Kama huku ndiyo kufa basi ni hatari

Kama huku ndiyo kufa basi ni hatari

Wewe umejuaje kuwa mtu aliyekufa anajuwa kwamba amekufa?

Ndiyo asili ya kauli yangu niliposema “Akishakufa amekufa, hakuna mtu anayejuwa kuwa aliyekufa anajuwa kuwa kafa. Siyo kisayansi”

Scientifically, how do you know that you’re dead? You might know you’re dying, but when you’re dead, it’s done. There’s no way to know.

Sasa wenye kuamini dini ndiyo wanaweza kusema hayo maneno kwamba ukifa unajuwa umekufa. Ndiyo msingi wa kauli yangu kuwa “siyo kisayansi”

Kuhusu kufahamu kwamba umekufa, hiyo ni process ya kufa. Kifo ni process, na hiyo kwa mujibu wa watafiti, kwasababu mtu bado anasikia na kuhisi kwenye hatua ya mwisho ya kifo, hapo anaelewa kwamba amekufa, lakini eventually hizo sense nazo zinamalizkia kwenye process ya kifo. Ila akishakufa amekufa.
Porojo nyingi za nini,nimekwambia google hiyo sentensi yangu ya kiingereza
 
Ila mtu akifa wakishathibitisha wanampeleka baada ya muda gani mochwari?wawe wanawapa muda aisee sio kupeleka haraka haraka wengine wanakuwa kwenye coma
Hiyo koma unajua wewe hapo hospitali ishawaza ukipelekwa tu mwochwari ni pesa kwann wasikuwahishe huko..
 
Wewe hukufa bali ulipoteza fahamu,moyo uliendelea kufanya kazi kiasi kwambà mzunguko wa damu kwenye vital organs kama brain iliendelea kama kawaida
1.kifo ni moyo kusimama ambapo hupelekea ubongo kukosa hewa(blood supply),na hili tukio ni ndani ya dk 6 brain hufa
Wewe brain yako ilikua hai maana moyo ulikua bado unafanya kazi.
 
Umewahi kufa? Katika nadharia ya Kisayansi ndo tunasema hivi ulivyosema ila uhalisia halisi hatujui. Huenda maiti huko kaburini roho zao zinapiga story na zinaona yote ila hazina mlango wa kufikia walio hai. Hakuna binadamu aliye hai anaweza thibitisha hili. Tena angalau wale ambao walishakuwa mahututi sana wanaweza sema, na near death experience ukizisikiliza wapo wanaokiri walijua kila kitu kinachoendelea.
Ulishaona movie ya The Ghost ya Demi Moore?
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
kama kweli ilikutokea, wewe uliiuwa haujafa bado. Hakuna kitu kama hicho cha kufa na ujue kuwa umekufa. Ukifa una cease ku exist na hauwezi kutambua lolote ktk mazingira yanayokuzunguka. Hakuna kitu kama near death experience.
 
Umenikumbusha kuna mzungu aliandika kitabu cha uchunguzi wa watu waliozikwa hai kimakosa huko ulaya kipindi cha medieval.
 
Shukuru mungu sana.kule mochwari ungepelekwa usingetoka salama.
Wana RUNGU kubwa kwa ajili ya marehemu wabishi.daktari amethibitisha umekufa afu uamkie monchwari unapewa moja la utosi unatulia.
Muulize yule JR atakwambia
Mshana Jr
Toa neno hapa pls!
 
Porojo nyingi za nini,nimekwambia google hiyo sentensi yangu ya kiingereza
Inaelekea hata matumizi ya google huyajui. Na hata uki google unaishia kwenye headings na kuja na conclusion.

Kama ume google na kuelewa, elezea na utoe hoja, ikibidi weka link.
 
Inaelekea hata matumizi ya google huyajui. Na hata uki google unaishia kwenye headings na kuja na conclusion.

Kama ume google na kuelewa, elezea na utoe hoja, ikibidi weka link.
Wewe ni mpuuzi
 
Wewe unabahat utakuwa ni mkristo ungekua wa upande wa vibagarashea ungejua hujui[emoji23]hawacheleweshagi wale
 
tokea wiki iliyopita hali hii imejitokeza na watu wameanza kufa sana serikali ifuatilie hili jambo! mie pia niliamka asbh vizur ilivyofka mchana nikazidiwa mpaka macho yakawa hayaoni! bahati nzuri wasamaria wakanikimbiza hospitali kubwa wakacheza na sindano zao nikarud normal baada ya masaa kama matatu hivi!

ila watu wanakata moto sana sasa hiv
Ni ugonjwa gani
 
Moyo unaweza kusimama ila mtu bado akawa hajafa mpaka ubongo ufe(brain dead)
Ubongo utaacha kufanya kazi baada ya muda tangu moyo kusomama. Kinachoua ubongo ni kukosa oksijeni ambayo husukumwa na moyo. So tangu moyo usimame mpaka oksijen iishe ni muda kiasi.
 
Kwamba akili yako bado ilikuwa inafanya kazi, hivi kwani hata ukilala usingizi waweza kujua kama akili inafanya kazi?

Labda kwako maana sisi wengine kulala usingizi ni kupotea kabisa mpaka pale utakapoamka au kuamshwa...kujua kama bado upo hai, kama ubongo unafanya kazi ni baada ya kuamka na si wakati umelala.
 
Back
Top Bottom