Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 61,175
- 124,807
- Thread starter
- #101
Kuna watu ni ving'ang'anizi asikuambie mtu, utatumia lugha zote za kistaarabu mpaka zinaisha, bado yumo tu, utaamua kutumia vitendo ila yumo tu, na wengine kwa kujidharau wao wenyewe anaanza kuongea maneno ya shobo(maneno ya mkosaji) so sometime unajikuta tu limekutoka bila kutarajia kero inapozidi.
Hahaaa....lakini ndo hivyo mwisho wa mechi ndo utaamua nani mshindi