Kama hali ya corona Africa ni hii na Tanzania tuna wagonjwa 20 basi ni kweli tinaishi Eden

Hio inaonesha huwezi kuficha. Huyo marehemu kila mtu amejua. Hao wengine wanaofichwa wako mitaa gani hata tusisikie wakifa?
So utaambiwa tu amekufa kwa ugonjwa wowote ule, inamaana hakuna wanaokufa sasa hivi.
 
UN wametuonya in next 14 days millions ya watu wataangamia kwa Covid-19.
 
kuna tetesi kwamba Bustani ya Eden ilikuwa Tanzania...!!
Nimesikia hivyo wanasema inawezekana ni Ngorongoro kwenye crater. Na mifupa ya bibadamu wa kwanza ilikutwa Olduvai George unaweza kuunganisha dots.
 
Korona siyo makaratasi ati serikali iweze kuficha, Kama ipo ipo tu wala wewe hupaswi kuhangaika ili namba iwe kubwa jinsi utakavyo.

Nakumbuka kipindi kile ulivyokuwa unashupalia swala la ebola kwamba ipo nchini.

Pamoja na serikali kukanusha ila baadhi ya watu JF nawewe ukiwemo mlikomaa kwelikweli kwamba ukweli umefichwa. Matokeo yake hakukuwa na ebola leo wala kesho

Mimi nakushauri tu kwamba siku nyingine jaribu tu kukubali kuwaamini wenye mamlaka hata Kama huwapendi kwa sababu wao wanavyanzo vya habari vingi Sana kukuzidi wewe mtu mmoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ingawaje huu ugonjwa kwa watanzania na waafrika wengi ni gene controlled plus other factors such as immunity vs vaccination ambazo kwa frequency ya kupata contact na visababishi vya magonjwa ni kila siku ...like .. kila siku mathalani unaingiliwa na visababishi vya magonjwa zaidi ya tano kwa uchache... lichupa la soda ambalo limeoshwa vibaya na kutokup[imwa against vijidudu kabla ya kuwa loaded na kinywaji husika, jisahani la mgahawa na vijiko tunajua jinsi vinavyooshwa na sabuni ya jamaa na maji hadi meusi, umeasalimiana na ndugu ambaye anatabia ya kuchokoa pua na viungo vya uzazi ambako na maambukizi ya fungus au kaswende, herpes etc, daladala iliyo na viti au vishikio ambavyo vimeshakuwa epicenter ya maradhi, kunywa maji ya mamlaka yenye bomba linaloingiliana na maji taka somewhere na wala hamna jinsi ya kupima kabla ya kunywa na hata yakichanganyika mamlaka haitoi tahadhari ya kutotumia maji bali wanaficha. Hii ndiyo nchi yetu sasa kwa maana hii Corona itafanya nini sasa ikiwa kila siku unapata chanjo tano kwa uchache. Najaribu kuwasa kimya kimya tu...
 
Back
Top Bottom