Kama mtu humpendi mkatae kistaarabu tu

Kama mtu humpendi mkatae kistaarabu tu

Huwa tunakomaa hata kama tukikataliwa ili kuepuka kuwekwa kwenye list ya waliokataliwa!muda mwingine mkikaa kwenye vikao vyenu huwa kuna ile ya:yule alishanitongoza nikamkataa,yule nae hivyohivyo!kwenye hiyo list ndo wengi hawataki kuwekwa!ndo maana muda mwingine wanaamua kuwa ving'ang'anizi na mwisho wa siku wafanya kama walivyomfanya huyo mdada wa kwenye muvi yako!

Kwani ni lazima ukubaliwe na kila unayemtongoza?
 
Mim bila kutukanwa sikuachi ng'oo.. Na ukinitukana ndo nazidisha hasira mpaka nile papuchi...
Hata kama miaka kumi itapita ila papuchi lazima niilambe tu..

Sema hakyamungu
 
Hyo move nimeiona matokeo yake alimkubal rafk wa alie mpa mimba ambae hapo awali nae almtongozaga kw nyakat tofaut bla kukubaliwa
baada y jamaa kukaa miaka 2 kurejea anamkuta rafk kashk namba ndio mwanzo wa kuomb msamaha bila mafanikio mwisho akaua rafik yake na mwanae wa damu na kwenda kufia jela.

Maniner zake lilitiaje huruma sasa lilivyorudi...
 
Sio lazima kumla.
Ukishafikia hizo levels mu-ignore tu.
Atajisikia vibaya zaidi ya kumlala.
Manake wengine fantasy zao ni kulala na wanaume waliotoboa.

U said it all brother. At tyms moyo unapata amani na kutulia pale unapomuona mtu aliyekusababishia majeraha moyoni anaonja joto ya jiwe. Kuna wanawake dharau sanaa.

Nkikumbuka my case high school Bro acha tu. At tyms i wonder nliweza vp kupendana na huyo mtoto.
 
Basi kuna huyu mdada alikuwa anasoma chuo cha ualimu mi nikawa namuona ila nakosa muda wa kuongea nae nampita tu na hanijui hata kidogo. Ana vigezo vyangu vyote!!

Nikafight sana nikapata namba yake, nilipopiga nilitukanwa mitusi hiyo hadi nikafreeze kama chakula barafu.. akili ndogo iliyobaki niliitumia kumuomba tuonane kesho yake chuoni kwao

Sasa cha ajabu tulipoonana alikuwa mstaarabu kama sio yeye hadi nikashangaa japo alikuja na mwenzie ila mambo yalikuwa poa sana. Ni miaka kama minne imepita ila hadi leo tunawasiliana, dini tu ndio ilifanya aolewe kwingine. Kitu kibaya bado anapenda kutoroka kwa mmewe kuja kwangu bila taarifa maana anajua siwezi kukubali.

Yaani wanawake wote sie unakula mke wa mwenzio? Shame on u
 
Thank you dear for the lesson.. Binafsi nilishuhudia Mdada akimuambia Mkaka Kuwa hawezi kumuoa kwa Elimu aliyo nayo ( kumbuka huyo Dada back then hata Degree alikuwa hana ndio ata graduate this year. Mkaka right now ana Masters yake amemoved on with his life .) . Kwa kaka Wa watu alimpenda hakuchoka still he was nothing to her. Always mdada anajigamba kwa watu kuwa anataka mwanamme aliyemaliza College Fulani ambayo ni maarufu sana . Now look how it ends anajuta kwa kumkataa yule mkaka .. Kwa maana she will be almost 40 hajapata mahusiano yaliyo na msimamo maalum. Anyway for some women we have a lot things to work on and change our bad attitudes .. Dear well done .. and thank you for this thread.. Thanks...

Daah pole yake huyo mdada....sisi wadada muda mwingine tuna matatizo sana....kama una sababu za kumkataa mtu zipime zina athari gani kwa mlengwa iwapo atazisikia, ukiona hazifai bora ukabaki nazo moyoni tu
 
Mada nzuri sana.nga'ngania HD kieleweke,inzi kufa kidondani sio ufala atiii
 
Kuna mdada ana jina hapa bongo, na humu jf amebahatika kupata coverage japo za scandals zake, alinipita kidato kimoja back then O level.

