Tatizo letu Waafrika ni lilelile, habari zetu tunashibishwa, mtu anasema "Unaambiwa ilikuwa hivi na bile, unaambiwa huko ni hatari..." kwa nini uambiwe? Kwa nini usione ndiyo useme?
Hakuna watu wenye ushirikiano kama waandishi ndio maana ni rahisi sana kuona leo waandishi tunakutana na kula pamoja. Sasa wewe unaambiwa tu


na ulivyo na kichwa cha kukubali, unayabeba

Nenda Global, uliza kwa nini Nyemo kaondoka, halafu njoo useme tena. Nimeondoka kibabe, nineondoka wakati kampuni inanihitaji, kuondoka kwangu pale hakuna mtu atakayesahau, niliandika barua ya kuacha kazi, mpaka meneja hakuamini, si yeye tu, kila mtu hakuamini...nilichokisema ni kimoja tu...NATAKA NIENDE NIKAJIAJIRI. Na sikurudi nyuma japo nilitakiwa kurudi.
Sasa wewe ulivyo unasikia ya kuambiwa


endelea kuambiwa hivyohivyo manake ndivyo tulivyo Waafrika...sikulaumu.