Kama kasi ya Mwamposa ikiendelea hivi, kuna hatari waislam wote jijini Dar wakabatizwa

Kama unaamini adamu na hawa waliubwa na wala hawakutokana na mapenzi kama tunavyozaliwa sasa..inakua vipi ngumu kwako kuamini bikra alipata ujauzito kwa uwezo wa roho mtakatifu.?

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Sijapinga kama mwanamke bikra kupata mimba, mwanamke anaweza kupata mimba bila ya kuingiliwa na mwanamme..

Mungu anaweza kufanya chochote anachotaka, lakini unaposema Yesu ni mtoto wa Mungu,, hilo nitalipinga sana
 
Kuna tofauti kati ya muumini na muislamu! Hao wote ni mbwa tu kwahiyo wanamfuata mbwa mwenzao
Kama huu ndio uislamu wa kuita mbwa binadamu wenzio, naungana kabisa na hao wanao ikimbia imani hii ya kiislam.
 
Kwa wanafata dini kiislam Muhamad no binadamu kwa binadamu mwengine, isipokuwa yeye kapewa uwezo na Allah.

Wanaofata dini ya Yesu wao wanaona Yesu ni Mungu ijapokuwa Yesu mwenyewe kazipinga hizi shutuma....

Kwa waislam Yesu/Isa/Iso/Joshua/Jesus/Yasu ni Mtume wa Allah kama Mitume mwingine, miujiza yote aliofanya Joshua kapewa uwezo na Mungu..

Yesu hana vigezo vya kuwa Mungu
Muhammad kwa waislamu sio mtu wa kawaida ndio maana hata akichorwa katuni mnavaa mabomu na kujilipua.

Yesu Kristo ni Mungu aliyehai. Acha kufuata korani inayoleta blah blah miaka mia sita baada ya biblia kuwepo.

Mnapenda sana kusema Issa ndio Yesu ili kumpa umaarufu jamaa yenu. Leta hapa ushahidi kwamba huyo issa alipata kuishi Israel.
 
Muhammad kwa waislamu sio mtu wa kawaida ndio maana hata akichorwa katuni mnavaa mabomu na kujilipua.

Yesu Kristo ni Mungu aliyehai. Acha kufuata korani inayoleta blah blah miaka mia sita baada ya biblia kuwepo.

Mnapenda sana kusema Issa ndio Yesu ili kumpa umaarufu jamaa yenu. Leta hapa ushahidi kwamba huyo issa alipata kuishi Israel.
Ni Kweli Muhammad kwa Waislam sio mtu wa kawaida kwani yeye ni binadamu alipewa uwezo wa Mungu tafauti na Binaadamu wengine..

Huyu mnaemwita Yesu ni Myahudi aliezaliwa kwa jina la Joshua, Warabu wanamwita Isa, Wayahudi wanamwita Iso, Warumi walimwita Jesus, Wagiriki walimwita Jasu, Waswahili mmeiga jina waliomwita Wagiriki na kumwita Yesu ..

Waislamu hawataki Mtume wao achorwe ili kuepukana na yale yaliyonikuta Yesu,

Yesu ana sura zaidi ya moja kila Kanisa lina picha tafauti ya Yesu... Yesu blue eyes, Yesu Blondie,.. nk

Uwelewa wako mdogo ndio unao kufanya uandike ulichoandika.

Hamna kitu kinachoitwa Mungu aliehai, Yesu kafa miaka mingi iliyopita, sasa tuseme Dunia inaongozwa nani hivi sasa?..

Tafakari
 
Kama hilo nyomi la wamama wa kiislam na waume zao tunaliona kwenye TV yake ni la kweli, basi baada ya miaka 5 Dar itakuwa na wakristo tupu.
ebu nianze mdogomdogo kaproject ka kufuga ile mboga🐖 pendwa,kuna rizki ipo mbele baada ya miaka mi5! mwenye vitoto tuwasiliane.
 
