Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 10,129
- 35,153
Kumekuwa ni mtizamo tofauti kuhusu mavazi hususani kwa wanawake katika jamii zinazoamini katika Mungu, mahususi kwa waamini wa kikristo. Moja ya mtizamo unaokuwa kwa kasi ni wanawake kutaka kuvaa mitindo yoyote ya mavazi pasipo kuzingatia staha na heshima kwa hoja kuwa Mungu haangalia mavazi bali anaangalia moyo tu!
Sasa katika kuipinga hoja hiyo, nimeuliza hili swali, kama Mungu anaangalia moyo tu na hana muda wala sababu ya kuangalia namna ulivyovaa kama kunakusitiri, kunamrudishia utukufu na kumjengea heshima, kwanini watetezi wa hiyo hoja wasije na uhalali wa kutetea kutembea uchi tu, maana wanadai Mungu hana muda na kuvaa kwao bali mioyo yao?
Kwanini watetezi wa kuvaa chochote hawataki kuweka msisitizo wa watu kutembea uchi?
Okay basi, wavae hata chupi tu na watembee barabarani, waingie kwenye nyumba za ibada nk.
NOTE:
Mungu alitupa akili, hekima na busara ili tuweze kuzitumia katika kuishi kwetu na mwisho tumrudishie utukufu yeye.
Sasa katika kuipinga hoja hiyo, nimeuliza hili swali, kama Mungu anaangalia moyo tu na hana muda wala sababu ya kuangalia namna ulivyovaa kama kunakusitiri, kunamrudishia utukufu na kumjengea heshima, kwanini watetezi wa hiyo hoja wasije na uhalali wa kutetea kutembea uchi tu, maana wanadai Mungu hana muda na kuvaa kwao bali mioyo yao?
Kwanini watetezi wa kuvaa chochote hawataki kuweka msisitizo wa watu kutembea uchi?
Okay basi, wavae hata chupi tu na watembee barabarani, waingie kwenye nyumba za ibada nk.
NOTE:
Mungu alitupa akili, hekima na busara ili tuweze kuzitumia katika kuishi kwetu na mwisho tumrudishie utukufu yeye.