Kama Eva asingekula tunda la mti wa kati

Kama Eva asingekula tunda la mti wa kati

Hizo story za Adam na Hawa ni mbwembwe za white man tu.. Ukitaka kujua ukweli jitahidi ufike mbinguni pale ukipiga soga na sir God atakupa ubuyu wote.
Ndo mana nikamwambia jr if we want to get the real answer we have to go back in life wote tuwe eden au plan be ni kufika heaven
 
some one help me. hivi tunda pa mti wa mema na mabaya lilikuwa tunda kweli km embe au kilikuwa kitendo?
Kwa jinsi ilivoelezea ni tunda halisi mana alianza kula Eva then akampa Adam,kama wangeanza kula wote kwa pa1 hapo tungeleta tafsiri nyingine.
Mana kama tunda ni sex je Eva alisex na nani kabla hajaenda kwa Adam?
 
Mungu asingemuumba Eva haya yote yasingetokea kwa sababu wanaume si rahisi kudanganyika. Mpaka leo mwanamke ndiye anaetumika ktk kutengeneza uasherati kwa mfano ingia kwenye Makasino uone mwanamke anavyocheza Uchi akizunguka Fimbo ya chuma bado haohao wanatushawishi kufanya Zinaa kwa kutuuzia Papuchi zao na yapo mengine mengi tu...kwa hiyo ndiye aliyefanya maisha yetu kuwa magumu Duniani
 
Mungu asingemuumba Eva haya yote yasingetokea kwa sababu wanaume si rahisi kudanganyika. Mpaka leo mwanamke ndiye anaetumika ktk kutengeneza uasherati kwa mfano ingia kwenye Makasino uone mwanamke anavyocheza Uchi akizunguka Fimbo ya chuma bado haohao wanatushawishi kufanya Zinaa kwa kutuuzia Papuchi zao na yapo mengine mengi tu...kwa hiyo ndiye aliyefanya maisha yetu kuwa magumu Duniani
Je kama hawa asingeumbwa ingekuaje?
Hawa anasimama kama mama wa dunia,mama hata angefanya kosa gani still atabaki kua mama
 
Mungu asingemuumba Eva haya yote yasingetokea kwa sababu wanaume si rahisi kudanganyika. Mpaka leo mwanamke ndiye anaetumika ktk kutengeneza uasherati kwa mfano ingia kwenye Makasino uone mwanamke anavyocheza Uchi akizunguka Fimbo ya chuma bado haohao wanatushawishi kufanya Zinaa kwa kutuuzia Papuchi zao na yapo mengine mengi tu...kwa hiyo ndiye aliyefanya maisha yetu kuwa magumu Duniani
Mungu asingemuumba Eve mimi na wewe tusingekuwepo.
 
Unajua watu wanataka kutushawishi kwamba Adam na hawa walisex.
Sasa mimi nauliza Eva alisex na nani kabla ya Adam? Mana yeye ndo alianza kula tunda
Jiulize why kaini alikuwa na roho mbaya. And why Mungu alikataza uzao wa watoto wa adam usije kuoa kwa uzao wa kain ili usichangamane?? So if dhana ya kula tunda ni kusex basi mtoto wa kwanza kain hakuwa wa adam bali wa shetani thats why alikuwa na roho mbaya na abel alikuwa second ndio alikuwa wa adam na roho nzuri
 
Kwenye kitabu cha mithali kuna sentence inayosema.... Na miguu iliyo myepesi kukimbilia uovu.... Hapo miguu inatumika kwenye mwendo/umbali kufika 'mtini'
Hapo Jr umetumia usanii kunijibu
 
Unajua watu wanataka kutushawishi kwamba Adam na hawa walisex.
Sasa mimi nauliza Eva alisex na nani kabla ya Adam? Mana yeye ndo alianza kula tunda
Dhambi zina hatua tatu
-kuwaza
-kunena
-kutenda
 
Watu wengi wanahusisha tunda lililoongelewa hapo na tendo la ndoa lakini cyo tendo la ndoa ....

Kwasababu Adam na Mkewe baada ya Kuumwa waliambiwa enendeni mkazaane mkaijaze dunia...

Sasa hapo unaona ya kwamba MUNGU asingeweza kuwaambia waijaze dunia alafu awazuie kufanya mapenz..wangezaliana vp...?
Ukweli ni kwamba MUNGU asingeweza kuwaambia Zaeni Mkaijaze Dunia Alafu baadaye aje kuwapa adhabu ..kwa Dhambi ya Uzinzi....

Ukweli ni kwamba tunda linalozungumziwa hapa ni Tunda halisi (Tunda la mti) na Cyo Tendo la .......
Mungu aliwaambia hivyo lakini Kumbuka alimwambia nini mwanamke? Nawe mwanamke utazaa kwa uchungu (hao watoto aliwaambia wakazaane waongezeke)
 
Back
Top Bottom