  • Kicheko
Reactions: G4N
Ni Kweli Muhammad kwa Waislam sio mtu wa kawaida kwani yeye ni binadamu alipewa uwezo wa Mungu tafauti na Binaadamu wengine
Alipewa uwezo na vatican. Kuna uzi humu unaonesha manuscripts za quran zilizopo birmingham ziliandikwa kabla ya muhamed.
Huyu mnaemwita Yesu ni Myahudi aliezaliwa kwa jina la Joshua, Warabu wanamwita Isa, Wayahudi wanamwita Iso, Warumi walimwita Jesus, Wagiriki walimwita Jasu, Waswahili mmeiga jina waliomwita Wagiriki na kumwita Yesu ..
Wayahudi wanamwita Yesu Yeshua, acha uongo dogo. Hata waarabu ambao ni wakristo wanamuita Yasu. Acha kuandika upuuzi. Ukienda Israel kwenye historia utaona aliandikwa nje ya yaliyoandikwa kwenye biblia.

Sasa leta hapa ushahidi kama Isa ni kitu gani maana wayahudi watakupa maandishi ya flavius josephus kuthibitisha Yeshua wa Nazareth aliwahi kuishi kwao.
Waislamu hawataki Mtume wao achorwe ili kuepukana na yale yaliyonikuta Yesu,
Yesu hajapatwa na jambo lolote. Hao wakatoliki na hizo image ni tatizo lao binafsi na haliwahusu wakristo wote. Ile filamu ni nzuri na kila mwenye akili anajua yule ni muigizaji tu.

Hoja hapa ilikuwa ni kwanini waislam wafanye fujo na kujilipua kisa muhamed kachorwa? Kwanini mungu wa mohamed asimtetee nabii wake mpaka watu ndio wamtetee. Hamna tofauti na wahindi wanaobeba miungu yao mikononi.
Hamna kitu kinachoitwa Mungu aliehai, Yesu kafa miaka mingi iliyopita, sasa tuseme Dunia inaongozwa nani hivi sasa?.
Wewe hata quran yenyewe huisomi unakurupuka tu. Huyo isa mnayelazimisha awe ndio Yesu huko kwenye quran hakusulubishwa wala hakufa maana allah alimuiba na kuweka mtu mwingine anayefanana exactly kama isa.😂😂 Halafu allah bado analaumu kwanini waliamini kama yule ni isa wakati alikuwa exactly kama yeye.

Halafu wewe ni bogus na empty headed. Yesu Kristo alipotoka katika ule mwili haku cease to exist. Mungu ni Roho kwahiyo anatawala katika ulimwengu wa roho. Hahitaji mwili ili awe na uhai. Waislam mpo mwilini sana na kila kitu kwenu kinaishia mwilini. No wonder mtakuwa mnafanya ngono mpaka ahera.🤣 Na mungu wenu allah anao mguu mmoja.😅
 
Sijapinga kama mwanamke bikra kupata mimba, mwanamke anaweza kupata mimba bila ya kuingiliwa na mwanamme..

Mungu anaweza kufanya chochote anachotaka, lakini unaposema Yesu ni mtoto wa Mungu,, hilo nitalipinga sana
Kama hukuwai kusoma injili huna nafasi ya kulipinga ilo mana vitabu vyote vya agano jipya vimeliweka wazi hilo...acha maneno ya kuambiwa kasome injili iko wazi sana.

Hayo mambo wakristo hawajajitungia tu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Amin kwamba mzee wewe hata nini kitokee muislam awezi kana iman yake
Endelea kujipa moyo na matumaini..watu kila siku tunawavulisha hijabu na kobazi..na kukiri kuwa Yesu ni bwana wa maisha yai..bado wewe mapepo na majini yamekutesa na kukufunga.

Hakuna kufika peponi bila Kristo Yesu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kama hukuwai kusoma injili huna nafasi ya kulipinga ilo mana vitabu vyote vya agano jipya vimeliweka wazi hilo...acha maneno ya kuambiwa kasome injili iko wazi sana.

Hayo mambo wakristo hawajajitungia tu.

#MaendeleoHayanaChama
Kwanza unatakiwa ujue kuwa Biblia na Injili ni vitabu viwili tafauti..

Injili ni mafundisho ya Yesu aka Yasu aka Isa, hata Waislam wanayakubali mafundisho hayo

Biblia imeandikwa na watu zaidi ya arubaini, Paulo akiwa ameandika asilimia 40% ya Biblia...

Cheo cha Yesu kuwa ni Mungu kiliamulia Rome katika mkutano wa Mapdre katika mji Nicea(the council Nicea) mwaka wa 325AD..
 
