Nahonyo
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 5,690
- 5,557
Ungekuwa nchi ya kiislam ungeshazikwa,kule ukifa ni nusu saa tu unazikwaIlikuwa Alhamisi ya last week nilikuwa nasikia maumivu ya tumbo sana. Familia yangu wakanikimbiza hospitali maana hali yangu ilikuwa siyo nzuri, ndugu na jamaa walikuwa wanasubiri majibu kutoka kwa docters tu maana nilikuwa na hali mbaya.
Nilifika hospitali kwa bahati mbaya kama maelezo yao walivyonisimulia kuwa nilikufa kabisa wakanifunika na shuka. Sasa kilichonishangaza mimi kipindi nipo kitandani pale mimi nilihisi kuwa nimelala, yaani nimepumzika maana akili yangu bado ilikuwa inafanya kazi kabisa.
Nilikuwa nasikia vilio vya watu na kutambua huyu ni mama yangu, huyu ni fulani, ila kule kuongea au kutikisika na kufungua macho ndiyo nilikuwa siwezi kabisa.
Kwa maelezo yao walisema nilifanya kitu cha masaa matatu maiti yangu iko tu kitandani, walikuwa wanafanya utaratibu wakunipeleka mochari ndiyo nikafufuka tena.
Mpaka sasa hivi bado najiuliza kumbe mtu akifa akili yake bado inafanyaga kazi? Kweli ninaamini wangenipeleka udongoni ningejua na pelekwa udongoni, maana nilikuwa nafahamu na nilikuwa nasikia watu wanavyo lia.
Kama ndiyo kufa ni Mungu tu mwanadamu hawezi, watu wanazikwa huku wakijua kabisa wanapelekwa udongoni ila nguvu ya kukataa ndiyo hawana!
Umewahi kufa? Katika nadharia ya Kisayansi ndo tunasema hivi ulivyosema ila uhalisia halisi hatujui. Huenda maiti huko kaburini roho zao zinapiga story na zinaona yote ila hazina mlango wa kufikia walio hai. Hakuna binadamu aliye hai anaweza thibitisha hili. Tena angalau wale ambao walishakuwa mahututi sana wanaweza sema, na near death experience ukizisikiliza wapo wanaokiri walijua kila kitu kinachoendelea.Kufa ni kupoteza fahamu, kuto tambua mazingira yanayokuzinguka, viungo vya mwili, pamoja mishipa yote, kuacha kufanya kazi, siyo kusimama, kuacha kufanya kazi.
Sasa kama ulikua unasikia vilio, sioni kufa kwako, ikiwa viungo vya fahamu vilikua vikifanya kazi.



Shukuru mungu sana.kule mochwari ungepelekwa usingetoka salama.
Wana RUNGU kubwa kwa ajili ya marehemu wabishi.daktari amethibitisha umekufa afu uamkie monchwari unapewa moja la utosi unatulia.
Muulize yule JR atakwambia
"Nilifika hospitali kwa bahati mbaya kama maelezo yao walivyonisimulia kuwa nilikufa kabisa wakanifunika na shuka."Uliishiwa nguvu tu na ndugu zako walijaa uoga.
Masaa matatu yote kukizuia nini kukupeleka kwenye friji la mortuary?
Ingia monchwari angalia nyuma ya mlango utajuaHii kweli mkuu?
Ungekuwa dini fulani tayari leo hii watu wangekula ubwabwa nyumbani kwenu."Nilifika hospitali kwa bahati mbaya kama maelezo yao walivyonisimulia kuwa nilikufa kabisa wakanifunika na shuka."
Huenda kadanganya, ila hii dunia ina mambo mengi ambayo ni ya ajabu na hatujui ni nn hawa kimetokea pale kinapotokea na unapomsikiliza mtu unaona kabisa huu ni uongo. Tunasahau kuwa hatujui siri zote za huu ulimwengu. Ukikaa na watu wanaofanya huduma za kusafirisha maiti wanasema kuna maiti huwa zinagoma kusafirishwa mpaka mnashusha watu au mtu fulani.
Duh.!Shukuru mungu sana.kule mochwari ungepelekwa usingetoka salama.
Wana RUNGU kubwa kwa ajili ya marehemu wabishi.daktari amethibitisha umekufa afu uamkie monchwari unapewa moja la utosi unatulia.
Muulize yule JR atakwambia
Acha kuvuta makushabuIlikuwa Alhamisi ya last week nilikuwa nasikia maumivu ya tumbo sana. Familia yangu wakanikimbiza hospitali maana hali yangu ilikuwa siyo nzuri, ndugu na jamaa walikuwa wanasubiri majibu kutoka kwa docters tu maana nilikuwa na hali mbaya.
Nilifika hospitali kwa bahati mbaya kama maelezo yao walivyonisimulia kuwa nilikufa kabisa wakanifunika na shuka. Sasa kilichonishangaza mimi kipindi nipo kitandani pale mimi nilihisi kuwa nimelala, yaani nimepumzika maana akili yangu bado ilikuwa inafanya kazi kabisa.
Nilikuwa nasikia vilio vya watu na kutambua huyu ni mama yangu, huyu ni fulani, ila kule kuongea au kutikisika na kufungua macho ndiyo nilikuwa siwezi kabisa.
Kwa maelezo yao walisema nilifanya kitu cha masaa matatu maiti yangu iko tu kitandani, walikuwa wanafanya utaratibu wakunipeleka mochari ndiyo nikafufuka tena.
Mpaka sasa hivi bado najiuliza kumbe mtu akifa akili yake bado inafanyaga kazi? Kweli ninaamini wangenipeleka udongoni ningejua na pelekwa udongoni, maana nilikuwa nafahamu na nilikuwa nasikia watu wanavyo lia.
Kama ndiyo kufa ni Mungu tu mwanadamu hawezi, watu wanazikwa huku wakijua kabisa wanapelekwa udongoni ila nguvu ya kukataa ndiyo hawana!