Bob12
JF-Expert Member
- Feb 27, 2017
- 11,422
- 58,790
Miguu ilitumikaje wakati Eva anaanza kula lile tunda?Ni kweli lakini bado yataendelea tu kutafutwa
Kwa mfano dhana ya tunda! Kwanini maranyingi tufaa ndio litumike?
Kitendo cha kula hilo tunda kilijumuisha viungo vitatu macho mdomo na mkono na miguu pia.. Lakini baada tu ya kula wanahisi aibu na kuziziba sehemu zao za siri kwa majani! Kwanini? Kwanini in the first place hawakuziba mdomo uliokula?
![]()