Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,789
- 218,428
Wala hakuna kitu kama hicho , wanaccm wa jf wanalindwa vibaya sana !Nyani Ngabu unafanyiwa screening Na watu wasiojulikana
Wala hakuna kitu kama hicho , wanaccm wa jf wanalindwa vibaya sana !Nyani Ngabu unafanyiwa screening Na watu wasiojulikana
Weka kifungu cha sheria. Wewe ndo wale wanaompotosha huyo jamaa halafu serikali inashindwa kesi tunaingia hasara. Yale yale ya kujipendekeza tu.Rais kukosolewa ni sawa. Kukosoa kuwe kwa staha na kunakotoa njia mbadala. Lakini, kumdhihaki, kumtukana na kumkejeli Rais hakutavumiliwa. Watakaofanya hivyo wote watashughulikiwa kwa mujibu wa Sheria.
Mkumbushe mtani wako mkuu labda amesahau. Petro E. Mselewa mkuu bado tunasubiria jibu la swali la mtani wako Nyani..Bado anatafuta
Leo angalau umeandika kitu serious. maana siku zote unabwabwaja tu. kwa hiyo na wewe umeanza kuiona hiyo eeh?? na Bado! Magufuli ataendelea kuminya mpaka kieleweke!Kuna mambo yanayoendelea sasa hivi hapa nchini ambayo siyaelewi kabisa.
Inapotokea mtu maarufu anapomkosoa huyu rais wetu hadharani au inapotokea hata mtu tu wa kawaida akafanya au kusema kitu fulani ambacho kinaonekana kama kinamkosoa Rais Magufuli basi mtu huyo ataanza kuandamwa andamwa na hata kukamatwa.
Rejeeni habari za yule dogo wa UDSM alipokamatwa kwa sababu ya alichokifanya kuhusu majengo ya mabweni mapya ya wanafunzi chuoni hapo. Rejeeni suala na Nape kutishiwa na bastola mchana kweupe. Rejeeni suala la mbunge Bashe kusumbuliwa na polisi au sijui usalama wa taifa wale. Rejeeni suala la Lissu kukamatwa kamatwa na kuwekwa rumande kisa katumia lugha kali dhidi ya Magufuli.
Kwenye nchi za kidemokrasia, kama tunavodai na sisi nchi yetu iko hivyo, suala la viongozi kukosolewa, kudhihakiwa, kutukanwa, na kadhalika, ni jambo la kawaida sana.
Tazama kote duniani kwenye demokrasia na hayo mambo utayaona.
Sasa kwa nini hapa kwetu huyu rais wetu akisemwa vibaya huyo mtu aliyemsema vibaya anaanza kusumbuliwa?
Askofu Kakobe sasa hivi tumesikia habari kuwa eti atakamatwa kisa eti kadiriki kumkosoa rais.
Hivi kumkosoa rais au hata kumkebehi na kumdhihaki ni kosa kwenye nchi hii?
Kwani huyu rais wetu wakati anagombea huo urais alikuwa na matarajio gani labda? Kwamba akishatangazwa kuwa yeye ndo mshindi basi kila mtu ndo atakubaliana naye na kumuunga mkono kwenye kila kitu? Hilo kamwe haliwezekani na halitowezekana Tanzania hii.
Labda linawezekana tu huko Korea Kaskazini ingawa hata huko sidhani kama watu wote wanamuunga mkono huyo Kiduku.
Nawashauri CCM waunde kitengo cha ‘War room’ mahsusi kwa kujibu mapigo ki-hoja na kuacha kutumia vitisho vya vyombo vya dola kujibu mapigo kwa kutishia watu.
Leo angalau umeandika kitu serious. maana siku zote unabwabwaja tu. kwa hiyo na wewe umeanza kuiona hiyo eeh?? na Bado! Magufuli ataendelea kuminya mpaka kieleweke!
hamchelewi kusema takwimu za kiserikali hazijaonesha kama mkuu wetu yupo na dhambi .Anaefaa kusemea mkuu wetu kakengeuka ni ile taasis ilopewa mamuraka kutoa taarifa izoVijana wa kitanzania bwana; tumejivika akili ya kutoelewa. Nani alikuambiwa atakamatwa. Kwanza kwenda kutoa maelezo ya kauli ulizozitoa ni kukamatwa. Mbona ni jambo la kawaida. Lowasa alienda kutoa maelezo juu ya kauli yake; Katibu wa chadema alienda kutoa maelezo juu ya kauli aliyoitoa. Je hili ni geni?. lazima ifikie wakati mtoke katika hayo matongotongo mliyojivika na mje na ajenda zenye tija.
