Kama huku ndiyo kufa basi ni hatari

Kama huku ndiyo kufa basi ni hatari

Umenikumbusha mbali around miaka ya 2017 hv mama yangu mzazi alilazwa Ocean road kwa tatizo la saratani ya titi ambayo actually ilimtesa sana, ilifikia stage ikawa imesambaa sana na uwezekano wa kupona kwake ukawa mdogo,kuna siku alipoteza fahamu ndipo Ma dakatari waka conclude usiku ule kuwa amefariki , nakumbuka kipindi hicho mzee wangu ndo alikuwa anamuuguza na hakuwa analala pale maana hawaruhusiwi kulala pale So alipofika asubuhi kwenda kumuona mgonjwa wake akaambiwa kuwa mgonjwa wako amefariki na tayar walikuwa wameshamzungushia mapazia kwenye kitanda chake muda wowote apelekwe monchwari bt mzee alipokuja hakuamini ilibidi aanze kumkagua yeye mwenyewe ndipo alipogundua kuwa ni mzima , asee mzee alikinukisha mbaya pale hospitali wakawa wamemuomba msamaha uongozi wa pale...unfortunately my lovely Mom alifariki baada ya miez miwili..RIP Mom[emoji24][emoji24]
 
Ilikuwa Alhamisi ya last week nilikuwa nasikia maumivu ya tumbo sana. Familia yangu wakanikimbiza hospitali maana hali yangu ilikuwa siyo nzuri, ndugu na jamaa walikuwa wanasubiri majibu kutoka kwa docters tu maana nilikuwa na hali mbaya.

Nilifika hospitali kwa bahati mbaya kama maelezo yao walivyonisimulia kuwa nilikufa kabisa wakanifunika na shuka. Sasa kilichonishangaza mimi kipindi nipo kitandani pale mimi nilihisi kuwa nimelala, yaani nimepumzika maana akili yangu bado ilikuwa inafanya kazi kabisa.

Nilikuwa nasikia vilio vya watu na kutambua huyu ni mama yangu, huyu ni fulani, ila kule kuongea au kutikisika na kufungua macho ndiyo nilikuwa siwezi kabisa.

Kwa maelezo yao walisema nilifanya kitu cha masaa matatu maiti yangu iko tu kitandani, walikuwa wanafanya utaratibu wakunipeleka mochari ndiyo nikafufuka tena.

Mpaka sasa hivi bado najiuliza kumbe mtu akifa akili yake bado inafanyaga kazi? Kweli ninaamini wangenipeleka udongoni ningejua na pelekwa udongoni, maana nilikuwa nafahamu na nilikuwa nasikia watu wanavyo lia.

Kama ndiyo kufa ni Mungu tu mwanadamu hawezi, watu wanazikwa huku wakijua kabisa wanapelekwa udongoni ila nguvu ya kukataa ndiyo hawana!
Kukikata tawi la mti halikauki hapo hapo.. Hivyo hivyo pia binadamu anavyofariki seli za mwisho kufa ni za ubongo.. Ndo maana Kunakisa cha yule nesi alie Pata mimba kwa maiti n.k
 
Guys,Guys omba yasikukute,niliwahi pata ajali mbaya sana aisee nilikuwa katika hali kama hyo,Nasikia kila kitu ila siwezi kufanya chochote Daa...kuna mama mmoja huwa simsahau mpaka leo yaan huyo ndo alikuwa anashindilia kabsa.nanukuu"Jamani huyu tayari tuharakishe tuanze taratibu za mazishi"[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu mbona umekatisha, ilikuwaje sasa?
 
Moyo unaweza kusimama ila mtu bado akawa hajafa mpaka ubongo ufe(brain dead)
Vyote hivyo hufuatana kwa muda mfupi sana, si zaidi ya dk5.

Shuhudia watu wanaokufa kwa adhabu ya hukumu ya kunyongwa!

Iwe kwa sumu ama kwa kamba, mchakato mzima hauzidi dk 15, mtu anakuwa tayari ni maiti.
 
In short mwili wa binadamu huwa haufi maramoja, for the case of natural death na sio ajali. Hifa polepole sana. Binafam huchukua hadi masaa 8 ndo anakuwa na ile total shutdown of body organ na ubongo ndo hufa wa mwisho wakatu huo anakuwa anakuwa na hisia zote so as long as vitu vinàhut down anapunguza sences na baadae huwa hajui kitu tena hico sio kwwli watu huzikwa wakiwa hai. I know mpaka uzikw basi huchukua zaidi ya hayo masaa
 
Mtu akifa anajua kwamba kafa na anasikia yote,sababu ubongo unakua haujafa totally
Kama brain death haijatokea hapo hakuna kufa, na endapo moyo umesimama kusukuma damu ni muda gani unafikiri ubongo utaendelea ku-survive ikiwa haupati tena supply ya damu.
 
Ilikuwa Alhamisi ya last week nilikuwa nasikia maumivu ya tumbo sana. Familia yangu wakanikimbiza hospitali maana hali yangu ilikuwa siyo nzuri, ndugu na jamaa walikuwa wanasubiri majibu kutoka kwa docters tu maana nilikuwa na hali mbaya.

Nilifika hospitali kwa bahati mbaya kama maelezo yao walivyonisimulia kuwa nilikufa kabisa wakanifunika na shuka. Sasa kilichonishangaza mimi kipindi nipo kitandani pale mimi nilihisi kuwa nimelala, yaani nimepumzika maana akili yangu bado ilikuwa inafanya kazi kabisa.

