RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 59,505
- 135,529
Hahahaa sio utani ati
duh wewe unaweza kunipiga vibuti mara 32??!! halafu ya 33 unakubali.....sasa nini kimekubadili mawazo au mimi nakuwa nimebadilika nini??
Hahahaa sio utani ati
Pole sana. Hupendi kukatwa jina
Yes...wewe ndo mwanaume wa ukweli. Ulitukanwa,ukakomaa na hata alipokubali kukupokea ulisahau matusi yote. Mapenzi ya kweli ndo haya
kuna tangazo la coca cola kwenye bango linasema hivi 'NIMEMTOKEA MARA 32 KABLA HAJANIKUBALI....NAJIAMINI'!!!!!!!! seriously,mara 32???!!!!!!
Manina zako kakojoe ulale....
Hebu subiri kwanza....una miaka mingapi?
Kuna mdada ana jina hapa bongo, na humu jf amebahatika kupata coverage japo za scandals zake, alinipita kidato kimoja back then O level.
Kipindi hicho yupo on fire, alileta hizi hizi mambo za kujibu watu maneno ya shombo, kilichomkuta! Naogopa kuweka hapa, maana last week kazungumzwa humu kwa makshkash yake hapa town!
Haipendezi ila na wakaka nao wawe wepesi kusoma majira. Sio mtu anakomaaalia mpaka iwe kero... Ukishaona mazingira hayakubali we jisepeshe tu sio mpaka yakufike...
duh wewe unaweza kunipiga vibuti mara 32??!! halafu ya 33 unakubali.....sasa nini kimekubadili mawazo au mimi nakuwa nimebadilika nini??
Hapa najifunza kitu kwamba hakuna mwanamke anayeweza kukukata milele .Ni bidii yako tu kuimbisha.
Halafu si kwenye vitabu vitakatifu walisema"omba utapewa, bisha utafunguliwa na tafuta utapata"
Tatizo watu hawazingatii hayo maana maandiko yaani hawana mizizi ya uvumilivu na kutaka kitu bila kukata tamaa.
Naanza mchakato chanya hapa field JF .
Mmoja nilikuwa naye, nimemaintain sana ila ilikuwa kazi kwa kweli,kila mara naonekana mbabe,siambiliki,sijali na vingine vinavyofanana na hivi....wakati mtu anakuambia humjali ni kwamba hana kazi na anaishi kwa hisani yako...niaamua kujiuzulu baada ya kuambiwa kuwa nina 'mchumba' maisha yakaendelea...
Ni miaka almost nane sasa tokea nijivue gamba,mchumba kampa ujauzito kisha kabadili namba za simu,dada wa watu alichukua mkopo wa kulea mtoto na soon watakuja kumchukulia vitu vyake vya ndani kwa kuwa mkopo haulipiki tena!
Jana nimepigiwa simu...kumbe namba yangu hakuwa amefuta...
Majanga,smtms tunazuzukaga na vitu vya ajabu sana. Mpaka uje uone umuhimu wa huyo unaemuona wanini muda unakua umeenda na hapo majuto ndio hua mjukuu... Ni vema tujifunze kufurahia hivi tulivyonavyo kabla hatujavipoteza
Aaah nilitaka nijifanye aunt sadaka kumbe sikuwa nimesoma vizuri hapo mwishoni. "Huwa unatongoza kuiridhisha nafsi tu basi".Mi nkikuona nakutongoza hapohapo...................ukinikataa nafuta namba hapohapo na kumshukuru mungu bora umenikataa coz gharama za kunikubalia na mihangaiko ya kuanza kutafutana kwenye masimu, kupigana mizinga, mawazo ya option za kutumia ndom au kutotumia n.k yote hayo nakuwa nimeyaepuka. N.B Huwa natongoza kuiridhisha tu nafsi basi.
Na wewe pia umesikia
noma sana..............aaah nilitaka nijifanye aunt sadaka kumbe sikuwa nimesoma vizuri hapo mwishoni. "huwa unatongoza kuiridhisha nafsi tu basi".
Mmh sipati picha mtu una kimuhe muhe cha kuwa na new beau na full kujipa matumaini kuwa yeees nimepata... Kumbe mwenzako anapiga trial and error aisee
Dawa ni " Massive Success ". Iko siku ataji mix anga zako tu, unafanya kweli.