Nchi yenye watu milioni hamsini LAZIMA watakuwepo ''wendawazimu'' ambao hawajui lugha ya staha. Ni wengi tena sana. Na ndio lengo la mwanzisha mada i.e. Urais unataka uvumilivu. Rais ni kiongozi wa waropokaji, wenye hekima, vichaa na wanaokebehi! Umeshindwa kuelewa lengo la mwanzisha thread? Wewe unajiita mwanasheria lakini nadhani uu kilaza wa kiwango cha juu!Rais kukosolewa ni sawa. Kukosoa kuwe kwa staha na kunakotoa njia mbadala. Lakini, kumdhihaki, kumtukana na kumkejeli Rais hakutavumiliwa. Watakaofanya hivyo wote watashughulikiwa kwa mujibu wa Sheria.
Mkumbushe mtani wako mkuu labda amesahau. Petro E. Mselewa mkuu bado tunasubiria jibu la swali la mtani wako Nyani..
we nyani kaa ujue Urais ni Taasisi.
Unaelewa vizuri dhana ya Urais ni Taasisi.
Ushawahi msikia Magufuli akiwajibu au kuwa attack directly kama wewe unavyodhani.
Acha Taasisi ya Urais ilindwe kwa namna inavyofaa.
Kakimbizwa mchana, labda tumsubilie kesho.Mkuu Nyani, Bwana Petro amekujibu au bado anatafuta vifungu? haha
hutaki kujifunza endelea kubaki na utumbili wako hasara kwa familia yako!!Juhaa kabisa wewe!
now you are back to your sense thank GodKuna mambo yanayoendelea sasa hivi hapa nchini ambayo siyaelewi kabisa.
Inapotokea mtu maarufu anapomkosoa huyu rais wetu hadharani au inapotokea hata mtu tu wa kawaida akafanya au kusema kitu fulani ambacho kinaonekana kama kinamkosoa Rais Magufuli basi mtu huyo ataanza kuandamwa andamwa na hata kukamatwa.
Rejeeni habari za yule dogo wa UDSM alipokamatwa kwa sababu ya alichokifanya kuhusu majengo ya mabweni mapya ya wanafunzi chuoni hapo. Rejeeni suala na Nape kutishiwa na bastola mchana kweupe. Rejeeni suala la mbunge Bashe kusumbuliwa na polisi au sijui usalama wa taifa wale. Rejeeni suala la Lissu kukamatwa kamatwa na kuwekwa rumande kisa katumia lugha kali dhidi ya Magufuli.
Kwenye nchi za kidemokrasia, kama tunavodai na sisi nchi yetu iko hivyo, suala la viongozi kukosolewa, kudhihakiwa, kutukanwa, na kadhalika, ni jambo la kawaida sana.
Tazama kote duniani kwenye demokrasia na hayo mambo utayaona.
Sasa kwa nini hapa kwetu huyu rais wetu akisemwa vibaya huyo mtu aliyemsema vibaya anaanza kusumbuliwa?
Askofu Kakobe sasa hivi tumesikia habari kuwa eti atakamatwa kisa eti kadiriki kumkosoa rais.
Hivi kumkosoa rais au hata kumkebehi na kumdhihaki ni kosa kwenye nchi hii?
Kwani huyu rais wetu wakati anagombea huo urais alikuwa na matarajio gani labda? Kwamba akishatangazwa kuwa yeye ndo mshindi basi kila mtu ndo atakubaliana naye na kumuunga mkono kwenye kila kitu? Hilo kamwe haliwezekani na halitowezekana Tanzania hii.
Labda linawezekana tu huko Korea Kaskazini ingawa hata huko sidhani kama watu wote wanamuunga mkono huyo Kiduku.
Nawashauri CCM waunde kitengo cha ‘War room’ mahsusi kwa kujibu mapigo ki-hoja na kuacha kutumia vitisho vya vyombo vya dola kujibu mapigo kwa kutishia watu.
Sheria gani inakataza kumdhihaki rais? Sheria gani inakataza kumkejeli rais?