa

Nilihisi ukiwa kwenye ndoa unapata game muda wowote ule aisee lakini wapi sex yenyewe mpaka mlazimishane tu ujinga mtupu, kupika mpaka tulazimishane kudadeki ujinga mtupu

Japo nimetoa mahari kubwa ila no way amani ni bora kuliko chochote kile namvutia kasi kwanza nikitimiza siku kadhaa nae nampiga chini bora niwe free mwenyewe idiot

" Kataa ndoa,ndoa ni utumwa na ndoa ni ujinga" hodi wazee wa kataa ndoa"
 
Hawa jamaa wa kataa ndoa wapo sahihi kabisa yaani jamani kwenye ndoa kuna mambo ya hovyo sna aisee asikuambie mtu kabisa kqwnye ndoa kuna mambo ya hovyokupitiliza bora wakati niko single ilikuwa poa sana

Nilihisi kwenye ndoa nitapata peace of mind yaaani ndiyo kwanza napata depression na stress kila kukicha aisee kiukweli nawapongeza watu ambao wapo kwenye ndoa kitambo! Hongereni sana

Nilihisi ningeoa msukuma\ wanyantuzu watakuwa tofauti na wanawake wengine kwanza ndiyo hovyo kabisa kudadeki yaani hapa nimefura kwa hasira balaa

Nilihisi ukiwa kwenye ndoa unapata game muda wowote ule aisee lakini wapi sex yenyewe mpaka mlazimishane tu ujinga mtupu, kupika mpaka tulazimishane kudadeki ujinga mtupu

Japo nimetoa mahari kubwa ila no way amani ni bora kuliko chochote kile namvutia kasi kwanza nikitimiza siku kadhaa nae nampiga chini bora niwe free mwenyewe idiot

" Kataa ndoa,ndoa ni utumwa na ndoa ni ujinga" hodi wazee wa kataa ndoa"
Utoke uende wapi?
Huendi popote nakwambia...
Ukiweza kumuacha huyo mkeo natembea uchi from mwenge to kibaha.
 
Ukiona hivo,
Mwanamke ulie nae alikubali kuolewa na wewe kutoka na hoja nyingine ambazo kupitia wewe aliona atazipata kwa urahisi zaidi.

Hakukupenda wewe kama wewe. Kama angekua amekupenda wewe,hivo vitu vyote unavyomlazimisha kufanya angekua yeye ndo anakulazimsha akufanyie , Angela mani kkufanyia kila mara na si kila mara tu ni kila mara na kwa ustadi na ubora wa hali ya juu sana ili uendelee kumpenda pia usimchoke..
 
Back
Top Bottom