chabuso
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 6,380
- 5,871
Sijapinga kama mwanamke bikra kupata mimba, mwanamke anaweza kupata mimba bila ya kuingiliwa na mwanamme..Kama unaamini adamu na hawa waliubwa na wala hawakutokana na mapenzi kama tunavyozaliwa sasa..inakua vipi ngumu kwako kuamini bikra alipata ujauzito kwa uwezo wa roho mtakatifu.?
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Mungu anaweza kufanya chochote anachotaka, lakini unaposema Yesu ni mtoto wa Mungu,, hilo nitalipinga sana