Ndio ulivoamua?okeyHii hadithi humu haina wafuatiliaji, acha iishie hapa.
Hii hadithi humu haina wafuatiliaji, acha iishie hapa.
Tupo ndugu yangu. Tupo mbele sana kufuatilia.Hii hadithi humu haina wafuatiliaji, acha iishie hapa.
Mkuu usitufanyie hivyoHii hadithi humu haina wafuatiliaji, acha iishie hapa.
Nadhan hilo la kukoment ndo linampa shida mkuu, ukwel ni kwamba tupo sana,, hata ukiangalia idadi ya wanaopita hapa ni wengi sanausifanye hivo huku ukiishia hapa nitaikopi kule tamutamu nitaileta hapa watu wanasoma sio lazima wakoment wanafatilia kimya kimya jiamini bro.