Gwamahala
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 3,925
- 2,328
Ntakutumia screenshot usijali
Utashangaa ndiyo yeye aliyekukataa...!!!
Ntakutumia screenshot usijali
My case sounds a lot familiar issue is ilikua high school hapa hapa dar....i was chasing ths chick for like 3 years...that was when love and crashes wer at its peak...
Dem alintosa, kashan dhalilisha sanaa, dharau, majibu ya ovyo sumtyms mbele za watu, alikua na crew lake rafiki zake walikua ma pashkuna balaa... I loved tha chick so badly...nimelia sanaa mwenyewe maghetoni....one day i said to my self " f*ck ths shit ".
Tumemaliza high school tukingoja taratibu za kuingia ma chuo....i remember nlifight sanaa nimvue chup.i yule mtoto...siku kama zali akakubali kutoa game baada ya ku insist sanaa.....ile tumebaki kama tulivyo zaliwa....nikamwambia " yan kuringa kote huko ni huu uozo unataka kunipa ?? K*ma yenyewe inanuka kaa choo ( nikitema mate kwa kinyaa pembeni ) ". Sikumla wala nn...nikavaa nguo zangu alaf huyo nikajikataa.
Bwana weee.....yule mwanamke ikawa ni kilio kila siku.....kila akiniona hana amani na raha kabisa...she was extremely cute nd fine. Yule mtoto ikafika kipindi nikawa nakula kama nimemtolea mahari....as we speak mpaka leo wern't close kama zamani but nikiomba mchezo milele yote hachomoi.
Wewe si MSTAARABU.
Tusi kitu gani, kwani linajiandika usoni!? sifa ya mwanaume ni uvumilivu hadi kupata atakacho
Ilifika kipindi tukawa distant for almost 3 years nd sumthing, well ipo challenge....
dah au ndo yale mambo ya uwanja wa mazoezi tu unapita tu pale , yani sisi tuna kazi kweli
du kuna mmoja alinijibu dry nilimalizaga week nakumbuka na of course nilikua namchekea kumbe ninakinyongo nae balaa! can u imagine mtu ananiambia umetongoza huko umekataliwa sasa umeona uje kwangu, mm ndio wa kuchukua sura za hivyo! du hii post imenilenga
Haipendezi ila na wakaka nao wawe wepesi kusoma majira. Sio mtu anakomaaalia mpaka iwe kero... Ukishaona mazingira hayakubali we jisepeshe tu sio mpaka yakufike...
Basi kuna huyu mdada alikuwa anasoma chuo cha ualimu mi nikawa namuona ila nakosa muda wa kuongea nae nampita tu na hanijui hata kidogo. Ana vigezo vyangu vyote!!
Nikafight sana nikapata namba yake, nilipopiga nilitukanwa mitusi hiyo hadi nikafreeze kama chakula barafu.. akili ndogo iliyobaki niliitumia kumuomba tuonane kesho yake chuoni kwao
Sasa cha ajabu tulipoonana alikuwa mstaarabu kama sio yeye hadi nikashangaa japo alikuja na mwenzie ila mambo yalikuwa poa sana. Ni miaka kama minne imepita ila hadi leo tunawasiliana, dini tu ndio ilifanya aolewe kwingine. Kitu kibaya bado anapenda kutoroka kwa mmewe kuja kwangu bila taarifa maana anajua siwezi kukubali.
Maninaaa yan unitukane afu me nikuache weeeee, na me nakushushia mitusi million wanawake kibao m1 akizingua lala mbele kwanza sisi wanaume ndo tunatakiwa tulinge maana tupo wachache menyewe yapo mengiiiii afu yanalinga kugongwa nyambafu mi kuna kidada kilinichomolea zaman afu xa hv kina taka mara" oooh njoo kwetu nipo peke yang naogopa kulala peke yangu nisamehe kwa yale niliyokujibu kipindi kile utoto ulikua unanisumbua tugange yajayo," nyambafu ngoja nigange yajayo na wenzako wanaojua thaman yetu wanaume"
WANAUME OYEEEEEEEEEE...........
Dawa ni " Massive Success ". Iko siku ataji mix anga zako tu, unafanya kweli.