Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 1,695
- 5,469
Hawa jamaa huwa wanaijihisi kuwa wao ndio wanajua kumuabudu Mungu kuliko wengine, Mungu muumba wa dunia aliona mbali sana, kuwanyima mamlaka hawa jamaa.
Licha ya wengi wo kuisoma dini vilivyo, ila hekima miongoni mwao ni sifuri kabisa.
Wakiwa kwenye hii funga yao basi watatangaza dunia nzima, sisi tumefunga, hivyo wengine hawana haki ya kula mbele yetu. Inafikirisha
Kumbe mmefunga nje tu, na siyo ndani (Nafsi)pale muonapo mtu anakula mate yanawajaa.
Licha ya wengi wo kuisoma dini vilivyo, ila hekima miongoni mwao ni sifuri kabisa.
Wakiwa kwenye hii funga yao basi watatangaza dunia nzima, sisi tumefunga, hivyo wengine hawana haki ya kula mbele yetu. Inafikirisha
Kumbe mmefunga nje tu, na siyo ndani (Nafsi)pale muonapo mtu anakula mate yanawajaa.