princessanay
Member
- Mar 10, 2014
- 8
- 1
Hilo nalo neno excell......ila sio mbaya....umri unaruhusu...kat yao....acha wakumbushe enzi wale vyaoo
Case closed!!!!
Sasa bwana mdogo mbona unanidhalilisha. Aaah
Naishi dar, brother wangu mkubwa ambaye ni mstaafu kaja kufuatilia madai yake. Nyumbani kwangu anaishi pia mama wa mke wangu.
Juzi nlipotoka kwenye mizunguko na kurudi nyumbani mida ya saa tano asubuhi niliwakuta live wakilimega tunda.
Kwa kweli kaka yangu ni mtu mzima ambaye kwa umri kamzidi hata mkwe wangu. Lakini hii siielewi, matokeo yake nimejikuta mi ndo naona aibu hata kuwaangalia.
Alifariki siku nyingi nyuma
Dah! Watu mna mambo, nimecheka sana!!Sio Braza huyo tena ni Baba Mkwe ongeza heshima dogo
kesi Hipo,
kwa sababu huyo Kakake sasa atakuwa ni Babamkwe wake, na Watoto wa Kakake sasa watakuwa mashemeji zake, Na Mkewe anamwita huyo kaka ya Mmewe kuwa ni Babayake na watoto wa wa huyo shemeji yake watakuwa wadogo zake
Kaaaaaazi kwelikweli