Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,379
Labda ndo mara ya kwanza kusifiwa..mana wengine unasifiwa mpaka unaona kama salamu!..shosty huyo analo!
kwa kweli, wanajazwa micfa ya kijinga bac wanaona ufalme wa mbingu ni wao...
Labda ndo mara ya kwanza kusifiwa..mana wengine unasifiwa mpaka unaona kama salamu!..shosty huyo analo!
SOUNDS LIKE HE... (Antie Sophy)
wala hujakosea,huyu ni Dume na anatuzuga tu hapa kuchangamsha jamvi.
Da Sophy
Member![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Join Date Wed May 2010![]()
Posts 19
Thanks 1 Thanked 2 Times in 2 PostsRep Power
kwa kweli, wanajazwa micfa ya kijinga bac wanaona ufalme wa mbingu ni wao...
mi nshampa promise.....I catch her she is mine!!!!!!!!!! upalestina lazima ufanye kazi siku hiyo!!!!
yaani knowingly unamganda mume wangu..........st****d idiot!!!
eti tunafanya kwa siri hatojua, tunatunziana heshima............
heshima ya kuniibia mume........my foot!!!
heeeee!! weeeee! acha hasira. kama hivo tu hujaibiwa, ukiibiwa si ndo itakuwa balaaaa!
nyie ndo mnavaaga bukta na panga la buchani eeh!!
heeeee!! weeeee! acha hasira. kama hivo tu hujaibiwa, ukiibiwa si ndo itakuwa balaaaa!
nyie ndo mnavaaga bukta na panga la buchani eeh!!
Na sikufichi namkamua kisawasawa. Yaani ni makamuzi ya kiukweli. Sigusi pesa yake, mie langu penzi tu. Yaani huyo mkewe angejua mumewe anamsemaga nini kwangu wakati ninapompa wallahi angewehuka, acha tu asijue. Na tumekubaliana kutunziana heshima, kwa hiyo suala la kujulikana ni hakuna. Kama ni wewe dada bht uwe na amani tu dear, hutojua kamwe.
He! hebu subiri:
[SIZE=3[SIZE=4]]Samahani dada/kaka[/SIZE] Da Sophy naomba kukuliza kitu kimoja:[/SIZE]
Wewe ni he/she?
Kama ni he, huyo basha mme wa mwanamke alikupatia kwenye danguro gani?
Kama ni She huyo mume wa mwanamke mwenzio alikupatia mitaa ipi? Jolly Club au Ohio Street?
Sikuombi samahani kwa kuwa nina uhakika sijakukwaza.
Hivi kama mimi natoka na mumeo lakini tumehakikisha hujui wala hatukuvunjii heshima, simchuni wala nini ni kwamba tunapendana ni vile dini ya kikristo hairuhusu wake 2 sasa wewe unamchunguza wa nini?
Jamani.. Da Sophy kaleta hii sredi mbele yenu mumshauri afanyeje na yeye katongozwa na mume wa mtu.. Kwanza nakupa BIG UP kwa kusema kweli yote. Unachotaka wewe ni kuhalalisha mume wa mwenzio awe wenu huku wewe na huyo mwanamme hamumvunjii heshima mai wife wake. Sio rahisi huyo mwenye mume kukaa kimya akiona tabia ya mai hazband wake imebadilika. Muhimu Da Sophy achana na huyo mume.. Mungu atakusaidia, utampata wako.
Da Sophy anadanganyika huyo mwanamme anataka kumtumia
kama alikuwa anampenda kweli asingeharibu maisha yake
kwanza ni mkristo ndoa ya mke mmoja hawezi kuongeza mke mwingine kwa hiyo Da Sophy ndio mapozeo mwisho wa siku jamaa atarudi kwa mke wake na kutulia ..kwa sasa naona anahangaika tu
Tatizo nina hangover kamanda. Sasa hangover ikichanganyika na maupupu ya vimeo kama hivi inakuwa balaa.heheh kamanda naona antenna imechanganya channels hapo juu. ZIMUA KIDOGO.
Wanachunguza kwa sababu mambo unayomfanyia ukiwa naye anakuwa hana hamu tena ya kunanihii akirudi nyumbani. Mara unampa tigo na mapenzi mengine tofauti ambayo nyumbani labda hatapati akirudi huko hataki hata kumgusa mkewe na hivyo kuweka distance kati yake na mkewe na kuweza kusababisha hata kuachana. Pia haijulikani unatoka na waume za watu wangapi hivyo unaweza kabisa kuwa ni msambazaji wa ukimwi hivyo kuchunguza inasaidia pia katika kujikinga na mawayawaya.