Nilikuwa nasikia vilio vya watu na kutambua huyu ni mama yangu, huyu ni fulani, ila kule kuongea au kutikisika na kufungua macho ndiyo nilikuwa siwezi kabisa.

Kwa maelezo yao walisema nilifanya kitu cha masaa matatu maiti yangu iko tu kitandani, walikuwa wanafanya utaratibu wakunipeleka mochari ndiyo nikafufuka tena.

Mpaka sasa hivi bado najiuliza kumbe mtu akifa akili yake bado inafanyaga kazi? Kweli ninaamini wangenipeleka udongoni ningejua na pelekwa udongoni, maana nilikuwa nafahamu na nilikuwa nasikia watu wanavyo lia.

Kama ndiyo kufa ni Mungu tu mwanadamu hawezi, watu wanazikwa huku wakijua kabisa wanapelekwa udongoni ila nguvu ya kukataa ndiyo hawana!
...Sio Akili yake. Ni Nafsi yake. Ingekuwa Akili Ingeweza kuamuru Mkono unyanyuke na Ukanyuka. Ilikuwa ni Nafsi, ndio Haifi...!
 
Kama brain death haijatokea hapo hakuna kufa, na endapo moyo umesimama kusukuma damu ni muda gani unafikiri ubongo utaendelea ku-survive ikiwa haupati tena supply ya damu.
Tafiti zipo online,jisomee
 
Ilikuwa Alhamisi ya last week nilikuwa nasikia maumivu ya tumbo sana. Familia yangu wakanikimbiza hospitali maana hali yangu ilikuwa siyo nzuri, ndugu na jamaa walikuwa wanasubiri majibu kutoka kwa docters tu maana nilikuwa na hali mbaya.

Nilifika hospitali kwa bahati mbaya kama maelezo yao walivyonisimulia kuwa nilikufa kabisa wakanifunika na shuka. Sasa kilichonishangaza mimi kipindi nipo kitandani pale mimi nilihisi kuwa nimelala, yaani nimepumzika maana akili yangu bado ilikuwa inafanya kazi kabisa.

Nilikuwa nasikia vilio vya watu na kutambua huyu ni mama yangu, huyu ni fulani, ila kule kuongea au kutikisika na kufungua macho ndiyo nilikuwa siwezi kabisa.

Kwa maelezo yao walisema nilifanya kitu cha masaa matatu maiti yangu iko tu kitandani, walikuwa wanafanya utaratibu wakunipeleka mochari ndiyo nikafufuka tena.

Mpaka sasa hivi bado najiuliza kumbe mtu akifa akili yake bado inafanyaga kazi? Kweli ninaamini wangenipeleka udongoni ningejua na pelekwa udongoni, maana nilikuwa nafahamu na nilikuwa nasikia watu wanavyo lia.

Kama ndiyo kufa ni Mungu tu mwanadamu hawezi, watu wanazikwa huku wakijua kabisa wanapelekwa udongoni ila nguvu ya kukataa ndiyo hawana!
Mkuu una uhakika katika kifungua kinywa hawakuluwekea charms kweli?😅
 
Wewe ulikuwa bado hujafa. Una bahati uliwekwa masaa matatu kabla ya kupelekwa mochwari, wengine wanapelekwa hata nusu saa hawapewi
Ilikuwa Alhamisi ya last week nilikuwa nasikia maumivu ya tumbo sana. Familia yangu wakanikimbiza hospitali maana hali yangu ilikuwa siyo nzuri, ndugu na jamaa walikuwa wanasubiri majibu kutoka kwa docters tu maana nilikuwa na hali mbaya.

Nilifika hospitali kwa bahati mbaya kama maelezo yao walivyonisimulia kuwa nilikufa kabisa wakanifunika na shuka. Sasa kilichonishangaza mimi kipindi nipo kitandani pale mimi nilihisi kuwa nimelala, yaani nimepumzika maana akili yangu bado ilikuwa inafanya kazi kabisa.

Nilikuwa nasikia vilio vya watu na kutambua huyu ni mama yangu, huyu ni fulani, ila kule kuongea au kutikisika na kufungua macho ndiyo nilikuwa siwezi kabisa.

Kwa maelezo yao walisema nilifanya kitu cha masaa matatu maiti yangu iko tu kitandani, walikuwa wanafanya utaratibu wakunipeleka mochari ndiyo nikafufuka tena.

Mpaka sasa hivi bado najiuliza kumbe mtu akifa akili yake bado inafanyaga kazi? Kweli ninaamini wangenipeleka udongoni ningejua na pelekwa udongoni, maana nilikuwa nafahamu na nilikuwa nasikia watu wanavyo lia.

Kama ndiyo kufa ni Mungu tu mwanadamu hawezi, watu wanazikwa huku wakijua kabisa wanapelekwa udongoni ila nguvu ya kukataa ndiyo hawana!
Ungekua Mwislam ndani ya saa Moja, Ushakamuliwa Utumbo huo, saa la pili, ushafukiwa Kaburini, ukafie mbele kwa mbele huko!
 
HONGERA SANA,angalau una uelewa nini kinatokea mtu akifa sio wengi wetu hatutapata hiyo bahati
 
Back
Top Bottom