Kama mtu humpendi mkatae kistaarabu tu

Kama mtu humpendi mkatae kistaarabu tu

Hakuna kitu kinachonichukiza km dharau za hawa wadada ukimfuata anajiona yeye km malkia vile na neno nakupenda km tusi kwao wanaboa sana.
 
Teh teh..Ila hautaona jipya..mana ni kitu unachokifanyaga hata ww
Mmh Sidhani kwa kweli, sijawahi kumkataa mtu hadi akafurahi. Yani ukataliwe afu still ufurahi, au hukumpenda huyo mdada?
 
Haipendezi ila na wakaka nao wawe wepesi kusoma majira. Sio mtu anakomaaalia mpaka iwe kero... Ukishaona mazingira hayakubali we jisepeshe tu sio mpaka yakufike...

kwa kuyasoma majira inaonyesha hata mimi ushanikatalia ombi langu
 
Mmh Sidhani kwa kweli, sijawahi kumkataa mtu hadi akafurahi. Yani ukataliwe afu still ufurahi, au hukumpenda huyo mdada?

Nilimpenda..tena nilirundika mi-feelings mpaka ikafika 100% ndo nikamfwata..angetoa mitusi ningezirahi..ustaraabu wake ndo uliniokoa
 
Wale ving'ang'anizi ndio matusi yanawakuta....

Mwanaume mwaka mzima unakataliwa kistaarabu aachi

Anafokewa hakomi

Mwisho anatukanwa

Tusi kitu gani, kwani linajiandika usoni!? sifa ya mwanaume ni uvumilivu hadi kupata atakacho
 
Mmh Sidhani kwa kweli, sijawahi kumkataa mtu hadi akafurahi. Yani ukataliwe afu still ufurahi, au hukumpenda huyo mdada?

Hapana unakataliwa kistaarabu, unapewa sababu nzuri na options pia, mnaendelea kuwa marafiki.
 
kuna binti mmoja niko namfukuzia tangu 2012, she's kind of church girl kashanitosa kama mara milioni hivi,
nikimpotezea ananitafuta, macho yake huwa kama ananiita, huko wassup ndio full kufuatilia last seen, nashindwa kumuelewa kama hanitaki bora kila mtu afanye yake, mwisho wake ndio wanakuja kudhalilishwa!

umevaa viatu vyangu mkuu,yanayonisibu nihayahaya
 
Ukimpenda sana mtu....at tyms swagger zinapotea nd pia unaweza jikuta una muogopa flan hvi huyo mlengwa mwenyewe. Tha day i officially slept wit her i remember telling her

" You are the best thing that has ever happened in my life. I don't wanna loose u ever again "

Since then akatokea kunipenda balaa despite of what i did to her previously. Love can be very strange at tyms.

dah kwa hiyo unajilia tu

mfunge ndoa sasa yani kila siku unamsaula , yeye kichwani mwake anajua wee ndo wake ndo maana hakunyimi mzigo

funga nae ndoa mdada wa watu asije jinyonga bure
 
Tusi kitu gani, kwani linajiandika usoni!? sifa ya mwanaume ni uvumilivu hadi kupata atakacho

Sasa avumilie kupewa za uso
Maana wanaume wengine wanajifanya No means Yes.....

Wakitukanwa wanalia kudharauliwa

Wapigwe tu
 
dah kwa hiyo unajilia tu

mfunge ndoa sasa yani kila siku unamsaula , yeye kichwani mwake anajua wee ndo wake ndo maana hakunyimi mzigo

funga nae ndoa mdada wa watu asije jinyonga bure

Ilifika kipindi tukawa distant for almost 3 years nd sumthing, well ipo challenge....
 
Wajameniiii mbona hii kitu inanihusu,! Mademu akili zao fupi sana sijui yakoje hasa wale wa hapa Dsm, me kilinikatalia katakata eti siendani na ww, nkasema haina nomaaaa, siku 1 nikapita na DISCOVER new model kikaniona, nikashangaa mida ya night eti "hi" kwanza namba yake nilishaifutaga ila nilikua naijua tu imeishia 13, mwenyewe akajiingiza nikatandika tena kwa hasira, sa hv zamu yangu kumjibu majibu aliyokuwa ananijibu na sijawahi kumpa hata senti.Sijui yakoje.
 
My case sounds a lot familiar issue is ilikua high school hapa hapa dar....i was chasing ths chick for like 3 years...that was when love and crashes wer at its peak...

Dem alintosa, kashan dhalilisha sanaa, dharau, majibu ya ovyo sumtyms mbele za watu, alikua na crew lake rafiki zake walikua ma pashkuna balaa... I loved tha chick so badly...nimelia sanaa mwenyewe maghetoni....one day i said to my self " f*ck ths shit ".

Tumemaliza high school tukingoja taratibu za kuingia ma chuo....i remember nlifight sanaa nimvue chup.i yule mtoto...siku kama zali akakubali kutoa game baada ya ku insist sanaa.....ile tumebaki kama tulivyo zaliwa....nikamwambia " yan kuringa kote huko ni huu uozo unataka kunipa ?? K*ma yenyewe inanuka kaa choo ( nikitema mate kwa kinyaa pembeni ) ". Sikumla wala nn...nikavaa nguo zangu alaf huyo nikajikataa.

Bwana weee.....yule mwanamke ikawa ni kilio kila siku.....kila akiniona hana amani na raha kabisa...she was extremely cute nd fine. Yule mtoto ikafika kipindi nikawa nakula kama nimemtolea mahari....as we speak mpaka leo wern't close kama zamani but nikiomba mchezo milele yote hachomoi.
Hii pia ilishatokea IRINGA,zamani sana....karibu miaka 30 ilopita.
 
Mi nkikuona nakutongoza hapohapo...................ukinikataa nafuta namba hapohapo na kumshukuru mungu bora umenikataa coz gharama za kunikubalia na mihangaiko ya kuanza kutafutana kwenye masimu, kupigana mizinga, mawazo ya option za kutumia ndom au kutotumia n.k yote hayo nakuwa nimeyaepuka. N.B Huwa natongoza kuiridhisha tu nafsi basi.
 
Back
Top Bottom