Kipindi hicho yupo on fire, alileta hizi hizi mambo za kujibu watu maneno ya shombo, kilichomkuta! Naogopa kuweka hapa, maana last week kazungumzwa humu kwa makshkash yake hapa town!
 
Mie naonaga ni ushamba tu maana sionagi sababu yakumtukana mtu kisa kutongozwa ila pia wakaka mkikataliwa muwe mnawaacha waliowakataa na mtafute wengineo msiwe ving'ang'anizi sana
 
Jaman hebu tuache ushabiki mademu wa siku hizi pesa yan ukiwa na pesa waaaaala hautohangaika mi nimeshuhudia madem wengi sana wakivuliwa pichu na masela kisa pesa, me wacha tu niwaburuze wananichuna pesa me nawachuna ngozi, ngoma drooo
 
Khantwe

A clear rejection is always better than a fake promise.
 
Last edited by a moderator:
Mie naonaga ni ushamba tu maana sionagi sababu yakumtukana mtu kisa kutongozwa ila pia wakaka mkikataliwa muwe mnawaacha waliowakataa na mtafute wengineo msiwe ving'ang'anizi sana

kuna tangazo la coca cola kwenye bango linasema hivi 'NIMEMTOKEA MARA 32 KABLA HAJANIKUBALI....NAJIAMINI'!!!!!!!! seriously,mara 32???!!!!!!
 
Mi nkikuona nakutongoza hapohapo...................ukinikataa nafuta namba hapohapo na kumshukuru mungu bora umenikataa coz gharama za kunikubalia na mihangaiko ya kuanza kutafutana kwenye masimu, kupigana mizinga, mawazo ya option za kutumia ndom au kutotumia n.k yote hayo nakuwa nimeyaepuka. N.B Huwa natongoza kuiridhisha tu nafsi basi.

Daah...mwanangu we we ndo km Mimi nilidhan labda mi no dhaifu
 
Maninaaa yan unitukane afu me nikuache weeeee, na me nakushushia mitusi million wanawake kibao m1 akizingua lala mbele kwanza sisi wanaume ndo tunatakiwa tulinge maana tupo wachache menyewe yapo mengiiiii afu yanalinga kugongwa nyambafu mi kuna kidada kilinichomolea zaman afu xa hv kina taka mara" oooh njoo kwetu nipo peke yang naogopa kulala peke yangu nisamehe kwa yale niliyokujibu kipindi kile utoto ulikua unanisumbua tugange yajayo," nyambafu ngoja nigange yajayo na wenzako wanaojua thaman yetu wanaume"


WANAUME OYEEEEEEEEEE...........

OYEEEEEE...Umenifurahisha sana
 
kuna binti mmoja niko namfukuzia tangu 2012, she's kind of church girl kashanitosa kama mara milioni hivi,
nikimpotezea ananitafuta, macho yake huwa kama ananiita, huko wassup ndio full kufuatilia last seen, nashindwa kumuelewa kama hanitaki bora kila mtu afanye yake, mwisho wake ndio wanakuja kudhalilishwa!

Anakupenda ila uongeze nyama kwenye tongozo lako lol
 
Wajameniiii mbona hii kitu inanihusu,! Mademu akili zao fupi sana sijui yakoje hasa wale wa hapa Dsm, me kilinikatalia katakata eti siendani na ww, nkasema haina nomaaaa, siku 1 nikapita na DISCOVER new model kikaniona, nikashangaa mida ya night eti "hi" kwanza namba yake nilishaifutaga ila nilikua naijua tu imeishia 13, mwenyewe akajiingiza nikatandika tena kwa hasira, sa hv zamu yangu kumjibu majibu aliyokuwa ananijibu na sijawahi kumpa hata senti.Sijui yakoje.
Hahaaa pole mkuu ila mbona unateseka...mchukue tu
 
Back
Top Bottom