Alipewa uwezo na vatican. Kuna uzi humu unaonesha manuscripts za quran zilizopo birmingham ziliandikwa kabla ya muhamed.

Wayahudi wanamwita Yesu Yeshua, acha uongo dogo. Hata waarabu ambao ni wakristo wanamuita Yasu. Acha kuandika upuuzi. Ukienda Israel kwenye historia utaona aliandikwa nje ya yaliyoandikwa kwenye biblia.

Sasa leta hapa ushahidi kama Isa ni kitu gani maana wayahudi watakupa maandishi ya flavius josephus kuthibitisha Yeshua wa Nazareth aliwahi kuishi kwao.

Yesu hajapatwa na jambo lolote. Hao wakatoliki na hizo image ni tatizo lao binafsi na haliwahusu wakristo wote. Ile filamu ni nzuri na kila mwenye akili anajua yule ni muigizaji tu.

Hoja hapa ilikuwa ni kwanini waislam wafanye fujo na kujilipua kisa muhamed kachorwa? Kwanini mungu wa mohamed asimtetee nabii wake mpaka watu ndio wamtetee. Hamna tofauti na wahindi wanaobeba miungu yao mikononi.

Wewe hata quran yenyewe huisomi unakurupuka tu. Huyo isa mnayelazimisha awe ndio Yesu huko kwenye quran hakusulubishwa wala hakufa maana allah alimuiba na kuweka mtu mwingine anayefanana exactly kama isa.😂😂 Halafu allah bado analaumu kwanini waliamini kama yule ni isa wakati alikuwa exactly kama yeye.

Halafu wewe ni bogus na empty headed. Yesu Kristo alipotoka katika ule mwili haku cease to exist. Mungu ni Roho kwahiyo anatawala katika ulimwengu wa roho. Hahitaji mwili ili awe na uhai. Waislam mpo mwilini sana na kila kitu kwenu kinaishia mwilini. No wonder mtakuwa mnafanya ngono mpaka ahera.🤣 Na mungu wenu allah anao mguu mmoja.😅
Kweli Waislamu wanamini kuwa Isa aka Yesu aka Yasu hakusulubiwa msarabni...

Kama Yesu alikua Mungu kwanini asitumie uungu wake kujiokoa na yale mateso ya msarabani ?
au kama Yesu alikuwa mtoto wa Mungu kwanini Mungu amuache mtoto wake ateseke kiasi kile?

Mashuhuda wa waliomuua Yesu msalabani, walimsikia Yesu akihuzunika akimuomba Mungu amupushe na mateso ya Msalabani

YESU alilia kwa huzuni kwa lugha yake ya aramaic akiwa masarabani "Eli eli lama sabachthani" maana yake Mungu Mungu kwanini umenitelekeza
Mathayo 27:46..

Yesu aka Isa sio Mungu wala mtoto wa Mungu, hana vigezo vya kuwa Mungu.

Jesus, Isa, Yesu, Yoshua, Yasu ni mtume wa Mungu, kila alichokifanya yule jamaa amekifanya kwa uwezo wa Allah aka Eli
 
Kama hilo nyomi la wamama wa kiislam na waume zao tunaloliona kwenye TV yake ni la kweli, basi baada ya miaka 5 Dar itakuwa na wakristo tupu.
Hata mganga wa kienyeji husaidia watu kwa mizimu anayoamini lakini watu wanaendelea kubaki na dini zao.

Mtu anapoombewa haimaanishi anafata imani ya Mwamposa bali anafata yale anayoyafanya Ili yamsaidie.

Ni sawa na kwenda kwa mganga wa kienyeji tu.

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
Hata mganga wa kienyeji husaidia watu kwa mizimu anayoamini lakini watu wanaendelea kubaki na dini zao.

Mtu anapoombewa haimaanishi anafata imani ya Mwamposa bali anafata yale anayoyafanya Ili yamsaidie.

Ni sawa na kwenda kwa mganga wa kienyeji tu.

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Hahaha. Mbona huwa akiwaombea na wakapona, huwa anawauliza: Nani kakuponya? Nao hujibu ni Yesu. Sasa Yesu na uislam wapi na wapi?
 
Back
Top Bottom